beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,880
- 6,368
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema Maendeleo ya Nchi huletwa na Wananchi wake. Amesema hayo akiwa kwenye Mkutano wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Zanzibar.
Amesema Sheria za Tanzania Bara na Zanzibar zimetoa Uhuru (usiovunja Sheria) kwa watu kufanya kazi. Ameongeza kuwa ataendelea kushirikiana na Rais Hussein Mwinyi kwa maslahi ya Watanzania wote.
Ameeleza, "Ninaamini Tanzania bila Rushwa inawezekana iwapo tutawaunga Mkono Viongozi wetu katika vita hii. Sote tutimize wajibu wetu".
Amesema Sheria za Tanzania Bara na Zanzibar zimetoa Uhuru (usiovunja Sheria) kwa watu kufanya kazi. Ameongeza kuwa ataendelea kushirikiana na Rais Hussein Mwinyi kwa maslahi ya Watanzania wote.
Ameeleza, "Ninaamini Tanzania bila Rushwa inawezekana iwapo tutawaunga Mkono Viongozi wetu katika vita hii. Sote tutimize wajibu wetu".