Rais Samia naomba umwambie Kamala Harris, Tanzania ushoga ni 'NO'

Rais Samia naomba umwambie Kamala Harris, Tanzania ushoga ni 'NO'

Hivi unaelewa maana ya maneno; "Homosexuality is not a crime", isitoshe unajua CAPACITY ya pope kwa kanisa katoliki duniani??

Tuanzie hapo kwanza.
Yes it's not a crime but a SIN.... So wanatakiwa waombewe, wapewe msaada wa kiroho n.k na sio kubaguliwa, kuuwawa n.k.

Mkuu... Tanzania pekee takwimu za Mewata zinasema 1/3 ya wanawake wa Tanzania wanaingiliwa kinyume na maumbile. Mind you hizi ni takwimu za 2015 huko. Ila umewahi ona wanaume hao wanabaguliwa au kuuwawa?? Kanisani wanasali na kuombewa Toba.

So yeye hajahalalisha ila anapinga wao kutengwa. Yesu alijumuika na kahaba hakumfukuza ila alimuombea but haimaanishi Yesu aliunga mkono ukahaba.
 
Unahitaji ujifunze zaidi kuliko kubisha mambo usiyoyajua, angalia ili ujue Capacity ya Archbishop of Canterbury👇🏻

View attachment 2553384
Mkuu mbona hatuelewani? Wapi nimekataa sio kiongozi wa Anglican? Hata Queen ni leader wa Australia na Canada ila ni ceremonious zaidi kuliko functional.

Anglican sio kma Catholic..... Wao Kila kanisa mfano Anglican ya Uganda (Church of Uganda) ni communion inayojitegemea so wanaweza fanya maamuzi Yao bila kuingiliwa na Askofu aliyepo Canterbury.

So ndio uelewe kwamba ni kiongozi ila Hana mamlaka juu ya Nchi wanachama. Ni kama tu mratibu fulani hivi.
 
Ministry ndio kanisa?? Ministry ni huduma tu ila kanisa ni TAASISI yenye katiba, uongozi, vikao rasmi n.k. so sio kweli kuwa Kuna KANISA linaunga mkono ushoga Tanzania.


Hilo swali muulize huyo muandishi kwenye hilo Gazeti.

Juu ya yote huyo unayemuita minister kwani yeye ni waziri katika serikali gani??!!-- bila shaka ni kasisi (priest) ama awe hana kanisa au analo lakini huwezi kuondoa mafungamano yake na Yesu na bila shaka alikuwa.na wafuasi na taratibu za kukutana mahali fulani na kufanya masuala ya kiimani, kimsingi hilo lilikuwa ni kanisa.
 
Mkuu mbona hatuelewani? Wapi nimekataa sio kiongozi wa Anglican? Hata Queen ni leader wa Australia na Canada ila ni ceremonious zaidi kuliko functional.

Anglican sio kma Catholic..... Wao Kila kanisa mfano Anglican ya Uganda (Church of Uganda) ni communion inayojitegemea so wanaweza fanya maamuzi Yao bila kuingiliwa na Askofu aliyepo Canterbury.

So ndio uelewe kwamba ni kiongozi ila Hana mamlaka juu ya Nchi wanachama. Ni kama tu mratibu fulani hivi.


Anaratibu nini??--- Kiongozi mkuu anaratibu nini??
 
Narudia tena,

Serikali ikihalalisha NGOs za mashoga na kupitisha SHERIA za Kuhalalisha NDOA za JINSIA moja,

Itakosa uhalali na KIBALI kuongoza wananchi.

ANGALIZO; Mamlaka yeyote Duniani iwe OVU au nzuri, hupata KIBALI Kutoka Kwa Mungu.

Kuruhusu USHOGA na NDOA za JINSIA moja kisheria ni kuvuka mipaka, US Kwa mfano, soon itaanguka kirahisi tu Kwa maandamano, sababu kuu ni kuvuka mstari.
Mkuu dini na siasa havikai pamoja sijui kwanini tunapenda kuforce. Israel si mnaliita taifa teule ila linaongoza kwa ushoga na haki za kulinda mashoga ila mnasema Kila cku wamebarikiwa sijui Wana akili n.k.

Marekani na uingereza nao Yale Yale tu ila nao kiuchumi wapo juu. So kama ushoga ndio litatuletea umasikini sijui israel na USA watasemaje.

Mind you dhambi sio ushoga tu, hata ufisadi unaofanyika inatosha kutuharibia hicho "kibali". Mind you wazinzi tunao wengi, wanaogeuza wake zao wapo wengi n.k eti Bado tuna kibali ila ushoga ndio kibali kitaondoka? Sikujua Mungu anachagua dhambi!
 
