Rais Samia ni kiongozi pekee mpaka sasa aliyefanikiwa kupata uungwaji mkono na kukubalika na makundi yote na vyama vyote

Rais Samia ni kiongozi pekee mpaka sasa aliyefanikiwa kupata uungwaji mkono na kukubalika na makundi yote na vyama vyote

N
Mimi nimeona na kushuhudia kabisa namna watu wanavyokwenda kumsikiliza Rais kwa hiyari yao kabisa inayochagizwa na upendo mkubwa walio nayo kwa mama samia, lakini pia napenda nikutaarifu tu kuwa Kama mtu hakupendi na hakukubali watu wasingeweza kwenda kumsikiliza hata Kama wangeletewa gari la bure milangoni mwao, hivyo mafuriko yanayojitokeza kumlaki na kumpokea mh Rais wetu Ni ushahidi wa namna anavyokubalika na kupendwa na watanzania, ndio sababu watu wanakuwa tayari kusafiri umbali mrefu kwenda kumpokea mh Rais
Je umeingia kwenye nafsi za hao watazamaji wa Rais?

Je pengine wanaenda kuangalia mtu anayesimamia taabu dhidi yao? Maana Mtanzania wa leo anahofia kuonesha hisia zake za ukweli hadharani for the love of their nails.....🤣
 
basi mkuu ukwel ni kwamba huku mtaan raia hawamuelw bi mkubwa ...km unabisha ingia ww mwnyw mtaan ufanye taft acha nadharia mkuu
Mimi Ni mkulima nipo mitaani na ninajumuika na kujichanganya na watu wengi Sana ambao wengi wameonyesha namna wanavyomkubali mh Rais, hata Ile uhasama wa kisiasa haupo Zaid ya kubishana kwa hoja, mfano sisi wakulima tunamshukuru Sana mh Rais kwa namna alivyogusa katika suala la pembejeo na soko la mazao yetu ambapo Sasa hatupati hasara Kama zamani,

ukija hata kwa vijana hata walio maliza vyuo Wana matumaini na Imani Sana na kesho iliyo njema , maana kila mtu anaziona juhudi za Rais katika kugusa kila eneo walipo vijana, iwe Ni katika ajira tunaona akitoa ajira kila uchumi unaporuhusu na hata kuimarisha secta binafsi ili isaidie kutengeneza ajira, asiyepata ajira Leo ya ualimu au Afya bado unaona anabaki na matumaini kuwa kesho atapata tu zikitangazwa tena
 
Mimi Ni mkulima nipo mitaani na ninajumuika na kujichanganya na watu wengi Sana ambao wengi wameonyesha namna wanavyomkubali mh Rais, hata Ile uhasama wa kisiasa haupo Zaid ya kubishana kwa hoja, mfano sisi wakulima tunamshukuru Sana mh Rais kwa namna alivyogusa katika suala la pembejeo na soko la mazao yetu ambapo Sasa hatupati hasara Kama zamani,

ukija hata kwa vijana hata walio maliza vyuo Wana matumaini na Imani Sana na kesho iliyo njema , maana kila mtu anaziona juhudi za Rais katika kugusa kila eneo walipo vijana, iwe Ni katika ajira tunaona akitoa ajira kila uchumi unaporuhusu na hata kuimarisha secta binafsi ili isaidie kutengeneza ajira, asiyepata ajira Leo ya ualimu au Afya bado unaona anabaki na matumaini kuwa kesho atapata tu zikitangazwa tena
😁😁😁😁 mama mpaka 2025
 
Je umeingia kwenye nafsi za hao watazamaji wa Rais?

Je pengine wanaenda kuangalia mtu anayesimamia taabu dhidi yao? Maana Mtanzania wa leo anahofia kuonesha hisia zake za ukweli hadharani for the love of their nails.....🤣
Nimeona na kusikia kupitia mazungumzo yanayokuwa yanaendelea, unaona watu wakimsifia na kumpongeza kila mtu na lake, unakuta wakulima wanampongeza kwa kuwakumbuka, vijana unakuta wanamshukura kwa namna anavyo jitahidi kutengeneza ajira na kuzitoa kupitia serikali na hata secta binafsi ambapo amejitahidi kuweka mazingira mazuri ya kibiashara na kiuwekezaji, ukienda kwa wazazi wanaosomesha unaona wakimpongeza mh Rais kwa kufanya Elimu kuwa bure Hadi kidato Cha sita, wengine unaona wakimpongeza kwa ujenzi wa Vituo vya Afya, zahanati shule na vitu vingine vingi tu,

