Rais Samia ni kazi kwako kuwaacha au kuwaondoa ‘for the sake of the nation and the party’

Rais Samia ni kazi kwako kuwaacha au kuwaondoa ‘for the sake of the nation and the party’

Kasema mwanzo alikadiliwa kodi 30 billions, baada ya kulalamika wakampungizia ikabaki 10 Billions....!

Akashindwa kulipa akayaacha na Makontena yenyewe...!

Cha ajabu usiku wa jana kuamkia kikao cha leo, wamempigia simu aende kuchukua Mankotena yake.
Yaani hiyo ni wazi kuwa kodi hiyo haikuwa halali na ya kubumba. Sasa ona mzigo umekaa miezi 8 na hasara kwa mfanya biashara kisa watu kutengeneza miaya ya rushwa tuu.
Kiuhalisia kodi nyingi zilizowekwa kisheria zinalipika lakini sheria inatumika vibaya kuchomekea visivyo wezekana ili wapige rushwa
 
Nikuulize unafanya biashara ..?

TRA wanachukua VAT kwenye mtaji sio mapato. Hawaangalii tofauti ya revenue na profit bali annual income

Kama mimi nimefanya biashara ya 100 Million na nikapatq Faida ya 20 M kwa nini nilipe kodi kwenye 120 M badala ya 20 M ambayo ni profit..?
Hiyo ni hasara ya kuishi ki presumptive, fungua kampuni ulipe corporate tax ya 30% ya profit yako.
 
Hiyo ni hasara ya kuishi ki presumptive, fungua kampuni ulipe corporate tax ya 30% ya profit yako.
Nina kampuni zaidi ya 5
Nalipa zaidi ya million 230 kwa mwaka
Nonajua ninachokisema
 
Yaani hiyo ni wazi kuwa kodi hiyo haikuwa halali na ya kubumba. Sasa ona mzigo umekaa miezi 8 na hasara kwa mfanya biashara kisa watu kutengeneza miaya ya rushwa tuu.
Kiuhalisia kodi nyingi zilizowekwa kisheria zinalipika lakini sheria inatumika vibaya kuchomekea visivyo wezekana ili wapige rushwa
Niliwahi kipewa makadirio ya 54 Million kutokana na ongezeko la Mapato
Nilibishana na TRA kwa miezi miwili
Kwenye rerun ya mwaka unaofata zile tenda sikupata tena kwaoo income ikashuka nikarud TRA kuwauliza wa review kodi yao

Baada ya purukushani sana wakatoa kodi currently 20Million

Kwaio kwa watu ambao Havana uelewa wanaumizwa sana na TRA
 
Ningewaona wamaana wangeandamana kwenda bungeni na kuwawajibisha waliowachagua Kwa kushindwa kitunga sheria ZENYE afya.
 
Nikuulize unafanya biashara ..?

TRA wanachukua VAT kwenye mtaji sio mapato. Hawaangalii tofauti ya revenue na profit bali annual income

Kama mimi nimefanya biashara ya 100 Million na nikapatq Faida ya 20 M kwa nini nilipe kodi kwenye 120 M badala ya 20 M ambayo ni profit..?
Hapana ukionana na tax consultant atakuelekeza namna ya kupiga hesebu na ukalipa kodi kwa faida uliyopata. Huo ndio utaratibu kinyume na hapo ni kutokujua au janja janja ya afisa kodi
 
Kipekee nakushukuru kwa kuchukua hatua za dhati za kunusuru soko la kariakoo kwa kumtuma Waziri Mkuu Mh. Kassim Majaliwa. Kwa kweli amefanya kazi kubwa ya kunusuru uchumi wetu.

Pamoja na yote yaliyojadiliwa kuna kiu cha uwajibikaji. Imedhihirika baadhi ya watendaji wako wana uwezo mdogo na wengine ni wazembe na wenye zarau

Ni ombi letu na kama itakupendeza wachukulie hatua au wahamishe au wasimamishe kazi wote walioonekana ni kikwazo kwa wafanyabiashara na uchumi wetu. Na katika hili usiwaache kambare ukaondoa dagaa utakua haujafanya kitu.

Kwa macho yako umeona kiu cha wale ambao wanalalamikiwa ni kazi kwako kuwaondoa au kuendelea kuwafuga.

Nakukumbusha Mh. Jakaya alimuondoa Kalamagi, Nchimbi, Lowasa. Pia Chuma JPM aliwaondoa Kangi Lugola, Mwigulu, Simbachawene nk ili kuleta ustawi na kuonesha uwajibikaji kwa watanzania

Sasa kama hautakuwa na serikali ya uwajibikaji au hata kuhamisha watendaji na mawaziri au hata kuwaondoa basi madhara yatakayotokea ni juu yako na utawala wako.

