Yaani hiyo ni wazi kuwa kodi hiyo haikuwa halali na ya kubumba. Sasa ona mzigo umekaa miezi 8 na hasara kwa mfanya biashara kisa watu kutengeneza miaya ya rushwa tuu.Kasema mwanzo alikadiliwa kodi 30 billions, baada ya kulalamika wakampungizia ikabaki 10 Billions....!
Akashindwa kulipa akayaacha na Makontena yenyewe...!
Cha ajabu usiku wa jana kuamkia kikao cha leo, wamempigia simu aende kuchukua Mankotena yake.
Hiyo ni hasara ya kuishi ki presumptive, fungua kampuni ulipe corporate tax ya 30% ya profit yako.Nikuulize unafanya biashara ..?
TRA wanachukua VAT kwenye mtaji sio mapato. Hawaangalii tofauti ya revenue na profit bali annual income
Kama mimi nimefanya biashara ya 100 Million na nikapatq Faida ya 20 M kwa nini nilipe kodi kwenye 120 M badala ya 20 M ambayo ni profit..?
Tupe kazi tukufanyie tax planning [emoji28]Nina kampuni zaidi ya 5
Nalipa zaidi ya million 230 kwa mwaka
Nonajua ninachokisema
Niliwahi kipewa makadirio ya 54 Million kutokana na ongezeko la MapatoYaani hiyo ni wazi kuwa kodi hiyo haikuwa halali na ya kubumba. Sasa ona mzigo umekaa miezi 8 na hasara kwa mfanya biashara kisa watu kutengeneza miaya ya rushwa tuu.
Kiuhalisia kodi nyingi zilizowekwa kisheria zinalipika lakini sheria inatumika vibaya kuchomekea visivyo wezekana ili wapige rushwa
Pole sanaNitakuwa wa mwisho kuamini kuwa hawezi kuchukua hatua
Hapana ukionana na tax consultant atakuelekeza namna ya kupiga hesebu na ukalipa kodi kwa faida uliyopata. Huo ndio utaratibu kinyume na hapo ni kutokujua au janja janja ya afisa kodiNikuulize unafanya biashara ..?
TRA wanachukua VAT kwenye mtaji sio mapato. Hawaangalii tofauti ya revenue na profit bali annual income
Kama mimi nimefanya biashara ya 100 Million na nikapatq Faida ya 20 M kwa nini nilipe kodi kwenye 120 M badala ya 20 M ambayo ni profit..?
Yaani matatizo yasababishwe na ccm chama kinacho tawala kwa mkono wa chuma toka uhuru halafu uwasifu kuwa waneyatatua.Kipekee nakushukuru kwa kuchukua hatua za dhati za kunusuru soko la kariakoo kwa kumtuma Waziri Mkuu Mh. Kassim Majaliwa. Kwa kweli amefanya kazi kubwa ya kunusuru uchumi wetu.
Pamoja na yote yaliyojadiliwa kuna kiu cha uwajibikaji. Imedhihirika baadhi ya watendaji wako wana uwezo mdogo na wengine ni wazembe na wenye zarau
Ni ombi letu na kama itakupendeza wachukulie hatua au wahamishe au wasimamishe kazi wote walioonekana ni kikwazo kwa wafanyabiashara na uchumi wetu. Na katika hili usiwaache kambare ukaondoa dagaa utakua haujafanya kitu.
Kwa macho yako umeona kiu cha wale ambao wanalalamikiwa ni kazi kwako kuwaondoa au kuendelea kuwafuga.
Nakukumbusha Mh. Jakaya alimuondoa Kalamagi, Nchimbi, Lowasa. Pia Chuma JPM aliwaondoa Kangi Lugola, Mwigulu, Simbachawene nk ili kuleta ustawi na kuonesha uwajibikaji kwa watanzania
Sasa kama hautakuwa na serikali ya uwajibikaji au hata kuhamisha watendaji na mawaziri au hata kuwaondoa basi madhara yatakayotokea ni juu yako na utawala wako.
Chukua hatua
Shida naongea na mtu ambaye hafanyi biasharaHapana ukionana na tax consultant atakuelekeza namna ya kupiga hesebu na ukalipa kodi kwa faida uliyopata. Huo ndio utaratibu kinyume na hapo ni kutokujua au janja janja ya afisa kodi
Sawa mr. Professional ila ongea na watu vizuri Professional sio kila kituShida naongea na mtu ambaye hafanyi biashara
mimi ni mfanyabiashara na professional accountant
Eti wanakadilia😂😂😂Nyongeza katika Hilo
Wafanya biashara wanataka uwazi katika kilipa kodi na sio utashi wa afisa wa kodi
Let say content ya 2forty fity ya vitenge ni Tsh kadhaa
Kontena ya aina hio ya TV ni sh kadhaa
Kontena ya aina hiya ya nguo ni tsh kadhaa
Mbona simple tuu
Hujui kitu nyamazaKodi halali ya Serikali lazima tulipe, tusitegemee kuonewa huruma kwenye mapato ya Serikali.
Kama yule mama anadaiwa Kodi ya billioni 3 halafu anataka kukwepa eti alipe milioni 150!!!
hili haliwezekani, Kodi halali lazima ilipwe.
Nasema wakwepa Kodi wa kubwa ni wafanyabiashara wakubwa hawa ndio wanaongoza kukwepa Kodi na kutoa rushwa kwa TRA
Samia hana huo udhubutu .kwanza ashatu kijaji si mzazibar mwenzake ,halafu yeye na samia wanafanana tu kichwani hawa substance kichwani .tofauti yao mmoja Ana PhD ya kubandikwa mwingne PhD yake amesomea japo sifaham chuo kipi kilochompa hiyo PhDKipekee nakushukuru kwa kuchukua hatua za dhati za kunusuru soko la kariakoo kwa kumtuma Waziri Mkuu Mh. Kassim Majaliwa. Kwa kweli amefanya kazi kubwa ya kunusuru uchumi wetu.
Pamoja na yote yaliyojadiliwa kuna kiu cha uwajibikaji. Imedhihirika baadhi ya watendaji wako wana uwezo mdogo na wengine ni wazembe na wenye zarau
Ni ombi letu na kama itakupendeza wachukulie hatua au wahamishe au wasimamishe kazi wote walioonekana ni kikwazo kwa wafanyabiashara na uchumi wetu. Na katika hili usiwaache kambare ukaondoa dagaa utakua haujafanya kitu.
Kwa macho yako umeona kiu cha wale ambao wanalalamikiwa ni kazi kwako kuwaondoa au kuendelea kuwafuga.
Nakukumbusha Mh. Jakaya alimuondoa Kalamagi, Nchimbi, Lowasa. Pia Chuma JPM aliwaondoa Kangi Lugola, Mwigulu, Simbachawene nk ili kuleta ustawi na kuonesha uwajibikaji kwa watanzania
Sasa kama hautakuwa na serikali ya uwajibikaji au hata kuhamisha watendaji na mawaziri au hata kuwaondoa basi madhara yatakayotokea ni juu yako na utawala wako.
Chukua hatua
Samia hana huo udhubutu .kwanza ashatu kijaji si mzazibar mwenzake ,halafu yeye na samia wanafanana tu kichwani hawa substance kichwani .tofauti yao mmoja Ana PhD ya kubandikwa mwingne PhD yake amesomea japo sifaham chuo kipi kilochompa hiyo PhD