Rais Samia naomba umwambie Kamala Harris, Tanzania ushoga ni 'NO'

Rais Samia naomba umwambie Kamala Harris, Tanzania ushoga ni 'NO'

Na asikidanganye mtu Rais Samia nguvu ya yeye kuzuia ushoga hana na hatokua nayo milele, unazuiaje ushoga wakati wewe umesoma shule ya msingi ya kutwa na sekondari ulienda ukiwa na akili timamu lakini mtoto wako umempeleka shule ya bweni ambapo pamoja na mafundisho yote hua wana secret agenda na mara nyingi patron ndio hupewa maelekezo yote hivo watoto hufundishwa huko namna ya kuingiliana, ndio unakurupuka kufungia bweni za watoto leo ilihali walishaharibika mamilioni ya watoto kwa ujinga wa kuigaiga vitu vya watu wengine
 
Hivi kuna shetani gani kaingia kati ya Makanisa na Ushoga??

Ajabu siku hizi imekuwa ngumu kitenganisha kati ya makanisa na Ushoga!!.

Yesu naomba ushuke haraka kutoka huko mbinguni kwani huoni jinsi kanisa linavyo chafuliwa na hao watumishi wako??-- Bwana Yesu, Papa, Askofu mkuu wa Anglicans na viongozi wengine wa makanisa wamekumbwa na janga la ushoga kwa mgongo wa kanisa, tafadhali shuka haraka kabla mambo hayajawa mambo, si unajua watu wa luti (Sodoma na Gomora) kilichowapata?!, je unataka adhabu pia hiyo iwapate watu wako??, je nani atalaumiwa zaidi kati yako na watu wako??, bila shaka wewe ndiye utastahili lawama kubwa kwa kukaa kwako juu mbinguni ukila starehe kwa baba huku ukiwaona kondoo wako "wakichakatana kishoga kupitia kanisa" na wewe usishuke kuja kuwaonya au ile ahadi ya kushuka kwako sio ya kweli??! Au kuwepo kwako mbinguni ni fumbo la kiroho ambalo tuliowengi hutulijui??!.
Hakuna shetani hapo mkuu. Kufungua kanisa ni rahisi sana kama kufungua duka tu. Hata wewe saiv unaweza ukachukua frame ukaanzisha kanisa, hii ni tofauti na kufungua kitu kama msikiti au temple.

Shoga linaweza likaamka tu huko likakodi frame ya 300k likafungua kanisa na kujizolea wanachama.
 
Kuhalalisha NDOA za aina hiyo na kuwatambua ndo hatutokubali.

Hakuna HAKI ya kubadili UBINADAMU.

Mwanaume awe Mwanaume, mwanamke awe mwanamke basi.

Tufauti na hapo, mtakufa mfululizo hamtoamini.
With due respect BABA MCHUNGAJI,

Serikali haina haja ya kuhalalisha jambo ambalo limejihalalisha lenyewe kutokana na uhalisia wake.

Kwa mfano MASHOGA wakiamua kufirana huko vyumbani, unafikiri serikali itafanya nini!?

Serikali haiwezi kufanya kazi ya kupolisi MIKUNDU. Ni INCONSEQUENTIAL.
 
Mashoga walikuepo toka enzi na enzi, na watakuepo tu kikubwa sasa ni kurudi kutunza na kutumia mila na desturi zetu vyema na kuigaiga kila kitu kimegharimu watu wengi basi tu
 
Labda utakuwa haujazisoma vizuri sheria ya nchi.

Serikali ilishatunga sheria ya kuzuia UFIRAJI chini ya kifungu namba 154 cha sheria ya Kanuni za Adhabu sura ya 16.

Japo sheria hiyo ni mbaya na ya kibaguzi kutokana na kwamba haijazungumza kuhusu USAGAJI, lakini nimeona serikali imetumia busara kwa muda mrefu kutokamata mashoga na kuwatia hatiani.

Tangu sheria hiyo iwepo, hakuna shoga yoyote aliyeshitakiwa au kufungwa.

Halafu unataka serikali itunge tena sheria nyingine?? WHY?

Ni wazi serikali imeona hakuna MANTIKI YOYOTE ya kuzuia watu KUPAKUANA VINYESI.
Serikali Imeruhusiwa na Mungu aliyeumba Mbingu na Nchi .