ukienda kwa wafanyabiashara unakuta nao wanampongeza kuwa Sasa wanafanya biashara kwa Uhuru na Wala hakuna ukomolewaji wa ukadiliwaji wa kodi, ndio maana unaona biashara zinafunguliwa kila Siku badala ya kufungwa kila siku, watu wanatafuta fremu na vyumba vya biashara badala ya kuuza na kufunga biashara zao, nchi inachanua kimaendeleo kila Kona ya nchi yetu, mama hakika yupo kazini na Amedhamilia kututumikia watanzania
 
Hizo propaganda zenu zina chosha, na za kishamba achieni vyama vya siasa ndo mtajua uhalisia wa watu.
Vitaachiwa tu na Wala havina tishio lolote kwa Rais Samia huyu anayekubalika kila eneo na kila mtu kutokana na kazi kubwa aliyoifanya ya kuwatumikia watanzania wanyonge ndani Ya muda mfupi, kila eneo limeguswa kiutendaji na kuleta matunda
 
Hapana mkuu Mimi ninaeleza na kutoa mtizamo wangu juu ya kinachoendelea huku mtaani, lakinipia ushujaa siyo kupinga kila kitu, penye ukweli na mazuri Ni uungwana kupongeza na kuunga mkono, unaweza ukakubaliana na Sera na ukapingana na njia za utekelezaji wa Sera, lakini siyo unapinga Sera Hadi namna ya utekelezaji wake hata Kama machoni pa watu inaonekana Sera Ni nzuri
Ni kushauri tuu wakati mwingine jitahidi kuficha maradhi iliyonayo
 
Nimeona na kusikia kupitia mazungumzo yanayokuwa yanaendelea, unaona watu wakimsifia na kumpongeza kila mtu na lake, unakuta wakulima wanampongeza kwa kuwakumbuka, vijana unakuta wanamshukura kwa namna anavyo jitahidi kutengeneza ajira na kuzitoa kupitia serikali na hata secta binafsi ambapo amejitahidi kuweka mazingira mazuri ya kibiashara na kiuwekezaji, ukienda kwa wazazi wanaosomesha unaona wakimpongeza mh Rais kwa kufanya Elimu kuwa bure Hadi kidato Cha sita, wengine unaona wakimpongeza kwa ujenzi wa Vituo vya Afya, zahanati shule na vitu vingine vingi tu,

ukienda kwa wafanyabiashara unakuta nao wanampongeza kuwa Sasa wanafanya biashara kwa Uhuru na Wala hakuna ukomolewaji wa ukadiliwaji wa kodi, ndio maana unaona biashara zinafunguliwa kila Siku badala ya kufungwa kila siku, watu wanatafuta fremu na vyumba vya biashara badala ya kuuza na kufunga biashara zao, nchi inachanua kimaendeleo kila Kona ya nchi yetu, mama hakika yupo kazini na Amedhamilia kututumikia watanzania
Nashukuru kwa kusimamia uongo uliotukuka.
Kesho nayo ni siku
 
Ku
Ina maana anapinga kwamba yeye ni binadamu mwenyewe mawazo huru??

kupinga kila kitu ndiyo dubwasha gani hilo.
Kupinga kila kitu ina maana kutokukubaliana na kila Jambo hata ambalo Ni jema machoni na akilini mwa watu wengi kutokana na faida yake, mfano unakuta humu watu wanapinga hata suala la utolewaji wa Ruzuku katika mbolea kulikofanywa na Rais Samia kwa kusema kuwa halijasaidia kitu chochote ilihali kila mtu mwenye Akili Timamu na mwenye kujuwa ukweli anaona namna uamuzi huo ulivyoleta matumaini kwa wakulima
 
Ku
Kupinga kila kitu ina maana kutokukubaliana na kila Jambo hata ambalo Ni jema machoni na akilini mwa watu wengi kutokana na faida yake, mfano unakuta humu watu wanapinga hata suala la utolewaji wa Ruzuku katika mbolea kulikofanywa na Rais Samia kwa kusema kuwa halijasaidia kitu chochote ilihali kila mtu mwenye Akili Timamu na mwenye kujuwa ukweli anaona namna uamuzi huo ulivyoleta matumaini kwa wakulima
Wewe ni mkulima?
 
Back
Top Bottom