Rais Samia naomba umwambie Kamala Harris, Tanzania ushoga ni 'NO'

Rais Samia naomba umwambie Kamala Harris, Tanzania ushoga ni 'NO'

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
kamala-harris-3.jpg


Tumepata habari rasmi kuwa kuna ujio wa ugeni mzito tika Marekani. Zaidi soma Makamu wa Rais Marekani, Kamala Harris kuitembelea Tanzania

Makamu wa Rais Marekani mama Kamara Harris anakuja ziara ya kiserikali nchini mwetu Tanzania.
Hii ni heshima kubwa kwa Tanzania.

Hapa nchini watakuwa wameisha fika marais watatu kwa kumbukumbu zangu, Rais Bush, Rais Obama na sasa Makamu Kamara Harris.

Ila kwa vuguvugu la huu ushetani unaoongozwa na serikali ya Marekani, hasa chama cha Democrats, kutetea ushoga, mimi binafsi natofautiana na Wamarekani.
Kwa sisi waafrika ushoga ni mwiko, haramu, chafu.

Naomba Mama Samia mkaribishe mama Kamara Harris ambaye tabasamu lake ni la kukata na shoka, nalipenda sana.

Lakini ushoga mwambie si sera ya CCM, wala CHADEMA, wala ACT.
Sera za ushoga mwambie zisije na Airforce Two.
 
Si mlichagua kuchanjwa?

ndio muache kuvamia vamia agenda za watu

kwanini Vuguvugu la kampeni ya ushoga Dunia nzima limeanza baada ya Kampeni ya kuchanja ?

pengine mepandikizwa vimelea vya kunyotoa nyotoa!

chanjo yenyewe inaitwa Johnson Johnson ?
 
Miafrika inatumia nguvu zote kupinga ushoga ila mambo mengine ya msingi haifanyi.

Nguvu inayotumika kupinga ushoga, swala ambalo ni almost negligible, ni sawa na kuua nzi kwa nyundo. Kuna mambo mengi yanagusa jamii nzima kwa ujumla watu mmetulia tu ila ushoga kila mtu anatokwa povu. Nonsense.
 
Kama vile ulikuwa mawazoni mwangu yaani huyo mama na masuala hayo ya ushoga kwenye kampeni zake alikuwa akiongea waziwazi chondechonde rais wetu utamaduni wetu unajulikana msije mkaleta hiyo kitu nchini kwetu.
 
View attachment 2551469

Tumepata habari rasmi kuwa kuna ujio wa ugeni mzito tika Marekani. Zaidi soma Makamu wa Rais Marekani, Kamala Harris kuitembelea Tanzania

Makamu wa Rais Marekani mama Kamara Harris anakuja ziara ya kiserikali nchini mwetu Tanzania.
Hii ni heshima kubwa kwa Tanzania.

Hapa nchini watakuwa wameisha fika marais watatu kwa kumbukumbu zangu, Rais Bush, Rais Obama na sasa Makamu Kamara Harris.

Ila kwa vuguvugu la huu ushetani unaoongozwa na serikali ya Marekani, hasa chama cha Democrats, kutetea ushoga, mimi binafsi natofautiana na Wamarekani.
Kwa sisi waafrika ushoga ni mwiko, haramu, chafu.

Naomba Mama Samia mkaribishe mama Kamara Harris ambaye tabasamu lake ni la kukata na shoka, nalipenda sana.

Lakini ushoga mwambie si sera ya CCM, wala CHADEMA, wala ACT.
Sera za ushoga mwambie zisije na Airforce Two.
ushoga ni sera ya ccm ndio maana democrats wanaounga mkono ushoga ni rafiki wa ccm.
 
View attachment 2551469

Tumepata habari rasmi kuwa kuna ujio wa ugeni mzito tika Marekani. Zaidi soma Makamu wa Rais Marekani, Kamala Harris kuitembelea Tanzania

Makamu wa Rais Marekani mama Kamara Harris anakuja ziara ya kiserikali nchini mwetu Tanzania.
Hii ni heshima kubwa kwa Tanzania.

Hapa nchini watakuwa wameisha fika marais watatu kwa kumbukumbu zangu, Rais Bush, Rais Obama na sasa Makamu Kamara Harris.

Ila kwa vuguvugu la huu ushetani unaoongozwa na serikali ya Marekani, hasa chama cha Democrats, kutetea ushoga, mimi binafsi natofautiana na Wamarekani.
Kwa sisi waafrika ushoga ni mwiko, haramu, chafu.

Naomba Mama Samia mkaribishe mama Kamara Harris ambaye tabasamu lake ni la kukata na shoka, nalipenda sana.

Lakini ushoga mwambie si sera ya CCM, wala CHADEMA, wala ACT.
Sera za ushoga mwambie zisije na Airforce Two.
Ushoga na mashoga wabakie nao kwenye baraza lao la mawaziri. Sisi ni chukizo la mungu na ni chukizo kwa jamii yetu.
 
View attachment 2551494
"Kanisa" la mashoga litafungiwa kwa mujibu wa shera.


Hivi kuna shetani gani kaingia kati ya Makanisa na Ushoga??

Ajabu siku hizi imekuwa ngumu kitenganisha kati ya makanisa na Ushoga!!.

Yesu naomba ushuke haraka kutoka huko mbinguni kwani huoni jinsi kanisa linavyo chafuliwa na hao watumishi wako??-- Bwana Yesu, Papa, Askofu mkuu wa Anglicans na viongozi wengine wa makanisa wamekumbwa na janga la ushoga kwa mgongo wa kanisa, tafadhali shuka haraka kabla mambo hayajawa mambo, si unajua watu wa luti (Sodoma na Gomora) kilichowapata?!, je unataka adhabu pia hiyo iwapate watu wako??, je nani atalaumiwa zaidi kati yako na watu wako??, bila shaka wewe ndiye utastahili lawama kubwa kwa kukaa kwako juu mbinguni ukila starehe kwa baba huku ukiwaona kondoo wako "wakichakatana kishoga kupitia kanisa" na wewe usishuke kuja kuwaonya au ile ahadi ya kushuka kwako sio ya kweli??! Au kuwepo kwako mbinguni ni fumbo la kiroho ambalo tuliowengi hutulijui??!.
 
Inasikitisha sana
Miafrika inatumia nguvu zote kupinga ushoga ila mambo mengine ya msingi haifanyi.

Nguvu inayotumika kupinga ushoga, swala ambalo ni almost negligible, ni sawa na kuua nzi kwa nyundo. Kuna mambo mengi yanagusa jamii nzima kwa ujumla watu mmetulia tu ila ushoga kila mtu anatokwa povu. Nonsense.
 
Back
Top Bottom