Rais Samia: Nani kasema Maendeleo yanaletwa na Kitabu? Mbona Vitabu vya Dini tunavikiuka?

Rais Samia: Nani kasema Maendeleo yanaletwa na Kitabu? Mbona Vitabu vya Dini tunavikiuka?

Kwahiyo CCM leo hii ndiyo wanataka kupitia huyo mama wa nyumbani eti "elimu ya katiba" ianze kutolewa tena kwa miaka mitatu, kabla ya yoyote?. Kwanini siyo miaka ya nyuma, wakati Serikali na wenye madaraka ni CCM tokea uhuru? Nilipokuwa O-level enzi hizo miaka ya 80 nakumbuka wakati wa kipindi cha Siasa, katiba iliyokuwa kwenye mtaala ni ile ya CCM na siyo ya JMT.
 
Wewe nae tuwachie porojo zisizo na mpango, UK katiba yao iko wapi? Israel katiba yao iko wapi?

Hizo nchi mbili nilizokuwekea hazina maendeleo?

Nyie wasukuma mnajulikana mila zenu, kuwadunisha wanawake, hiyo ilikuwa babu zenu, siyo karne hii.
Mwanamke ni kiumbe duni tangu kuumbwa kwa ulimwengu kama unabisha nenda kasalishe masjid uone moto
 
Rais Samia amesema " Viongozi wa Kisiasa tunadhani tuna Haki ya kuburuza watu tunawageuza watu Makasuku, nenda kamuulize kifungu gani cha Katiba kinakuudhi, hajui sasa Katiba mpya ilete nini anakujibu Maendeleo tu, nani kasema Maendeleo yanaletwa na Kitabu? Kama kuheshimu Vitabu tungeheshimu Vitabu Vitakatifu, mbona Vitabu vya Dini tunavikiuka?"

Source: East Africa TV

Nimependa huu Ujumbe na utakuwa ndio Ujumbe bora wa mwezi September!


Eeh?!

Maendeleo hayaletwi na Katiba? Kwani Katiba ni nini?

Kumbe anakiuka vitabu vya dini yake?

Kwahiyo hiyo inampa sababu ya kukiuka Katiba ya nchi aliyoapa kwa kutumia kitabu cha dini yake kuilinda na kuisimamia?

Inawezekana kile kiapo huwa ni maigizo?
 
To cut the story short, mother ni zero brain! Mods na nyie msinipige ban! Msema kweli mpenzi wa Mungu. Sijui kwa nini Magu hakukomaa kumchafua Mwinyi kama running mate! Ametuletea kadhia kwenye nchi yetu!
Wewe kichaa unatakiwa kufungiwa maana ni aibu kuacha vichaa aina yako kuendelea kutumia jukwaa hili
 
Mwanamke ni kiumbe duni tangu kuumbwa kwa ulimwengu kama unabisha nenda kasalishe masjid uone moto
Unataka watu wakatize sala zao? Sijainama kurukuu naonekana nimeinama:

1694539053821.png
 
Kwa hiyo Rais Samia alitaka kusema nini?
Hakuna haja ya kuwa na vitabu vitakatifu au katiba?
Hata tukiwa na hivyo vitabu bado hatupaswi kuvifuata?

Kuna vitu mtu mwenye heshima au mamlaka hupaswi kuvisema mbele za watu, maana ukivisema watu watagundua ujinga ulionao.


Itabidi azungumze tena na waandishi kutoa maelezo na kusawazisha hii kauli yake.

Haina afya ki roho wala kimwili kwa taifa.



Kisiasa sishangai maana kuna mtu alishafananishwa na Yesu.
 
Huyu mama amewahi kuwa makamu mwenyekiti wa bunge la katiba. Kama anadhani katiba siyo muhimu, alifata nini huko?. Au alifuata posho tu?

Aliapa kulinda na kutetea katiba, iliyopo kwa mujibu wa sheria, kama katiba siyo muhimu aliapa kuilinda na kuitetea ya nini?.

Kwa hiyo anatuona sisi sooote tulioshiriki kutoa maoni ya katiba mpya mwaka 2012/13 hatuna akili?

Huyu mama katudharau sana, yaani katuonyesha dharau ya kufa mtu.

Anazungumza jambo zito kama katiba kwa hoja dhaifu zisizo na mashiko kabisa. Yaani nimemshusha vibaya sana.

Hafai, hafai hata kulumangia!
 
Rais Samia amesema " Viongozi wa Kisiasa tunadhani tuna Haki ya kuburuza watu tunawageuza watu Makasuku, nenda kamuulize kifungu gani cha Katiba kinakuudhi, hajui sasa Katiba mpya ilete nini anakujibu Maendeleo tu, nani kasema Maendeleo yanaletwa na Kitabu? Kama kuheshimu Vitabu tungeheshimu Vitabu Vitakatifu, mbona Vitabu vya Dini tunavikiuka?"

Source: East Africa TV

Nimependa huu Ujumbe na utakuwa ndio Ujumbe bora wa mwezi September!
"Kijitabu tu"
 
Back
Top Bottom