Rais Samia naomba umwambie Kamala Harris, Tanzania ushoga ni 'NO'

Rais Samia naomba umwambie Kamala Harris, Tanzania ushoga ni 'NO'

Hivi hakuna sheria hapa Tz ya kudhibiti vyombo vya habari kutoa habari za uongo??, je hakuna magazeti yaliyowahi kuchukuliwa hatua kwasababu ya kuandika habari za uongo au kuchafua nk??
Hivi tunacho debate ni Nini hasa? Kwahiyo sababu tu hatua hazijachukuliwa basi habari tuiamini?

Screenshot_20230316_205827.jpg

Umeona habari hizo za YouTube? Je Nazo tuziamini sababu hazijafungiwa na TCRA??

Mbona unaweza google tu tofauti ya ministry na kanisa Wala hakuna haja ya kulumbana. ni hivi huduma sio Kanisa and that won't change whether you hold ur stance or not.
 
Ni shughuli zipi hizo zinazoratibiwa na huyo ceremonial leader??.

Wewe utazunguka weeee lakini swali lipo palepale na hujalijibu.
Sio kazi yangu kukufundisha uongozi wa Church of England ila niko hapa kuweka rekodi sawa kwenye misinformation zako. Kwa kuhitimisha Anglican ni autonomous so Kila kanisa linajitegemea kimaamuzi so hakuna kiongozi mwenye kufanya maamuzi kwa niaba ya kanisa lote ulimwenguni.

I rest my case
 
US ianguke Kwa maandamano? Are you serious? By the way hiyo Israel inalinda haki za Ushoga una maoni Gani? Je Mungu ataiangamiza?


Nani kaupigia chapuo? Mie nimeweka rekodi sawa tu kuwa dhambi zote ni sawa so hata usipofanya ushoga kama ni mzinzi au mlevi mna dhambi Sawa sawa tu na kibali kitaondoka kwenye taifa.
Wewe ni shoga?
 
Jibu swali Hilo taifa teule la Israel Lima support ushoga kuliko USA je lini litaangushwa?? Jibu hili swali usikimbie kimbie.
Hao Wana AHADI na Mungu, wanafuata TORATI ya Musa, walimkataa Yesu, wataokolewa Kwa MOTO.

Taifa la Israel ni Wana wa Uasi, wanamsubiri masihi wao Masih jadal, Mpinga kristo. Walimkataa Yesu ndomana Hapajatulia Hadi Leo. Ndomana unashuhudia unayosema.

Tanzania ndilo Taifa la AGANO. Mungu amelichagua Taifa hili Ili kuwapokea Wana wa Mungu ktk siku hizi za mwisho Dunia yote, wamwaminio YESU.

Tanzania Ina makabila zaidi ya 130 bt tunaishi Kwa Amani, Amani na Utulivu ulioko Tanzania Si wa Bahati mbaya.

Utasikia Kila aina ya mitikisiko, vita na machafuko bt Tanzania itaendelea kutulia. Nchi hii ndo imeibeba Dunia nzima ktk Ulimwengu wa Roho.

Hutosikia USHETANI huo ukisimama kisheria ktk Nchi hii.

Soon atainuka mtawala hapa Tanzania atakayesimamia Mapenzi ya Mungu duniani.

Kuyaelewa nisemayo, akili ya kipepo ikutoke kwanza.
 
View attachment 2551469

Tumepata habari rasmi kuwa kuna ujio wa ugeni mzito tika Marekani. Zaidi soma Makamu wa Rais Marekani, Kamala Harris kuitembelea Tanzania

Makamu wa Rais Marekani mama Kamara Harris anakuja ziara ya kiserikali nchini mwetu Tanzania.
Hii ni heshima kubwa kwa Tanzania.

Hapa nchini watakuwa wameisha fika marais watatu kwa kumbukumbu zangu, Rais Bush, Rais Obama na sasa Makamu Kamara Harris.

Ila kwa vuguvugu la huu ushetani unaoongozwa na serikali ya Marekani, hasa chama cha Democrats, kutetea ushoga, mimi binafsi natofautiana na Wamarekani.
Kwa sisi waafrika ushoga ni mwiko, haramu, chafu.

Naomba Mama Samia mkaribishe mama Kamara Harris ambaye tabasamu lake ni la kukata na shoka, nalipenda sana.

Lakini ushoga mwambie si sera ya CCM, wala CHADEMA, wala ACT.
Sera za ushoga mwambie zisije na Airforce Two.

Matonya hana jeuri.
 
Hao Wana AHADI na Mungu, wanafuata TORATI ya Musa, walimkataa Yesu, wataokolewa Kwa MOTO.

Taifa la Israel ni Wana wa Uasi, wanamsubiri masihi wao Masih jadal, Mpinga kristo. Walimkataa Yesu ndomana Hapajatulia Hadi Leo. Ndomana unashuhudia unayosema.

Tanzania ndilo Taifa la AGANO. Mungu amelichagua Taifa hili Ili kuwapokea Wana wa Mungu ktk siku hizi za mwisho Dunia yote, wamwaminio YESU.