Chukua hatua
Yaani matatizo yasababishwe na ccm chama kinacho tawala kwa mkono wa chuma toka uhuru halafu uwasifu kuwa waneyatatua.
Hizi Akili au matope
 
Hapana ukionana na tax consultant atakuelekeza namna ya kupiga hesebu na ukalipa kodi kwa faida uliyopata. Huo ndio utaratibu kinyume na hapo ni kutokujua au janja janja ya afisa kodi
Shida naongea na mtu ambaye hafanyi biashara

mimi ni mfanyabiashara na professional accountant
 
Yaani matatizo yasababishwe na ccm chama kinacho tawala kwa mkono wa chuma toka uhuru halafu uwasifu kuwa waneyatatua.
Hizi Akili au matope
Kubadilisha chama sio jambo la kitoto hivo
 
Kwakuangalia tu ni kwamba this is ni kitu ambacho Kiko staged na kwamba yupo mlengwa. Kitu ambacho naweza kusema ni Cha kihuni hata kama kinauhalali
 
Nyongeza katika Hilo
Wafanya biashara wanataka uwazi katika kilipa kodi na sio utashi wa afisa wa kodi

Let say content ya 2forty fity ya vitenge ni Tsh kadhaa
Kontena ya aina hio ya TV ni sh kadhaa
Kontena ya aina hiya ya nguo ni tsh kadhaa

Mbona simple tuu
Eti wanakadilia😂😂😂
 
Mganga wa Mwigulu yule bikizee mwenye titi moja apewe maua yake jamani yuko vizuri sana.
 
Kodi halali ya Serikali lazima tulipe, tusitegemee kuonewa huruma kwenye mapato ya Serikali.
Kama yule mama anadaiwa Kodi ya billioni 3 halafu anataka kukwepa eti alipe milioni 150!!!
hili haliwezekani, Kodi halali lazima ilipwe.

Nasema wakwepa Kodi wa kubwa ni wafanyabiashara wakubwa hawa ndio wanaongoza kukwepa Kodi na kutoa rushwa kwa TRA
Hujui kitu nyamaza
 
Kipekee nakushukuru kwa kuchukua hatua za dhati za kunusuru soko la kariakoo kwa kumtuma Waziri Mkuu Mh. Kassim Majaliwa. Kwa kweli amefanya kazi kubwa ya kunusuru uchumi wetu.

Pamoja na yote yaliyojadiliwa kuna kiu cha uwajibikaji. Imedhihirika baadhi ya watendaji wako wana uwezo mdogo na wengine ni wazembe na wenye zarau

Ni ombi letu na kama itakupendeza wachukulie hatua au wahamishe au wasimamishe kazi wote walioonekana ni kikwazo kwa wafanyabiashara na uchumi wetu. Na katika hili usiwaache kambare ukaondoa dagaa utakua haujafanya kitu.

Kwa macho yako umeona kiu cha wale ambao wanalalamikiwa ni kazi kwako kuwaondoa au kuendelea kuwafuga.

Nakukumbusha Mh. Jakaya alimuondoa Kalamagi, Nchimbi, Lowasa. Pia Chuma JPM aliwaondoa Kangi Lugola, Mwigulu, Simbachawene nk ili kuleta ustawi na kuonesha uwajibikaji kwa watanzania

Sasa kama hautakuwa na serikali ya uwajibikaji au hata kuhamisha watendaji na mawaziri au hata kuwaondoa basi madhara yatakayotokea ni juu yako na utawala wako.

Chukua hatua
Samia hana huo udhubutu .kwanza ashatu kijaji si mzazibar mwenzake ,halafu yeye na samia wanafanana tu kichwani hawa substance kichwani .tofauti yao mmoja Ana PhD ya kubandikwa mwingne PhD yake amesomea japo sifaham chuo kipi kilochompa hiyo PhD
 
Samia hana huo udhubutu .kwanza ashatu kijaji si mzazibar mwenzake ,halafu yeye na samia wanafanana tu kichwani hawa substance kichwani .tofauti yao mmoja Ana PhD ya kubandikwa mwingne PhD yake amesomea japo sifaham chuo kipi kilochompa hiyo PhD

Si sawa dharau hizi. Heshimu mtu akifika kile kiti wewe. Si wewe sasa ungekuwa Rais wetu. Ujinga tu[emoji35]..
 
Back
Top Bottom