Prof Griff
JF-Expert Member
- Aug 29, 2008
- 6,772
- 5,258
Mwanamke ni kiumbe duni tangu kuumbwa kwa ulimwengu kama unabisha nenda kasalishe masjid uone motoWewe nae tuwachie porojo zisizo na mpango, UK katiba yao iko wapi? Israel katiba yao iko wapi?
Hizo nchi mbili nilizokuwekea hazina maendeleo?
Nyie wasukuma mnajulikana mila zenu, kuwadunisha wanawake, hiyo ilikuwa babu zenu, siyo karne hii.
Nyerere miaka 24 aliyotuongoza alikuwa na uwezo gani kiutendaji zaidi ya kupiga porojo tu?
Wewe jinga ndio unapaswa kudharauliwa na kupuuzwa maana ni aibu kumjibu mtu aina yako unayeonekana kuwa na matatizo ya akili.Unastahili kupuuzwa. Usijekuta na argue na mwijaku
Rais Samia amesema " Viongozi wa Kisiasa tunadhani tuna Haki ya kuburuza watu tunawageuza watu Makasuku, nenda kamuulize kifungu gani cha Katiba kinakuudhi, hajui sasa Katiba mpya ilete nini anakujibu Maendeleo tu, nani kasema Maendeleo yanaletwa na Kitabu? Kama kuheshimu Vitabu tungeheshimu Vitabu Vitakatifu, mbona Vitabu vya Dini tunavikiuka?"
Source: East Africa TV
Nimependa huu Ujumbe na utakuwa ndio Ujumbe bora wa mwezi September!
Anayeweza kukuunga mkono ni Tahira tu na mwendawazimu tu kama weweAnayebishana na mada hii Akili zake fupi
Nitajie Nchi ambazo Katiba Mpya imeleta maendeleo na Mimi nikutajie ambazo hazina Katiba Mpya na zimeendeleaJibu ni ndio
Jibu swali Katiba Mpya imeleta maendeleo Nchi gani hapa Africa.Sasa ulichouliza kina mantiki gani?, Nikikutakana na huyo Taos wako ntaonekana mgomvi?.
Wewe kichaa unatakiwa kufungiwa maana ni aibu kuacha vichaa aina yako kuendelea kutumia jukwaa hiliTo cut the story short, mother ni zero brain! Mods na nyie msinipige ban! Msema kweli mpenzi wa Mungu. Sijui kwa nini Magu hakukomaa kumchafua Mwinyi kama running mate! Ametuletea kadhia kwenye nchi yetu!
Desturi yangu hainiruhusu kujadiliana na vijana mlio tayari kuingiliwa na wezi wa rasilimali ilimradi mkono uende kinywaniWewe jinga ndio unapaswa kudharauliwa na kupuuzwa maana ni aibu kumjibu mtu aina yako unayeonekana kuwa na matatizo ya akili.
Kwani katiba ni proposal ya mradi gani hadi useme inaleta maendeleo?Jibu swali Katiba ndio inaleta maendeleo? Vinginevyo ishia kuokota ma box huko huko hakuna Cha diaspora Tzn
Unataka watu wakatize sala zao? Sijainama kurukuu naonekana nimeinama:Mwanamke ni kiumbe duni tangu kuumbwa kwa ulimwengu kama unabisha nenda kasalishe masjid uone moto
Kwa hiyo Rais Samia alitaka kusema nini?
Hakuna haja ya kuwa na vitabu vitakatifu au katiba?
Hata tukiwa na hivyo vitabu bado hatupaswi kuvifuata?
Kuna vitu mtu mwenye heshima au mamlaka hupaswi kuvisema mbele za watu, maana ukivisema watu watagundua ujinga ulionao.
Mwenye akili fupi kama wewe huwezi ukaelewa maana kichwa chako ni kama kimejaa mibangi tu iliyokukataaHivi Ile ni hotuba imeandikwa au alisikiliza mashairi ya Taarabu kwaajili ya kuja kuwachamba CHADEMA na Mdude!🤣🤣
Mimi sipo Tayari kuendeleza majibizano na wewe unayeonyesha dhahiri kuwa kubwa jingaDesturi yangu hainiruhusu kujadiliana na vijana mlio tayari kuingiliwa na wezi wa rasilimali ilimradi mkono uende kinywani
"Kijitabu tu"Rais Samia amesema " Viongozi wa Kisiasa tunadhani tuna Haki ya kuburuza watu tunawageuza watu Makasuku, nenda kamuulize kifungu gani cha Katiba kinakuudhi, hajui sasa Katiba mpya ilete nini anakujibu Maendeleo tu, nani kasema Maendeleo yanaletwa na Kitabu? Kama kuheshimu Vitabu tungeheshimu Vitabu Vitakatifu, mbona Vitabu vya Dini tunavikiuka?"
Source: East Africa TV
Nimependa huu Ujumbe na utakuwa ndio Ujumbe bora wa mwezi September!