Rais Samia: Naona aibu kuwachukulia hatua viongozi Walionizidi Umri

Asalam,

Msiopenda utaratibu wa mimi kufuatilia na kusoma kwa makini hotuba za Rais wangu Mpendwa mtanisamehe.
M
Anajifanya kukwepa lawama hasa Kwa wakubwa wenzie na marafiki.

Kiufupi sio powa kabisa
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Asipochukulia hatua hao watu haoni kama pesa na rasilimali za watanzania zinapotea bure?
 
Anayewachukulia hatua ni Samia au Rais! Urais ni taasisi haina umri! Basi aache kuwaapisha kumtii anaowateua.
17/3/2021 Tulipoteza mara 2.
Tulipoteza aliyeenda zake, tukapoteza na aliyekuja zake
 
Sasa uliona wapi nyani akamhukumu Ngedere?!
 
Ana 63 pekeyake
 
Kunamwengine aliona AIBU kwa Tanzania kutokuwa na ndege ivyo a akanunua nunua kwa cash ilikuondoa aibu
 
Hamna kitu hapo! Ukiwa Rais kinachoangaliwa sio umri nani kakuzidi na nani umemzidi. Ukiwa 35yrs ukamtumbua mtu wa 55yrs hatsemi mtoto amemtumbua mzee ila Rais wa nchi amemtumbua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…