Tanzania Ina makabila zaidi ya 130 bt tunaishi Kwa Amani, Amani na Utulivu ulioko Tanzania Si wa Bahati mbaya.

Utasikia Kila aina ya mitikisiko, vita na machafuko bt Tanzania itaendelea kutulia. Nchi hii ndo imeibeba Dunia nzima ktk Ulimwengu wa Roho.

Hutosikia USHETANI huo ukisimama kisheria ktk Nchi hii.

Soon atainuka mtawala hapa Tanzania atakayesimamia Mapenzi ya Mungu duniani.

Kuyaelewa nisemayo, akili ya kipepo ikutoke kwanza.
Umenena vema.
Tanzania, Gods own country.
 
Tumepata habari rasmi kuwa kuna ujio wa ugeni mzito tika Marekani. Zaidi soma Makamu wa Rais Marekani, Kamala Harris kuitembelea Tanzania

Makamu wa Rais Marekani mama Kamara Harris anakuja ziara ya kiserikali nchini mwetu Tanzania.
Hii ni heshima kubwa kwa Tanzania.

Hapa nchini watakuwa wameisha fika marais watatu kwa kumbukumbu zangu, Rais Bush, Rais Obama na sasa Makamu Kamara Harris.

Ila kwa vuguvugu la huu ushetani unaoongozwa na serikali ya Marekani, hasa chama cha Democrats, kutetea ushoga, mimi binafsi natofautiana na Wamarekani.
Kwa sisi waafrika ushoga ni mwiko, haramu, chafu.

Naomba Mama Samia mkaribishe mama Kamara Harris ambaye tabasamu lake ni la kukata na shoka, nalipenda sana.

Lakini ushoga mwambie si sera ya CCM, wala CHADEMA, wala ACT.
Sera za ushoga mwambie zisije na Airforce Two.
Ushoga umejificha kwenye neno Demokrasia [(Demo-demos =Watu) + (Krasia-Kratos =Utawala)]=Serikali ya Watu na asili yake ni Ugiriki tangu karne ya 5 kabla ya kristo (BC)

Kwa hiyo ndio kusema

Demokratos ni mfumo wa serikali unaozingatia kwamba wananchi wote ni sawa mbele ya sheria na wanashiriki katika kufanya maamuzi ya kitaifa juu ya masuala ya Umma kwa njia ya moja kwa moja au uwakilishi kupitia watu waliochagua wenyewe. Hii ina maana kwamba wao hupiga kura moja kwa moja kwenye masuala kama vile sheria na katika chaguzi. Wakati mwingine huwakilishwa na viongozi wao waliowachagua. Ni utawala wa watu, na watawala hutawala kwa ridhaa ya watu. Kwa hiyo kimantiki ni mfumo unatoa fursa ya madaraka kwa Umma moja kwa moja au kutokana na uwakilishi wa watu waliochaguliwa na watu wenyewe.

Nukuu chanzo Wikipedia
mwanamume na mwanamke kupendana na kuzaliana katika familia. Jinsia hizo mbili zinalenga kukamilishana katika ndoa kwa kupendana na kuzaliana.

Kadiri ya Biblia, Mungu baada ya kumuumba Adamu alisema, “Si vema mtu awe peke yake. Nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye” (Mwa 2:18). Umbile la mwanamume linaelekea kukamilishana na lile la mwanamke kiroho na kimwili. Lakini roho haionekani, hivyo ni rahisi zaidi kuona jinsi miili yao inavyofaa kuungana iwe mwili mmoja. Hata hivyo tuelewe mkamilishano huo unafanyika katika nafsi pia, ambazo zina vipawa tofauti vinavyowezesha kwa pamoja kukabili vizuri maisha ya nyumbani, ya uchumi, ya siasa, ya dini n.k.

Mwelekeo wa kimapenzi humaanisha muundo wa kudumu wa kimhemko, kimahaba, na/au mivuto ya kimapenzi kwa jinsia fulani. Mwelekeo wa kimapenzi kwa kawaida humfanya mtu kupenda jinsia tofauti na ya kwake (kuwa na mvuto kwa wahusika wa jinsia nyingine), jambo ambalo linawezesha uzazi kadiri ya maumbile. Hata hivyo kuna mashoga/wasagaji (mwanamume anayevutiwa na wanaume/mwanamke anayevutiwa na wanawake), na watu wanaopenda jinsia zote mbili (mwanamume au mwanamke anayevutiwa na jinsia zote mbili; kwa Kiingereza: “bisexual”), mbali na wale wasio na mwelekeo wowote wala kusikia mvuto wowote wa namna hiyo (kwa Kiingereza: “asexuals”). Mwelekeo ukifuatwa unageuka tabia.
 
Sio kazi yangu kukufundisha uongozi wa Church of England ila niko hapa kuweka rekodi sawa kwenye misinformation zako. Kwa kuhitimisha Anglican ni autonomous so Kila kanisa linajitegemea kimaamuzi so hakuna kiongozi mwenye kufanya maamuzi kwa niaba ya kanisa lote ulimwenguni.

I rest my case
Hawa Jamaa wamehamia bandari sasa...
 
Back
Top Bottom