Rais Samia naomba umwambie Kamala Harris, Tanzania ushoga ni 'NO'

Rais Samia naomba umwambie Kamala Harris, Tanzania ushoga ni 'NO'

Ndio maana nasema tutumie akili kubwa sana asilimia 60% hadi 80% ya wale ulikua unasikia mabaharia wa kuzamia meli ili waende ng’ambo hua hawasemi tu lakini wengi walifirwa sana ilikua uchague uogeshwe upendeze ugongwe au wakutose baharini, basi mabaharia wengi walifirwa kwa njia hiyo waone tu wanahadithia mara nilipita port fulani na port fulani wengi wao walichezea sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Haujiulizi kwa nini wao chakula organic kina bei kubwa kwao kuliko kawaida na wanakithamini sana chakula hicho organic, lakini unaletewa mbolea ya msaada, mbegu, na wanakushauri ufungue viwanda vingi vya mbolea, mwisho kabisa mara nguvu za kiume, linakua tatizo la kitaifa uwezo wa kuzalisha unapungua hapo tunakwenda taratibu kumbe ilitakiwa sera za kilimo tuziangalie ziendane na sisi wenyewe kwa kutumia akili kwamba wakulima wetu tunawafundisha kuzalisha vyakula organic kwa wingi sana ili kujenga afya ya watu wetu, lakini uvivu wa kufikiri kwa mtu mweusi GMO inaletwa linapokea kama jehu hivi
SAHIHI KABISAAAAA
 
Sioni kosa la serikali kwa sababu tayari sheria ilishatungwA kuzuia UFIRAJI.

Shida ni kwamba WAFIRANAJI mko nao huku mitaanii wanafirana magetoni kimya kimya.

Ulitaka serikali iende magetonii kupiga CHABO MADIRISHANI kuangalia nani anamfira nani!?

Ni HAITEKELEZEKI / UNENFORCEABLE LAW.

Kenya Ruto kashinikizwa atunge sheria hiyo, alichokifanya akaona itakua mtihani, NGO za mashoga mfano wa ile ilikua shinyanga sasa kwa kenya wakaenda mahakamani kujifanya wameshtaki waruhusiwe kukusanyika kweli mahakama imetoa hukumu kua wanaruhusa kwahiyo ruto kwenye majukwaa anawahadaa wakenya kua hahusiki lakini anahusika na anajua nini kafanya, jukwaani anainanga mahakama na kusema hawezi kuingilia maamuzi ya mahakama, lakini tayari huko gays wako huru tena kisheria kabisa, yaani watafanya mikutano, sherehe na baadae taratibu watapewa haki ya kua viongozi
 
Sioni kosa la serikali kwa sababu tayari sheria ilishatungwA kuzuia UFIRAJI.

Shida ni kwamba WAFIRANAJI mko nao huku mitaanii wanafirana magetoni kimya kimya.

Ulitaka serikali iende magetonii kupiga CHABO MADIRISHANI kuangalia nani anamfira nani!?

Ni HAITEKELEZEKI / UNENFORCEABLE LAW.
Usikwepeshe mada,

Tunachokataa ni Serikali Kuhalalisha NGOs za kutetea na kutambua watu hao na NDOA za JINSIA moja.

Sisi viongozi mbalimbali ktk JAMII tunaendelea kupambana na TABIA hizi Kwa njia mbalimbali Ili kulinda vizazi vijavyo,

Wakiharibika watoto wa kiume, hapatakuwa na uzao,

Tutatekwa completely.

Mungu atasafisha mifumo yote ya UOVU soon, upo muda mchache wa wahusika kutubu na kuacha.
 
Miafrika inatumia nguvu zote kupinga ushoga ila mambo mengine ya msingi haifanyi.

Nguvu inayotumika kupinga ushoga, swala ambalo ni almost negligible, ni sawa na kuua nzi kwa nyundo. Kuna mambo mengi yanagusa jamii nzima kwa ujumla watu mmetulia tu ila ushoga kila mtu anatokwa povu. Nonsense.
Hayo mengine fanya wewe sisi ushoga NO. Soon tutaanza kuwasaka na kuwaadhibu vikali mashoga.
 
Kipindi hiki dunia inajigawa pande mbili (wamagharibi na Russia na washirika wake) ingependeza tusizi-entertain hizi ziara za muundo huu. Huenda zikaleta tafsiri nyingine kimataifa (Kwamba Tz ni mshirika wa upande fulani). Ingewezekana huyu mama Harris akapigwa danadana juu ya ziara yake mpaka hali itakapokuwa imetulia. Tz tulishajinasibisha kuwa hatufungamani na yoyote, Mmarekani asije akatuharibia image. (Nawaza tu kwa sauti)
 
Watu wamedungwa chanjo na kiongozi wetu mwenyewe kutwa kutembea na barakoa ili awafurahishe hao mabeberu ndio litakua jambo kama hilo ambalo watu wanafanya vyumbani mwao??
Yaani nikimwangaliaga usoni Rais wetu jinsi alivyo uwa napata hofu,nilimkataa tangu anatangaza kifo cha JPM kwamba huyu ataleta shida kwa taifa hili na sasa yanatimia.
 
Yaani nikimwangaliaga usoni Rais wetu jinsi alivyo uwa napata hofu,nilimkataa tangu anatangaza kifo cha JPM kwamba huyu ataleta shida kwa taifa hili na sasa yanatimia.
Tatizo la Rais wetu anafanyia kazi ushauri mbaya.

Kwakua hao anaowaamini kumshauri sio watu wazuri kwa Taifa letu.

We are at great risk.
 