Hilo swali muulize huyo muandishi kwenye hilo Gazeti
Sio Kila gazeti ni source!! Ingekua mwananchi au citizen hapo kidogo ningekuelewa sio vigazeti uchwara vya uswazi.

bila shaka ni kasisi (priest) ama awe hana kanisa au analo lakini huwezi kuondoa mafungamano yake na Yesu na bila shaka alikuwa.na wafuasi na taratibu za kukutana mahali fulani na kufanya masuala ya kiimani, kimsingi hilo lilikuwa ni kanisa.
Eeh anaweza jiita anavyojiskia si ni HUDUMA tu!! Ila kusema ni kanisa Ina maana kamati kuu, baraza la maaskofu n.k walikaa vikao wakapitisha muswada wa kuunga mkono ushoga n.k. which is not true.

In fact hata Hilo kanisa halikuunga mkono Bali alisema Mungu anasamehe hta mashoga ila hakusema NAUNGA MKONO USHOGA au TUNAFUNGISHA NDOA ZA JINSIA MOJA.

Msipende misinformation
 
Anaratibu nini??--- Kiongozi mkuu anaratibu nini??
Anaratibu shughuli za makanisa wanachama wa "communion" za Anglican hivyo sio MKUU wa kanisa la ANGLICAN .... Ila papa ni Supreme leader wa Catholic church yaani kma Rais mwenye mamlaka kamili.

So sio kweli maoni yake ni msimamo wa kanisa Zima.
 
Mkuu dini na siasa havikai pamoja sijui kwanini tunapenda kuforce. Israel si mnaliita taifa teule ila linaongoza kwa ushoga na haki za kulinda mashoga ila mnasema Kila cku wamebarikiwa sijui Wana akili n.k.

Marekani na uingereza nao Yale Yale tu ila nao kiuchumi wapo juu. So kama ushoga ndio litatuletea umasikini sijui israel na USA watasemaje.

Mind you dhambi sio ushoga tu, hata ufisadi unaofanyika inatosha kutuharibia hicho "kibali". Mind you wazinzi tunao wengi, wanaogeuza wake zao wapo wengi n.k eti Bado tuna kibali ila ushoga ndio kibali kitaondoka? Sikujua Mungu anachagua dhambi!
Hoja Yako nn?

Lini Serikali imehalalisha lini UFISADI, Wizi, UZINZI, dawa za kulevya ktk SHERIA zake?

Kuwa CDM Si lazima upinge Kila kitu. Na CDM kama chama haikubaliani na vitendo vya kishoga kuhalalishwa kisheria.
 
Sio Kila gazeti ni source!! Ingekua mwananchi au citizen hapo kidogo ningekuelewa sio vigazeti uchwara vya uswazi.


Mwamba ngoma----, hilo gazeti ni registered kama Mwananchi na The Citizen hivyo hadhi zao ni sawa kisheria.
 
Anaratibu shughuli za makanisa wanachama wa "communion" za Anglican hivyo sio MKUU wa kanisa la ANGLICAN .... Ila papa ni Supreme leader wa Catholic church yaani kma Rais mwenye mamlaka kamili.

So sio kweli maoni yake ni msimamo wa kanisa Zima.


Kuratibu ndio kitu gani??, toa mfano ili nijue anaratibu kitu gani na kivipi??
 
Hoja Yako nn?

Lini Serikali imehalalisha lini UFISADI, Wizi, UZINZI, dawa za kulevya ktk SHERIA zake?

Kuwa CDM Si lazima upinge Kila kitu. Na CDM kama chama haikubaliani na vitendo vya kishoga kuhalalishwa kisheria.
Hoja yangu ni kwamba eti US itaanguka sababu tu ya kusupport Ushoga ndio nikakuuliza mbona Israel mnaliita taifa teule au mbona Uingereza ama France Ina uchumi mkubwa licha ya kusupport Ushoga??

Pia umesema mamlaka hutoka kwa Mungu ndio nakuuliza Toka lini dini na siasa zikaenda pamoja?. Mtu kaingia kwa kuiba kura au mapinduzi naye amewekwa na Mungu?

Bottom line ni kwamba unachokiita kibali kama Taifa hatuna sababu tayari Kuna ufisadi, ushirikina, na umalaya mwingi so sio mpaka sijui tuje kuhalalisha ushoga ndio so called kibali kiondoke.
 
Kuratibu ndio kitu gani??, toa mfano ili nijue anaratibu kitu gani na kivipi??
Communion wanakutana maaskofu tu wa makanisa kutoka nchi wanachama ni sawa tu na Rais wa baraza la maaskofu hapa Tanzania. Anaongoza maaskofu ila hawezi ingilia majukumu ya Jimbo katoliki katika eneo husika Wana semi-autonomy. Same to Anglican duniani hawana KIONGOZI mmoja Bali yeyote anayekua askofu wa kanisa la Canterbury ndio anakua "ceremonious" figure kuratibu shughuli za jumuiya ya viongozi wa makanisa ya kianglikana duniani.

