Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aibu kusema uongoJarida la Forbes la nchini Marekani limemtaja kwa mara ya pili Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa miongoni mwa wanawake 100 duniani wenye nguvu na ushawishi zaidi akishika nafasi ya 95. Uchapakazi na uongozi wenye kuleta maendeleo endelevu vimempa heshima hiyo.
Rais Samia Suluhu anaendelea kuushangaza ulimwengu kwa utendaji wake kazi na kufanya mapinduzi makubwa ya maendeleo ndani ya Tanzania ndani ya siku 627 amefanya maendeleo makubwa sana katika sekta mbalimbali zinazomlenga mwananchi kama vile uboreshwaji miundombinu, Elimu, Afya pia amefanikiwa kwa kiasi kikubwa kuweka usawa wa kijinsia.
lakini kubwa zaidi Rais Samia Suluhu amefanikiwa kupambana na adui mkubwa wa mtanzania umasini kwa kutoa fursa mbalimbali za ajira kutoka katika miradi inayotekelezwa nchini na kutoa mikopo ya masharti nafuu kwa vijana, watu wenye ulemavu na wanawake.
Wameanza kukiri wenyewe bila shuruti kuwa nchi inaongozwa na mbumbumbu
View attachment 2438868
Kwamba samia ndio mwanamke wa kwanza afrika kua rais, sio?Exactly Mabinti wengi Africa wanamuangalia Rais Samia Suluhu kama role model kufikia kwenye kwenye ndoto zao
Ukiwa Rais na systems zika bowdown kwako automatic uko.poweful..Jarida la Forbes la nchini Marekani limemtaja kwa mara ya pili Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa miongoni mwa wanawake 100 duniani wenye nguvu na ushawishi zaidi akishika nafasi ya 95. Uchapakazi na uongozi wenye kuleta maendeleo endelevu vimempa heshima hiyo.
Rais Samia Suluhu anaendelea kuushangaza ulimwengu kwa utendaji wake kazi na kufanya mapinduzi makubwa ya maendeleo ndani ya Tanzania ndani ya siku 627 amefanya maendeleo makubwa sana katika sekta mbalimbali zinazomlenga mwananchi kama vile uboreshwaji miundombinu, Elimu, Afya pia amefanikiwa kwa kiasi kikubwa kuweka usawa wa kijinsia.
lakini kubwa zaidi Rais Samia Suluhu amefanikiwa kupambana na adui mkubwa wa mtanzania umasini kwa kutoa fursa mbalimbali za ajira kutoka katika miradi inayotekelezwa nchini na kutoa mikopo ya masharti nafuu kwa vijana, watu wenye ulemavu na wanawake.
We hujielewi nyooooo unatunzwa na mwanamke, familia haikutegemeiJarida la Forbes la nchini Marekani limemtaja kwa mara ya pili Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa miongoni mwa wanawake 100 duniani wenye nguvu na ushawishi zaidi akishika nafasi ya 95. Uchapakazi na uongozi wenye kuleta maendeleo endelevu vimempa heshima hiyo.
Rais Samia Suluhu anaendelea kuushangaza ulimwengu kwa utendaji wake kazi na kufanya mapinduzi makubwa ya maendeleo ndani ya Tanzania ndani ya siku 627 amefanya maendeleo makubwa sana katika sekta mbalimbali zinazomlenga mwananchi kama vile uboreshwaji miundombinu, Elimu, Afya pia amefanikiwa kwa kiasi kikubwa kuweka usawa wa kijinsia.
lakini kubwa zaidi Rais Samia Suluhu amefanikiwa kupambana na adui mkubwa wa mtanzania umasini kwa kutoa fursa mbalimbali za ajira kutoka katika miradi inayotekelezwa nchini na kutoa mikopo ya masharti nafuu kwa vijana, watu wenye ulemavu na wanawake.
Jarida la Forbes la nchini Marekani limemtaja kwa mara ya pili Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa miongoni mwa wanawake 100 duniani wenye nguvu na ushawishi zaidi akishika nafasi ya 95. Uchapakazi na uongozi wenye kuleta maendeleo endelevu vimempa heshima hiyo.
Rais Samia Suluhu anaendelea kuushangaza ulimwengu kwa utendaji wake kazi na kufanya mapinduzi makubwa ya maendeleo ndani ya Tanzania ndani ya siku 627 amefanya maendeleo makubwa sana katika sekta mbalimbali zinazomlenga mwananchi kama vile uboreshwaji miundombinu, Elimu, Afya pia amefanikiwa kwa kiasi kikubwa kuweka usawa wa kijinsia.
lakini kubwa zaidi Rais Samia Suluhu amefanikiwa kupambana na adui mkubwa wa mtanzania umasini kwa kutoa fursa mbalimbali za ajira kutoka katika miradi inayotekelezwa nchini na kutoa mikopo ya masharti nafuu kwa vijana, watu wenye ulemavu na wanawake.
[emoji38][emoji23][emoji23][emoji23]Anashawishi nini? Anamshawishi nani