Tatizo Si idadi ya mashoga, JAMII na familia vinapambana kutatua tatizo Hilo.Umekariri kila mtu atalima ili aishi, huyo Tim cook analima?.
Halafu for the sake of the best both worlds penda sana kupambana vita utakayoshinda , mashoga wapo wengi sana ni vile tu hatutaki ku admit tatizo
Tusichokitaka ni kutambua na Kuhalalisha NDOA za JINSIA moja kisheria na kiserikali.
Huo ndo USHETANI tunaoulaani, na kiongozi yeyote akisuport atapingwa na Kila mtanzania mwenye HOFU ya Mungu.