Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samia badala asimame kama Rais, anasimama kama mchungaji ama mtume.
Watu wanakula hela yeye anawahibiria.
Rais Samia Suluhu alionyesha kukerwa sana na wezi wa pesa za umma kwaiyowasijidanyanye kuwa kuongea vile ndio imeishia hapo hapo Hapana Mama hawezi kuruhusu ubadhilifu wa fedha za umma na akakaa kimya lazima awachanie mkeka siku zinahesabikaNi kauli fupi sana lakini nzito kwelikweli. Akionyesha kukerwa na majizi Rais Samia aliitoa kauli hii. Majizi yote hakuna linalolala kwenye vitanda viwili, vyumba viwili wala kula sahani mbili za ugali kwa wakati mmoja, wanaiba na kurundika pesa ambazo wataziacha wakati wakifa.
Pesa hizo mara nyingi ndio zinageuka chanzo cha vifo vyao kwanjia ya kisukari, shinikizo kubwa la damu, uzito mkubwa, ugonjwa wa ini na figo, kansa, ajali za magari, ukimwi na msongo wa mawazo. Na mara nyingi fedha hizo huwa ama zinapotea au kugeuka pia kuwa chanzo cha laana na vifo kwa watoto, ndugu na wajukuu atakaowaacha. Ni heri ya mtu aliacha mti mmoja wa kivuli kwenye uwanja wake wa nyumba kuliko yule aliyeacha mabilioni ya fedha kwenye vihenge na bank.
Nimuombe tu mama yetu atengeneze katiba nzuri yenye meno kabla hajaondoka madarakani. katiba "nzuri" kwangu ni katiba ambayo:
1. Inaondoa kinga ya kushitakiwa kwa wezi wote wa mali ya umma
2. Unatoa njia rahisi ya kumuondoa kiongozi wa ngazi yoyote ambae ni mwizi au mbadhilifu.
3. Inatoa adhabu kubwa sana ya kunyonga au inayokaribia na kunyonga
4. Inatoa dira na mwelekeo wa taifa kwenye uchumi, afya, elimu, chakula na ulinzi.
Mali za Nchi haziwezi kulindwa kwa ukali wa mtu mmoja, bali kwa katiba na taasisi zenye nguvu na meno ya kuzilinda.
Lazima wawajibike mkuu we subiri tu mkeka mpyaYaan hizi kauli haziwez mfanya mwizi aache kuiba .
Mama kama anataka kua Mtume, aanzishe Msikiti awe Mtume huko !!.
Mwanadamu ameumbwa kupewa Adhabu ili abadilike..
Hivi kama Yesu mwenyewe alipigwa misumali na wanazengo licha ya kwamba aliponya viwete, alifufua, na waliona kabisa Kwa macho, ila bado wakamuua,
Sembuse Hela ?? Hela ??? .
Exactly: Reward & PunishmentYaan hizi kauli haziwez mfanya mwizi aache kuiba .
Mama kama anataka kua Mtume, aanzishe Msikiti awe Mtume huko !!.
Mwanadamu ameumbwa kupewa Adhabu ili abadilike..
Hivi kama Yesu mwenyewe alipigwa misumali na wanazengo licha ya kwamba aliponya viwete, alifufua, na waliona kabisa Kwa macho, ila bado wakamuua,
Sembuse Hela ?? Hela ??? .
Misikitini hakuna mitume,acha ujinga,uwe unajielimisha kabla ya kuzungumzia Jambo hadharaniYaan hizi kauli haziwez mfanya mwizi aache kuiba .
Mama kama anataka kua Mtume, aanzishe Msikiti awe Mtume huko !!.
Mwanadamu ameumbwa kupewa Adhabu ili abadilike..
Hivi kama Yesu mwenyewe alipigwa misumali na wanazengo licha ya kwamba aliponya viwete, alifufua, na waliona kabisa Kwa macho, ila bado wakamuua,
Sembuse Hela ?? Hela ??? .
Na mtume Muhammad ?? Au yeye ni Askofu?.Misikitini hakuna mitume,acha ujinga,uwe unajielimisha kabla ya kuzungumzia Jambo hadharani
Hakika, tunahitaji Katiba imara sana
Umeona eee! Yupo kuzimuuuuu! Anakula zake rungu! Maana kule ni za kufikia tu!Kweli kabisa. Ameficha hela China leo hii yupo wapi
Mtume ndiyo mitume!!?..na wanaabudu mitume/mtume msikitini!!?..bogus!!Na mtume Muhammad ?? Au yeye ni Askofu?.
Huyu mama ni dhaifu hilo halina ubishi.Mifumo ni mibovu ndio maana mnataka rais achunge hela. Kwenye mifumo yenye nguvu, CAG angejiridhisha na wezi amgewapeleka mahakamani kwa kesi. Sio mambo ya kusubiri rais wakati hakuna uhakika kama rais ni muadilifu. Kuna mwingine hivi majuzi alikuwa anajifanya mzalendo, matokeo yake imekutwa account huko China.
Rais anaetegea watu kama Makamba ndio wamshauri unategemea atakua na sauti tena juu ya wizi.Kwa kauli hiyo ni kama Rais amesha surrender kwa wezi, sasa ameamua kuwapa maneno ya upole ili waingiwe na huruma waache kuiba.
Hataki kutumia sheria zilizopo kuagiza vyombo vya usalama viwakamate wahusika wahojiwe, na hatua kali zichukuliwe dhidi yao.
Kwa kauli hiyo, sasa ni rasmi Rais anawalinda au kuwaogopa wezi.
Wanaona aibu kusema huu ukweli, wanamtetea kwa visababu vyepesi tu.Huyu mama ni dhaifu hilo halina ubishi.
Hilo la china ni propaganda tu.
Rais anahubiria wala rushwa na waiba mali za umma, amekua mtume mwamposa?
Kwa nchi yenye watu wanaojielewa Samia hana sifa ya kua hata balozi wa nyumba kumi.
Ajabu ndio rais, ndio maana haya yanatokea, sasa acha ahubirie wezi kwa miaka 7 ijayo kama hii nchi itakuwepo.