Rais Samia: Nazunguka Ulimwengu Mzima Kutafuta Fedha Kuwawezesha wanawake Wa Afrika Wapate Nishati Bora ya Kupikia


πŸ˜‚ πŸ˜‚ Change your strategy kijana

Unaona wenzako wanaongea mambo ya kawaida kabisa but mpaka Rais anawaita ikulu

Hahaha ww kazi yako ni kukesha hapa na copy and paste zako for nothing

Unapata matusiiiiiiiii weeee for nothing

Badilika kijana

Umemuona Doto magari Leo? Haha

Wala hatumiii nguvu nyingi
 
Shahawa nyingine heri zingemwagwa nje tu
 
Bata wa wapi hao? Rais wetu mpendwa anafanya kazi kubwa sana .ndio maana unaona kila kitu kinaenda vizuri hapa nchini pasipo kukwama wala kusuasua .ukiona wawekezaji watalii wanamiminika na kufurika hapa nchini lazma ufahamu ni kazi ya mama hiyo.
Kilimanjaro Ngorongoro nk simali ya ZnzπŸ˜₯πŸ˜₯
 
Naona mama yetu huenda amechanganyikiwa vibaya.
Tanzania tangu lini tumekuwa na uhaba wa nishati bora ya kupikia?
Tuna bwawa la Nyerere lenye kuzalisha umeme wa kupitiliza, tuna gesi ya Mtwara, tuna gesi asilia, tuna jua, tuna upepo, makaa ya mawe nk.
Mama anataka nishati gani tena? Anataka nyuklia?
 
Anazunguka yeye baada yakuzungusha bidhaa zetu zitupe hizo pesa
 
Nani alimpa hilo jukumu la kuzunguka duniani kuomba omba nishati kwa niaba ya Afrika nzima?
Hiyo mizunguko yake ya kuzunguka duniani imewasaidia nini wanawake wa Kenya, Uganda, Rwanda, Somalia, Eritrea, Ethiopia, Nigeria, Ghana, Misri nk?
 
Anatumia pesa za umma hovyo tofauti na kwao Zanzibar
Acha ujinga dogo.bwawa la mwalimu Nyerere pamoja na SGR ambavyo amevikamilisha vizuri vipo ni wapi? Vipo Bara au visiwani? Mahospitali anayo jenga kila wilaya na mkoa vipo wapo? Shule za sekondari zinazojengwa kila sehemu vipo ni wapi? Acha mawazo ya kibaguzi na kijinga
 
Na ulivyo na mbichwa kama unakwepa panga,ukaamini?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Eti jamani Fedha inatafutwa kwa kuzunguka?πŸ˜‚πŸ˜‚

We zunguka siku utakuta mwana si wako.
 
Nani alimpa hilo jukumu la kuzunguka duniani kuomba omba nishati kwa niaba ya Afrika nzima?
Hiyo mizunguko yake ya kuzunguka duniani imewasaidia nini wanawake wa Kenya, Uganda, Rwanda, Somalia, Eritrea, Ethiopia, Nigeria, Ghana, Misri nk?
Huwezi ukaelewa kwa kuwa akili yako ipo ndani ya box
 
Umesahau kuweka namba Yako ya simu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…