Rais Samia, nani kakushauri kununua Treni zenye muundo mbovu namna hii?

Hiki kizazi kimejaa watu wapumbavu sana. Hiyo tender ilipita wakati wa Magufuli na mnataka kumlaumu Rais wa sasa ili mfiche madhambi ya mungu wenu aliyekufa kwa Covid.

Tafuteni lini hiyo tender ilikuwa awarded kwa hao Hyundai ndio muelewe.
Mama yako kama yupo hai unajua atakufa kwa ugonjwa gani?
 
Dah! Mkuu umenikumbusha mbali!
 
Unbelievable negative reaction to speculation

Just unbelievable
 
Wewe unangalia muundo. Sisi tunaangalia uimara na utendaji kazi. Hakuna kitu cha kumridhisha kila mtu. Pita huko usipande tumia gari
[emoji3][emoji3][emoji3] Ungejua Material Science ni nini? Usinge andika utumbo kama huo. Lakini kwa vile hujui nini maana yake na aplication yake iko vipi, ngoja nikuache kama ulivyo.
 
Nimeishia kwenye kuburudisha macho.. nikaona utakuwa hauna tofauti na vile wanawake huchagua magari kwa kuangalia rangi[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]...

Wanaume lazima aulizie engine, Mama Samia kakushinda kwenye hili mkuu.
Ningekushauri kasome tena vitabu vya kisayansi ili ujue kama treni za umeme zina engine au zina kitu kingine ambacho kinazipa power ya drive. Iangalie Fan yako ya kitandani alafu niambie kama kuna kuna engine kwenye ile housing.
 
High speed trains zote lazima ziwe zimeundwa kwa misingi ya aerodynamic. Bila hilo CW Values zake zitakuwa kubwa na hivyo kuzifanya zitumia energy kubwa kwa matokeo madogo ya speed.
 
Haijalishi kama niko kiwandani au sio. Hii ni digital era, kwa hiyo ni busara nasi tukawa na vitu vya kuvutia na sio kuendelea kusafiri na treni ambazo zinaonekana kama ma-Container ya HAPAG Lloyd. Kwani tumekuwa mizigo sisi?

Inategemea na speed ya train maana hizo za mchongoko ni bullet train [emoji583] na hizi tunaletewa speed ndogo lazima maumbile yawe tofauti

Angalia hata train za miji mikubwa sura mbaya na ni karne hii hii
Sidhani kama bullet train zitahimili reli yetu na ndio maana wanaleta za hivyo
 

Kweli
Naaafiki haya
 
Kwa uelewa wangu kutokana na kutembea nchi kadhaa pamoja na kuona kupitia media mbali mbali ni kwamba treni ya mizigo haina muonekano Sawa na treni za abiria. Hii upo hivyo China, Japan, ujerumani, Sweden na hata Korea kwenyewe. kuna picha mdau mmoja ame share hapa akijaribu kulinganisha utaona zile alizoweka ni treni za abiria. Hivyo basi hii picha inayosambaa ni kichwa cha treni ya mizigo. Ya abiria ya kwetu nayo itakua tufauti kidgo.
 
Treni za umeme basically hazina engine, zinaendeshwa kwa Rotation energy kutoka kwenye generator kama.magari ya umeme yanavyo endeshwa.

Kabla ya kuingia makubaliano ya ununuzi serikali yetu inatoa purchase offer, yaani ina bid na makampuni yanayo manufacture hizo products wanakuja na quatations na conditions zao za uuzaji.

Wataalam wetu wa serikali walio bobea katika maswala kama haya ya treni za umeme na watu wa manunuzi wanapitia quatations na conditions hizo za hayo makampuni tofauti, yaani wanaenda mpaka viwandani wanako tengeza hayo matreni na kuangalia michoro (texhnical drawings) ya hizo treni na pia kubadilishana Information za kitaalam.

Makubaliano yakifikia sisi upande wa serikali na wataalam wetu wanatoa kitabu kiitwacho requirements document ambamo ndani yake maelezo yote ya jinsi sisi treni yetu hiyo inavyo takiwa ionekane. Sijui kama sisi tunafanya hivyo. Wanunuzi wengi wa nchi tofauti huwa wanafanya hivyo.

Kwa mfano DB (DEUTSCHE BAHN) ya Ujerumani na China Railway wanafanya hivyo na hata wanawapeleka wataalam wao kwenye viwanda vilivyo pewa zabuni na kufanya kazi huko za kuzisindikiza products zao na kuhakikisha kama kila kitu kinakuwa kama kilivyo kwenye makubaliano ili kupata kitu cha uhakika na kwa bei ridhishi kwa kuangalia pia uwezo wetu.
 
Kweli mkuu hata mimi nina mashaka na hii kampuni ya Hyundai kwenye swala la ubora, vinginevyo wangechanganya na zile za kijapan na kichina...
Wachaina bado hawako vizuri katika treni mkuu. Treni nyingi unazo ziona China ninzile ambazo wameshirikiana nanmakampuni mengine kama Siemens ya ujerumani, Bombardier ya Canada, KAWASAK ya Japan na kadhalika. Sidhani pia kama Hyundai wako vizuri kwenye huu utaalam. Ndiyo kwanza nimesikia sasa hivi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…