kt the irreplaceable
JF-Expert Member
- Oct 12, 2017
- 2,375
- 4,893
Mama yako kama yupo hai unajua atakufa kwa ugonjwa gani?Hiki kizazi kimejaa watu wapumbavu sana. Hiyo tender ilipita wakati wa Magufuli na mnataka kumlaumu Rais wa sasa ili mfiche madhambi ya mungu wenu aliyekufa kwa Covid.
Tafuteni lini hiyo tender ilikuwa awarded kwa hao Hyundai ndio muelewe.
Tumekuwa Taifa la pingapinga! Ndiyo maana CHADEMA tunaitwa nyumbu!Tena zipo aina nyingi tu na wanauza nchi nyingi tu sisi sio wa kwanza
Nashangaa jamaa anaponda utafikiri yuko kiwandani
Dah! Mkuu umenikumbusha mbali!Mmehamishia magoli kwenda kwenye muonekano wa treni kutoka kwenye "haiwezekani" mdogo mdogo tutafika tu kwenye "wahudumu wake Wana sura mbaya"
Hiyo picha ni "kielekelezo" tu cha kampuni kama nembo ya Bibi na bwana ya taifa letu, subiri picha halisi za mabehewa zije!
Unbelievable negative reaction to speculationTumesoma na tumeona. Lakini bandiko limetolewa na manufacturer. Sasa kama alimaanisha treni nyingine basi tulitegemea angeweka picha inayo fanana na kile tulicho kubaliana nacho. Na kama sio basi mtoa taarifa ya kushinda kwa hiyo zabuni atakuwa ametudhalilisha sisi sana watabzania kwa kuonyesha kuwa hiyo ndiyo treni ambayo sisi tumestahili kuitolea Tender.
Mbele.Huo ni muuonekano wa mbele au nyuma ? I hope hapo ni nyuma mbele iko vizuri
[emoji3][emoji3][emoji3] Ungejua Material Science ni nini? Usinge andika utumbo kama huo. Lakini kwa vile hujui nini maana yake na aplication yake iko vipi, ngoja nikuache kama ulivyo.Wewe unangalia muundo. Sisi tunaangalia uimara na utendaji kazi. Hakuna kitu cha kumridhisha kila mtu. Pita huko usipande tumia gari
[emoji1666]Vitu vya korea tatizo lake ni gharama zake za uendeshaji kama vipuri n.k ni ghali
Ningekushauri kasome tena vitabu vya kisayansi ili ujue kama treni za umeme zina engine au zina kitu kingine ambacho kinazipa power ya drive. Iangalie Fan yako ya kitandani alafu niambie kama kuna kuna engine kwenye ile housing.Nimeishia kwenye kuburudisha macho.. nikaona utakuwa hauna tofauti na vile wanawake huchagua magari kwa kuangalia rangi[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]...
Wanaume lazima aulizie engine, Mama Samia kakushinda kwenye hili mkuu.
High speed trains zote lazima ziwe zimeundwa kwa misingi ya aerodynamic. Bila hilo CW Values zake zitakuwa kubwa na hivyo kuzifanya zitumia energy kubwa kwa matokeo madogo ya speed.Mkataba haukuingiwa kuleta maboksi badala ya treni za kisasa zinazotumia umeme. Umbo lililopo kwenye picha ni wazi haina uwezo wa kusafiri kwa kasi kwa kutokuwa na mizania ya upana na urefu lakini hata kukata upepo bila ukinzani hatarishi..
Usikimbilie kudai kuna upotoshaji
Haijalishi kama niko kiwandani au sio. Hii ni digital era, kwa hiyo ni busara nasi tukawa na vitu vya kuvutia na sio kuendelea kusafiri na treni ambazo zinaonekana kama ma-Container ya HAPAG Lloyd. Kwani tumekuwa mizigo sisi?
Hiyo ya juu ni High speed train, ya katikati ni treni ya kupiga masafa ya ndani ya mji na kando kando kama tuseme posta mpaka kibaha au Mkuranga. Haina speed kubwa sana. Max. Speed ni 80-100 km/h. Hiyo ya chini inaweza unganisha miji miwili na kuwa na speed mpaka 150 km/h.
Treni za umeme basically hazina engine, zinaendeshwa kwa Rotation energy kutoka kwenye generator kama.magari ya umeme yanavyo endeshwa.Kwani hizo ni za hii kampuni inayotajwa humu, kwa sababu hatujui muundo wake ndani na uwezo wa injini wanaweza ku-opt yoyote kati ya hizo. Kama mambo mengine mfano bei yapo constant wanaweza kuchanganya design zote kwa idadi sawia au kwa upendeleo wa design moja dhidi ya zingine....kitu kingine wangejitahidi kukamilisha kipande kizima cha SGR kutoka Dar-Dodoma ili hizo treni zianze kuleta manufaa ya haraka.
Wachaina bado hawako vizuri katika treni mkuu. Treni nyingi unazo ziona China ninzile ambazo wameshirikiana nanmakampuni mengine kama Siemens ya ujerumani, Bombardier ya Canada, KAWASAK ya Japan na kadhalika. Sidhani pia kama Hyundai wako vizuri kwenye huu utaalam. Ndiyo kwanza nimesikia sasa hivi.Kweli mkuu hata mimi nina mashaka na hii kampuni ya Hyundai kwenye swala la ubora, vinginevyo wangechanganya na zile za kijapan na kichina...
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kama used bombardiers
Hiyo iliyo tolewa kwenye Website ya Hyundai.View attachment 1848829
Hizi ndo unaziponda au??
Kama n hiyo iliyopo kwene picha ndo unaiponda bas ww n BONGO ZOZO
[emoji106]Watu watakuwa wanabebea Samaki wa feri humo, unategemea nini?!