TikTok2020
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 1,816
- 3,150
KabisaIla hapa hatuna kiongozi tulipigwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KabisaIla hapa hatuna kiongozi tulipigwa
Thanks, but sometimes I have nothing to sayPascal Mayalla say something...
Anajifanya kukwepa lawama hasa Kwa wakubwa wenzie na marafiki.Asalam,
Msiopenda utaratibu wa mimi kufuatilia na kusoma kwa makini hotuba za Rais wangu Mpendwa mtanisamehe.
M
Unaweza kunielewesha viongoz wabadhirifu serikalini ambao sio CCM, wabainishe hapa kwa uchache....Sio CCM wote ni Wabadhirifu na Sio wabadhirifu wote ni CCM.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Asalam,
Msiopenda utaratibu wa mimi kufuatilia na kusoma kwa makini hotuba za Rais wangu Mpendwa mtanisamehe.
Mwaka 2021 Fatma Karume (Shangazi wa Taifa ) aliandika andiko moja muhimu sana juu ya namna ya kumfahamu vema Rais wetu, naomba kumnukuu "Ukitaka kumwelewa Rais Samia na Hotuba Zake sikiliza anapoongea yale ambayo hayako katika hotuba rasmi anayoisoma, msikilize yale anayotupia katikati ya hotuba lakini nje ya yaliyoandikwa"
Tokea hapo nimekuwa makini sana kumsikiliza Rais kila ninapopata muda ajiwa mubashara na kama sina muda basi naitafuta recorded na maandishi. Huwa ninapita pia katika vyanzo mbali mbali kujaribu kuelewa alichosema, hasa kama sikumsikiliza mubashara.
Leo Asbh nimeamka na kupitia hotuba na maongezi ya Rais akiwa Arusha kwenye kikao cha wakuu wa mashirika ya Umma na Wenyeviti wa Bodi wa Mashirika husika. Kwa ujumla Mh. Rais ameongea mambo mazuri sana, amekemea sana matumizi mabaya ya mali za Umma katika mashirika ya Umma. Lkn katika hotuba na maongezi yake mengi, kuna kipengelee kimenigusa, anasema
"NAONA (nawaonea) AIBU KUWACHUKULIA HATUA WALIONIZIDI UMRI"
Ktika maongezi hayo wanaonekana Wazee wengi wastaafu wakifurahi na kutabasamu.
Sasa, Maongezi haya ya Rais dhidi ya wanaotapanya mali za umma yanatuweka katika muktadha gani dhidi ya mapambano ya Rushwa, Uongozi Bora, Uzalishaji na nidhamu katika kusimamia maendeleo ya Taifa.
Je, kama Rais anaona AIBU, anawatazama na kuwaacha TAKUKURU, POLISI, WATAWAWEZA KWELI HAWA?
Kesho nitapitia hotuba zake nyingine. Asalam
Unajuwa maana ya neno "uadilifu" au unakurupuka tu?Uadilifu ni sifuri hata Kwa Yale mang'ombe yanajinasibu na uzalendo uchwara.
Asipochukulia hatua hao watu haoni kama pesa na rasilimali za watanzania zinapotea bure?Asalam,
Msiopenda utaratibu wa mimi kufuatilia na kusoma kwa makini hotuba za Rais wangu Mpendwa mtanisamehe.
Mwaka 2021 Fatma Karume (Shangazi wa Taifa ) aliandika andiko moja muhimu sana juu ya namna ya kumfahamu vema Rais wetu, naomba kumnukuu "Ukitaka kumwelewa Rais Samia na Hotuba Zake sikiliza anapoongea yale ambayo hayako katika hotuba rasmi anayoisoma, msikilize yale anayotupia katikati ya hotuba lakini nje ya yaliyoandikwa"
Tokea hapo nimekuwa makini sana kumsikiliza Rais kila ninapopata muda ajiwa mubashara na kama sina muda basi naitafuta recorded na maandishi. Huwa ninapita pia katika vyanzo mbali mbali kujaribu kuelewa alichosema, hasa kama sikumsikiliza mubashara.
Leo Asbh nimeamka na kupitia hotuba na maongezi ya Rais akiwa Arusha kwenye kikao cha wakuu wa mashirika ya Umma na Wenyeviti wa Bodi wa Mashirika husika. Kwa ujumla Mh. Rais ameongea mambo mazuri sana, amekemea sana matumizi mabaya ya mali za Umma katika mashirika ya Umma. Lkn katika hotuba na maongezi yake mengi, kuna kipengelee kimenigusa, anasema
"NAONA (nawaonea) AIBU KUWACHUKULIA HATUA WALIONIZIDI UMRI"
Ktika maongezi hayo wanaonekana Wazee wengi wastaafu wakifurahi na kutabasamu.
Sasa, Maongezi haya ya Rais dhidi ya wanaotapanya mali za umma yanatuweka katika muktadha gani dhidi ya mapambano ya Rushwa, Uongozi Bora, Uzalishaji na nidhamu katika kusimamia maendeleo ya Taifa.
Je, kama Rais anaona AIBU, anawatazama na kuwaacha TAKUKURU, POLISI, WATAWAWEZA KWELI HAWA?
