Rais Samia: Naona aibu kuwachukulia hatua viongozi Walionizidi Umri

Tunakiongozi ovyo kuwahi kutokea Tanzania.
 
Kwa lugha nyingine Sa100 anakiri waziwazi yeye ni dhaifu kwa watu waliomzidi umri!.
Kwamba mtu yeyote akishamzidi umri basi yeye hana namna nyingine ya kufanya hata kama jizee hilo limefisadi!.
 
Samia mbona kma anajitia kinyaaa kwa nni anaongea vitu vya hovyo hivyo kweli anashindwa kujistili na ulimi wake
 
Kama ni kweli basi mh. Rais anafeli sana.
 
samia hatoshi.samia dhaifu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…