Rais Samia: Nani kasema Maendeleo yanaletwa na Kitabu? Mbona Vitabu vya Dini tunavikiuka?


Dah matumizi mabaya Sana ya Uhuru wa kutoa maoni
 
Mmbwa ty ww
 
Kama ingelikuwa hiari yangu hapa duniani....

Ili kuyakwepa haya madudu ya huyu mama.... ambae hajui! Halafu maskini!....Hajui ya kwamba hajui!!!

I CAN DECIDE TO BE MY OWN COUNTRY!(Me,Myself&I).
 
Hujamsikiliza vizuri Mheshimiwa Raisi, unachomoa tu kaneno kamoja kisha unakimbia nacho kama kuku aliuekatwa kichwa.

Haters Kila wakati mnatafuta Cha kuzusha. So pathetic.
"Hata vitabu vya dini tumevikuta" hapa anakazia kuwa katiba si lolote, si chochote.
Utetezi wako haujakidhi matakwa.
 
Mama anahisi Katiba Mpya itamfutilia mbali kwenye uongozi. Hiyo hotuba uliyopachika anaongea kwa hasira sana na kapanic
Hakuna mwenye ubavu wala uwezo wa kushindana na Rais samia katika sanduku la kura.Unganeni lakini hamtashinda na hamuwezi kumshinda Rais samia katika uchaguzi.
 
Hujamsikiliza vizuri Mheshimiwa Raisi, unachomoa tu kaneno kamoja kisha unakimbia nacho kama kuku aliuekatwa kichwa.

Haters Kila wakati mnatafuta Cha kuzusha. So pathetic.
Alitakiwa kumsikiliza kwa namna ipi?
 
Tecc ndio wanawatuma mtukane viongozi
 
Dah,jana nimeona aibu,Rais anaropoka mambo ya ajabu alafu mbele ya Mabalozi.Yule Bibi uwezo wa kuongoza nchi hana,amejaa mipasho sana!
 
Kwa jinsi alivyokuwa anaongea Napata shida kuelewa mtiririko wake wa fikra ulikuaje. Mwanamke nafasi yake ni jikoni
Kwani wewe kwa akili yako kizibo hiyo unafikiri tungefika hapa kiuchumi mahali tunapopongezwa na Taasisi mbalimbali za kimataifa kama siyo ushupavu na umadhubuti wa Rais samia? Huoni namna tulivyo piga hatua katika kila eneo? Huna akili kabisa wewe.
 
Kwa jinsi alivyokuwa anaongea Napata shida kuelewa mtiririko wake wa fikra ulikuaje. Mwanamke nafasi yake ni jikoni
Kwani wewe kwa akili yako kizibo hiyo unafikiri tungefika hapa kiuchumi mahali tunapopongezwa na Taasisi mbalimbali za kimataifa kama siyo ushupavu na umadhubuti wa Rais samia? Huoni namna tulivyo piga hatua katika kila eneo? Huna akili kabisa wewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…