Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 7,799
- 14,215
Propaganda zote zilizofanywa na vyama vya upinzani toka 2008 enzi za Lowasa, mpaka 2020 enzi za Magufuli hazikuzaa matunda yoyote kwenye nchi hii zaidi ya kuwatia aibu tu waeneza propaganda hao. Angalia watu waliofanya propaganda zaidi ya miaka kumi walivyoambulia aibu ktk mikutano yao. Ila ww endelea tu ili watoto wako waende chooni mkuu, hata hilo bando la buku utalotumiwa kwa siku sio dogo.Dec 25 tena saa 4 asubuhi!