Ikitoka ktk maelekezo ya Mungu, atakuja kupitisha panga lake,

Amini nakuambia, soon utaanza kuona impact ya ninayoyakemea,

Kuna vipigo mfululizo vinakuja duniani,

Nchi nyingi imesikia majanga ukadhani hayatakuja huku,

HAKIKA Utaona b4 hujafa.
 
With due respect BABA MCHUNGAJI,

Serikali haina haja ya kuhalalisha jambo ambalo limejihalalisha lenyewe kutokana na uhalisia wake.

Kwa mfano MASHOGA wakiamua kufirana huko vyumbani, unafikiri serikali itafanya nini!?

Serikali haiwezi kufanya kazi ya kupolisi MIKUNDU. Ni INCONSEQUENTIAL.

Uko sahihi maana tunavyolijadili ndio tunazidi kuwasha moto mkali
 
Kwahiyo in a serious note inahitaji akili kudeal na hawa jamaa maana akili zao ziko mbele zaidi ya mtu mweusi, huwezi ukasema tunapinga ushoga wakati kuna mitandao hadi ya kuchukua wamasai wanaume kuwapeleka zanzibar na mombasa kwa kisingizio cha kazi za ulinzi ilihali nyuma ya pazia wanakwenda kufirwa, lazima tutumie akili
Your android phone kupitia google , can now track you and your activity in accuracy ya mita kadhaa, wakati andoid inaanza hakuna mtu alijiuliza juu ya mamlaka ambayo addroid ingejipa lakini naamini ni mpango ulipangwa nao kwa kutumia intelligence zao.
Mchina na jeuri yqke ili auze simu zake ,lazima atumie android
 
Na asikidanganye mtu Rais Samia nguvu ya yeye kuzuia ushoga hana na hatokua nayo milele, unazuiaje ushoga wakati wewe umesoma shule ya msingi ya kutwa na sekondari ulienda ukiwa na akili timamu lakini mtoto wako umempeleka shule ya bweni ambapo pamoja na mafundisho yote hua wana secret agenda na mara nyingi patron ndio hupewa maelekezo yote hivo watoto hufundishwa huko namna ya kuingiliana, ndio unakurupuka kufungia bweni za watoto leo ilihali walishaharibika mamilioni ya watoto kwa ujinga wa kuigaiga vitu vya watu wengine
Shule za bweni nazo zimechangia tatizo
 
Hakuna shetani hapo mkuu. Kufungua kanisa ni rahisi sana kama kufungua duka tu. Hata wewe saiv unaweza ukachukua frame ukaanzisha kanisa, hii ni tofauti na kufungua kitu kama msikiti au temple.

Shoga linaweza likaamka tu huko likakodi frame ya 300k likafungua kanisa na kujizolea wanachama.


Swali lipo pale pale kwanini shoga lifungue kanisa.la mashoga??, kwanini lisifungue kijiwe cha mashoga au kambi ya mashoga au jumuiya ya mashoga au taasisi ya mashoga nk??--- ni kwanini KANISA la mashoga??.

Kuna kitu gani kati ya KANISA na ushoga??

Ndio maana naomba Bwana YESU ashuke haraka sana kama kweli anauchungu na kanisa aje apambane mwenyewe.
 
View attachment 2551469

Tumepata habari rasmi kuwa kuna ujio wa ugeni mzito tika Marekani. Zaidi soma Makamu wa Rais Marekani, Kamala Harris kuitembelea Tanzania

Makamu wa Rais Marekani mama Kamara Harris anakuja ziara ya kiserikali nchini mwetu Tanzania.
Hii ni heshima kubwa kwa Tanzania.

Hapa nchini watakuwa wameisha fika marais watatu kwa kumbukumbu zangu, Rais Bush, Rais Obama na sasa Makamu Kamara Harris.

Ila kwa vuguvugu la huu ushetani unaoongozwa na serikali ya Marekani, hasa chama cha Democrats, kutetea ushoga, mimi binafsi natofautiana na Wamarekani.
Kwa sisi waafrika ushoga ni mwiko, haramu, chafu.