So usichanganye haya masuala.... Otherwise kauli yake angeitoa ingekua final ingefanyiwa utekelezaji Hadi huku Tanzania.
 
Mwamba ngoma----, hilo gazeti ni registered kama Mwananchi na The Citizen hivyo hadhi zao ni sawa kisheria.
Sio kweli.... Hata kwenye research publications huwa tuna grade sources lazima zitoke kwenye journal kama Sage, Elsevier, Francis and Taylor n.k huwezi tu toa data kwenye kikaratasi Cha huko Tandahimba ukasema ndio FACT.

Hivi huko YouTube umewahi ingia? Unakuta headline JPM GHAFLA AFUFUKA!! sijui TB JOSHUA AONEKANA NA MALAIKA n.k. ukifungua video hakuna lolote so sio gazeti ni la ku cite.
 
Nchi imejaa wapumbavu Sana ,

Ushoga ni Akili zenu nyie watu weusi na sioni Kama ni tatizo eti Rais azungumzie Upumbavu kuhusu ushoga mnashindwa kulea watoto wenu vizuri mnabaki kutegemea wanasiasa fucking mind
 
Hoja yangu ni kwamba eti US itaanguka sababu tu ya kusupport Ushoga ndio nikakuuliza mbona Israel mnaliita taifa teule au mbona Uingereza ama France Ina uchumi mkubwa licha ya kusupport Ushoga??

Pia umesema mamlaka hutoka kwa Mungu ndio nakuuliza Toka lini dini na siasa zikaenda pamoja?. Mtu kaingia kwa kuiba kura au mapinduzi naye amewekwa na Mungu?

Bottom line ni kwamba unachokiita kibali kama Taifa hatuna sababu tayari Kuna ufisadi, ushirikina, na umalaya mwingi so sio mpaka sijui tuje kuhalalisha ushoga ndio so called kibali kiondoke.
So huelewi, hutaki kuelewa au hukufundishwa kuwa,

Mamlaka zote za Serikali duniani ziwe ovu au nzuri zimeruhusiwa na Mungu aliye juu?

Kama unakubaliana nami ktk Hilo, hutobisha kwamba us itaanguka Kwa maandamano maana aliyeruhusu iwepo ndo ataiangusha.

USHOGA ni Tatizo Sugu, mbona mnaupigia chapuo sana?
 
Bali yeyote anayekua askofu wa kanisa la Canterbury ndio anakua "ceremonious" figure kuratibu shughuli za jumuiya ya viongozi wa makanisa ya kianglikana duniani.


Ni shughuli zipi hizo zinazoratibiwa na huyo ceremonial leader??.

Wewe utazunguka weeee lakini swali lipo palepale na hujalijibu.
 
Sio kweli.... Hata kwenye research publications huwa tuna grade sources lazima zitoke kwenye journal kama Sage, Elsevier, Francis and Taylor n.k huwezi tu toa data kwenye kikaratasi Cha huko Tandahimba ukasema ndio FACT.

Hivi huko YouTube umewahi ingia? Unakuta headline JPM GHAFLA AFUFUKA!! sijui TB JOSHUA AONEKANA NA MALAIKA n.k. ukifungua video hakuna lolote so sio gazeti ni la ku cite.


Hivi hakuna sheria hapa Tz ya kudhibiti vyombo vya habari kutoa habari za uongo??, je hakuna magazeti yaliyowahi kuchukuliwa hatua kwasababu ya kuandika habari za uongo au kuchafua nk??

Hapo kwenye habari ya hilo gazeti huwezi kukwepa huo ukweli licha ya kujibaraguza, mwanzoni nilipokueleza habari hii ulitaka ushahidi, nimeleta ushahidi, ukadai hilo lililofungiwa sio kanisa bali ni Ministry hapo nimekubana utaje ni ministry ipi (Wizara ya serikali😀) ??, sasa umeruka na unadai eti hilo ni gazeti la Uswazi (unreliable source).😀😀
 
Kama unakubaliana nami ktk Hilo, hutobisha kwamba us itaanguka Kwa maandamano maana aliyeruhusu iwepo ndo ataiangusha.
US ianguke Kwa maandamano? Are you serious? By the way hiyo Israel inalinda haki za Ushoga una maoni Gani? Je Mungu ataiangamiza?

USHOGA ni Tatizo Sugu, mbona mnaupigia chapuo sana?
Nani kaupigia chapuo? Mie nimeweka rekodi sawa tu kuwa dhambi zote ni sawa so hata usipofanya ushoga kama ni mzinzi au mlevi mna dhambi Sawa sawa tu na kibali kitaondoka kwenye taifa.
 
Back
Top Bottom