Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huenda hukumtendea haki kwa kuripoti hotuba aliyotoa kikamilifu, lakini kama ndiyo hotuba yenyewe hiyo, basi ni kama alikuwa anafanya mchezo fulani na maneno.Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema Maendeleo ya Nchi huletwa na Wananchi wake. Amesema hayo akiwa kwenye Mkutano wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Zanzibar.
Amesema Sheria za Tanzania Bara na Zanzibar zimetoa Uhuru (usiovunja Sheria) kwa watu kufanya kazi. Ameongeza kuwa ataendelea kushirikiana na Rais Hussein Mwinyi kwa maslahi ya Watanzania wote.
Ameeleza, "Ninaamini Tanzania bila Rushwa inawezekana iwapo tutawaunga Mkono Viongozi wetu katika vita hii. Sote tutimize wajibu wetu".