Naomba Mama Samia mkaribishe mama Kamara Harris ambaye tabasamu lake ni la kukata na shoka, nalipenda sana.

Lakini ushoga mwambie si sera ya CCM, wala CHADEMA, wala ACT.
Sera za ushoga mwambie zisije na Airforce Two.
Tena awaambie hawana sababu kutoamini mifumo yeti ya kiusalama kwa hiyo wasijiingize jikoni kujua kila kitu chetu kiulinzi kwa kisingixio kumlinda huyo kamalla harris wao.
 
Hivi mnachokipinga hasa ni nini? Maana mashoga wapo Tanzania na wengine ni maarufu kabisa wanajulikana, huku kupinga ushoga imekuwa kama ni kitu cha mazoea tu na si kwamba tunauchukia huo ushoga. Hatupo serious ni kama tunafanya tu ubaguzi wa kimazoea ilimradi.
 
Your android phone kupitia google , can now track you and your activity in accuracy ya mita kadhaa, wakati andoid inaanza hakuna mtu alijiuliza juu ya mamlaka ambayo addroid ingejipa lakini naamini ni mpango ulipangwa nao kwa kutumia intelligence zao.
Mchina na jeuri yqke ili auze simu zake ,lazima atumie android

Mfano kitengo cha lugha CIA , ndio walikazia mkazo smart dictionary na smart translator, wewe unacheka kama mwehu mara nimewasha location mara google imenifikisha kwa adija everything inakua iko saved kwenye saver zao na utakukuruka wakikutaka wanakupata na kufahamu uko wapi hata usimiliki simu wala kusajili line, ukiazima simu ya mtu mwingine ukaongea tu wao kwenye zile point wanadetect sauti yako hapo ndio unasikia magaidi fulani wamebomolewa ubongo wametafutwa miaka kumi, yaani wao walishafika sasa wanachomoa kidogo wanakupa wewe utapiga kelele weeee lakini mwisho unakaa kimya tena kama hautumii akili ndio basi tena,
 
Serikali Imeruhusiwa na Mungu aliyeumba Mbingu na Nchi .

Ikitoka ktk maelekezo ya Mungu, atakuja kupitisha panga lake,
Sioni kosa la serikali kwa sababu tayari sheria ilishatungwA kuzuia UFIRAJI.

Shida ni kwamba WAFIRANAJI mko nao huku mitaanii wanafirana magetoni kimya kimya.

Ulitaka serikali iende magetonii kupiga CHABO MADIRISHANI kuangalia nani anamfira nani!?

Ni HAITEKELEZEKI / UNENFORCEABLE LAW.
 
MIHEMKO haiwezi kutatua hili swala.

Umeshawahi kuwasikiliza hao MASHOGA?

Ndio maana nasema tutumie akili kubwa sana asilimia 60% hadi 80% ya wale ulikua unasikia mabaharia wa kuzamia meli ili waende ng’ambo hua hawasemi tu lakini wengi walifirwa sana ilikua uchague uogeshwe upendeze ugongwe au wakutose baharini, basi mabaharia wengi walifirwa kwa njia hiyo waone tu wanahadithia mara nilipita port fulani na port fulani wengi wao walichezea sana
 
Wanaokuletea ushoga wako busy na tafiti wewe uko busy na ccm na chadema, simba na yanga, kwa akili hiyo huwezi kupambana nao either utakua mpiga kelele tu kama wengine basi siku ziende
 
Haujiulizi kwa nini wao chakula organic kina bei kubwa kwao kuliko kawaida na wanakithamini sana chakula hicho organic, lakini unaletewa mbolea ya msaada, mbegu, na wanakushauri ufungue viwanda vingi vya mbolea, mwisho kabisa mara nguvu za kiume, linakua tatizo la kitaifa uwezo wa kuzalisha unapungua hapo tunakwenda taratibu kumbe ilitakiwa sera za kilimo tuziangalie ziendane na sisi wenyewe kwa kutumia akili kwamba wakulima wetu tunawafundisha kuzalisha vyakula organic kwa wingi sana ili kujenga afya ya watu wetu, lakini uvivu wa kufikiri kwa mtu mweusi GMO inaletwa linapokea kama jehu hivi
 
Back
Top Bottom