Eti mashoga nao ni binadamu
Mashoga ni watu ila ushoga sio utu, sio unyama (hata wanyama hawafanyi kitendo hicho) na wala ushoga siyo haki.
Mmesikia huko ulaya kumeanza kampeni za wanaume kujibadilisha kuwa wanawake na waruhusiwe kutumia vyoo vya kike? Uozo
Wameenda mbali zaidi, wanawake wanajibadilisha kuwa wanaume halafu wanadai haki waruhusiwe kuogelea kwenye swimming pools wakiwa kifua wazi!!! Hatari
Kuna wa kiume amejiweka awe wa kike, na usajili wa utambulisho ukamthibitisha then baadae amegundulika aliwahi kubaka wanawake wawili, wanapata tabu wamshitaki kama mwanaume! Anaweza kusema alikuwa anaishi kwenye "wrong body" uchafu mtupu
 
Tatizo la Rais wetu anafanyia kazi ushauri mbaya.

Kwakua hao anaowaamini kumshauri sio watu wazuri kwa Taifa letu.

We are at great risk.
Si wamesema yumo humu na anasoma tunachokiandika kila siku,kwa nini hasifanyie ushauri yale tunayomwelekeza kufanya.....au alikuwa anazuga tu ukute anachawa wake anamsomea comment tu yeye yupo na buyu lake la Asali!!!
 
Kipindi hiki dunia inajigawa pande mbili (wamagharibi na Russia na washirika wake) ingependeza tusizi-entertain hizi ziara za muundo huu. Huenda zikaleta tafsiri nyingine kimataifa (Kwamba Tz ni mshirika wa upande fulani). Ingewezekana huyu mama Harris akapigwa danadana juu ya ziara yake mpaka hali itakapokuwa imetulia. Tz tulishajinasibisha kuwa hatufungamani na yoyote, Mmarekani asije akatuharibia image. (Nawaza tu kwa sauti)
Unawaza kipoyoyo.
 
Context ya hizo statements ni ulaya sio Africa Sasa kwanini ujumuishe ukristo as if waanglikana wa tukuyu Mbeya wameafiki?

Ni sawa na magaidi wa ISIS au msimamo wa Ayatollah wa Iran ndio useme ni msimamo wa sheikh wa Mkalama?


Kanisa katoliki ni taasisi inayongozwa na Papa, yeye ndiye kiongozi mkuu wa makanisa yote duniani na karibu kila nchi yenye wakatoliki kuna Cardinal anayemuwakilisha papa hivyo Papa akisema; "Homosexuality is not a crime" hiyo kauli haipingwi na viongozi wote wa makanisa ya wakatoliki duniani, sasa ninaposema Ushoga unahusiana na kanisa nitakuwa nimekosea??-- kumbuka ni hivi karibuni tu papa alitoa kauli hiyo kuhusu Ushoga, huyo anaongoza mamilioni ya wafuasi dunia nzima, just imagine what the impact of his words will be on his followers worldwide!!.

Juu ya yote Kanisa la Anglican duniani makao yake makuu yapo Cantebury Uingereza na Askofu mkuu wake (Archbishop) ndiye kiongozi mkuu wa Makanisa yote ya Anglican duniani, hivi punde tu alitaka makanisa yote ya Anglicans yatambue ndoa za jinsia moja, sasa nikisema Ushoga unahusishwa na makanisa kosa langu liwapi??

Na kuna makanisa mengine ya kipentekoste nayo yanayo mambo ya aina hiyo hoyo.
 
Si mlichagua kuchanjwa?

ndio muache kuvamia vamia agenda za watu

kwanini Vuguvugu la kampeni ya ushoga Dunia nzima limeanza baada ya Kampeni ya kuchanja ?

pengine mepandikizwa vimelea vya kunyotoa nyotoa!

chanjo yenyewe inaitwa Johnson Johnson ?
 
Na kuna makanisa mengine ya kipentekoste nayo yanayo mambo ya aina hiyo hoyo.
Nitajie Moja

Homosexuality is not a crime"
Sasa hapo kahalalisha ndoa za jinsia Moja? Alichosema wasibaguliwe kma tu ambavyo wauaji, wabakaji, wanaogeuza wake zao, walevi n.k hawabaguliwi licha ya maovu Yao.

Anyway nasubiri unitajie kanisa Moja tu la katoliki Afrika limekubali hiyo kauli.
Juu ya yote Kanisa la Anglican duniani makao yake makuu yapo Cantebury Uingereza na Askofu mkuu wake (Archbishop) ndiye kiongozi mkuu wa Makanisa yote ya Anglican duniani,
Sio kweli hakuna "askofu mkuu".... Anglican sio unified church kwamba sauti ya mwisho ipo Canterbury huyo ni ceremonial leader tu.
Screenshot_20230316_003844.jpg


Na Ili uone sio lolote sio chochote baada ya kutoa kauli hiyo alipingwa vikali.

Screenshot_20230316_004213.jpg

Conclusion: Ushoga uhusishwe na wazungu sio ukristo. Maana wazungu wa dini zote wanaunga mkono ndoa za jinsia Moja so hakuna correlation kati ya dini na ushoga Bali "tamaduni".
 
Du
Ukitaka kufanikiwa jambo lako hakikisha linatamkwa vinywani mwa watu Kila wakati. Hatutashikiwa bunduki kuutangaza ushoga ila sisi wenyewe kwa wenyewe tutautangaza wenyewe km mtoa mada anavyoendelea kuutangaza
Dunia ingekuwa hivyo basi wachungaji, mapadre na mashehe wasingekuwa na kazi ya kufanya.
 
Back
Top Bottom