Kesho nitapitia hotuba zake nyingine. Asalam
17/3/2021 Tulipoteza mara 2.Anayewachukulia hatua ni Samia au Rais! Urais ni taasisi haina umri! Basi aache kuwaapisha kumtii anaowateua.
Sasa uliona wapi nyani akamhukumu Ngedere?!Asalam,
Msiopenda utaratibu wa mimi kufuatilia na kusoma kwa makini hotuba za Rais wangu Mpendwa mtanisamehe.
Mwaka 2021 Fatma Karume (Shangazi wa Taifa ) aliandika andiko moja muhimu sana juu ya namna ya kumfahamu vema Rais wetu, naomba kumnukuu "Ukitaka kumwelewa Rais Samia na Hotuba Zake sikiliza anapoongea yale ambayo hayako katika hotuba rasmi anayoisoma, msikilize yale anayotupia katikati ya hotuba lakini nje ya yaliyoandikwa"
Tokea hapo nimekuwa makini sana kumsikiliza Rais kila ninapopata muda ajiwa mubashara na kama sina muda basi naitafuta recorded na maandishi. Huwa ninapita pia katika vyanzo mbali mbali kujaribu kuelewa alichosema, hasa kama sikumsikiliza mubashara.
Leo Asbh nimeamka na kupitia hotuba na maongezi ya Rais akiwa Arusha kwenye kikao cha wakuu wa mashirika ya Umma na Wenyeviti wa Bodi wa Mashirika husika. Kwa ujumla Mh. Rais ameongea mambo mazuri sana, amekemea sana matumizi mabaya ya mali za Umma katika mashirika ya Umma. Lkn katika hotuba na maongezi yake mengi, kuna kipengelee kimenigusa, anasema
"NAONA (nawaonea) AIBU KUWACHUKULIA HATUA WALIONIZIDI UMRI"
Ktika maongezi hayo wanaonekana Wazee wengi wastaafu wakifurahi na kutabasamu.
Sasa, Maongezi haya ya Rais dhidi ya wanaotapanya mali za umma yanatuweka katika muktadha gani dhidi ya mapambano ya Rushwa, Uongozi Bora, Uzalishaji na nidhamu katika kusimamia maendeleo ya Taifa.
Je, kama Rais anaona AIBU, anawatazama na kuwaacha TAKUKURU, POLISI, WATAWAWEZA KWELI HAWA?
Kesho nitapitia hotuba zake nyingine. Asalam
Ana 63 pekeyakeHapa Rais hatuna. Samia kwa sasa ana miaka 70 halafu anatuambia eti kuna viongozi wanamzidi umri (70+). Kwani alilazimishwa kuwateua hao wazee wenzake mbona taifa hili lina vijana wengi tu? Aache kutupotezea muda ilhali suala la DPW halijapata ufumbuzi. Hii nchi ya kijinga sana.
Kunamwengine aliona AIBU kwa Tanzania kutokuwa na ndege ivyo a akanunua nunua kwa cash ilikuondoa aibuAsalam,
Msiopenda utaratibu wa mimi kufuatilia na kusoma kwa makini hotuba za Rais wangu Mpendwa mtanisamehe.
Mwaka 2021 Fatma Karume (Shangazi wa Taifa ) aliandika andiko moja muhimu sana juu ya namna ya kumfahamu vema Rais wetu, naomba kumnukuu "Ukitaka kumwelewa Rais Samia na Hotuba Zake sikiliza anapoongea yale ambayo hayako katika hotuba rasmi anayoisoma, msikilize yale anayotupia katikati ya hotuba lakini nje ya yaliyoandikwa"
Tokea hapo nimekuwa makini sana kumsikiliza Rais kila ninapopata muda ajiwa mubashara na kama sina muda basi naitafuta recorded na maandishi. Huwa ninapita pia katika vyanzo mbali mbali kujaribu kuelewa alichosema, hasa kama sikumsikiliza mubashara.
Leo Asbh nimeamka na kupitia hotuba na maongezi ya Rais akiwa Arusha kwenye kikao cha wakuu wa mashirika ya Umma na Wenyeviti wa Bodi wa Mashirika husika. Kwa ujumla Mh. Rais ameongea mambo mazuri sana, amekemea sana matumizi mabaya ya mali za Umma katika mashirika ya Umma. Lkn katika hotuba na maongezi yake mengi, kuna kipengelee kimenigusa, anasema
"NAONA (nawaonea) AIBU KUWACHUKULIA HATUA WALIONIZIDI UMRI"
Ktika maongezi hayo wanaonekana Wazee wengi wastaafu wakifurahi na kutabasamu.
Sasa, Maongezi haya ya Rais dhidi ya wanaotapanya mali za umma yanatuweka katika muktadha gani dhidi ya mapambano ya Rushwa, Uongozi Bora, Uzalishaji na nidhamu katika kusimamia maendeleo ya Taifa.
Je, kama Rais anaona AIBU, anawatazama na kuwaacha TAKUKURU, POLISI, WATAWAWEZA KWELI HAWA?
Kesho nitapitia hotuba zake nyingine. Asalam
Hovyo snKabisa
Mpk ifike 2030 utakuwa umezeeka sura kwa chuki yako dhidi ya huyu MamaMwenyewe anajionea aibu kujichukulia hatua, mpaka sasa alitakiwa awe amejiuzulu.