Rais Samia ni Kiongozi wa ndoto ya Watanzania

Rais Samia ni Kiongozi wa ndoto ya Watanzania

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu Hivyo ndivyo unavyoweza kusema kuwa Mama Samia Ni Rais wa Ndoto ya watanzania ya muda mrefu, watanzania siku zote walihitaji kiongozi atakaye kuwa msikivu kwa matatizo na kero zao, kiongozi atakaye kuwa na moyo wa kuguswa na shida zao, kiongozi atakayekuwa na moyo na ngozi ya mwanadamu yenye kuguswa na kero za watu, kiongozi mwenye upendo kwa anaowaongoza

Watanzania walihitaji kiongozi mwenye moyo wa damu atakaye guswa na vilio vya watu, kiongozi mwenye kuelewa uongozi unatoka kwa Mwenyezi Mungu hivyo haupaswi kutumia uongozi kuumiza watu wako ,kutesa watu wako, kuwaliza watu ,kuwabubujisha watu machozi muda wote au kukomoa watu.Bali uongozi Ni kazi ya kusaidia watu, kufariji , kuwafuta machozi watu, kuwatia moyo watu, kuwapa faraja watu,kuwaunganisha watu,kuwashika mikono watu walipodondoka, kuwaongoza njia watu, kulia nao wakati wa shida, siyo kuwakatisha tamaa na kuwavunja moyo watu,

Rais Samia amekidhi Mahitaji hayo ya watanzania, amekata kiu hiyo ya watanzania, Rais Samia Ni kiongozi mwenye moyo wa Upendo, huruma na unyenyekevu mkubwa Sana, Ni kiongozi mwenye hofu ya Mungu, Ni kiongozi mwenye kujuwa kuwa madaraka Ni ya kupita tu, Ni kiongozi asiye na makuu,Ni kiongozi aliye katika uanadamu na siyo kujiweka daraja la Mungu na kuhitaji kuabudiwa, Rais Samia Ni kiongozi kwelii kwelii aliyeiva na kujaliwa kipawa Cha uongozi, Ni kiongozi mwenye damu ya uongozi.

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti

Lucas Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu
 
Ndugu zangu Hivyo ndivyo unavyoweza kusema kuwa Mama Samia Ni Rais wa Ndoto ya watanzania ya muda mrefu, watanzania siku zote walihitaji kiongozi atakaye kuwa msikivu kwa matatizo na kero zao, kiongozi atakaye kuwa na moyo wa kuguswa na shida zao, kiongozi atakayekuwa na moyo na ngozi ya mwanadamu yenye kuguswa na kero za watu, kiongozi mwenye upendo kwa anaowaongoza

Watanzania walihitaji kiongozi mwenye moyo wa damu atakaye guswa na vilio vya watu, kiongozi mwenye kuelewa uongozi unatoka kwa Mwenyezi Mungu hivyo haupaswi kutumia uongozi kuumiza watu wako ,kutesa watu wako, kuwaliza watu ,kuwabubujisha watu machozi muda wote au kukomoa watu.Bali uongozi Ni kazi ya kusaidia watu, kufariji , kuwafuta machozi watu, kuwatia moyo watu, kuwapa faraja watu,kuwaunganisha watu,kuwashika mikono watu walipodondoka, kuwaongoza njia watu, kulia nao wakati wa shida, siyo kuwakatisha tamaa na kuwavunja moyo watu,

Rais Samia amekidhi Mahitaji hayo ya watanzania, amekata kiu hiyo ya watanzania, Rais Samia Ni kiongozi mwenye moyo wa Upendo, huruma na unyenyekevu mkubwa Sana, Ni kiongozi mwenye hofu ya Mungu, Ni kiongozi mwenye kujuwa kuwa madaraka Ni ya kupita tu, Ni kiongozi asiye na makuu,Ni kiongozi aliye katika uanadamu na siyo kujiweka daraja la Mungu na kuhitaji kuabudiwa, Rais Samia Ni kiongozi kwelii kwelii aliyeiva na kujaliwa kipawa Cha uongozi, Ni kiongozi mwenye damu ya uongozi.

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti

Lucas Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu

Ipo siku mama atakuona akupe cheo ili upunguze kelele.
 
Samia anatumia hela vibaya kuwalipa hawa watoto wawe wanamsifia hapa jukwaani kila saa
 
Kusifu huko ndio mnamshushia hadhi.

Legacy haitafuti kwa nguvu hivyo.

Tulishafeli kwenye katiba kuruhusu makamu kuwa rais pindi litokeapo jambo la rais kushindwa majukumu kwa sababu zozote.

Inatakiwa uchaguzi ufanyike kumpata rais wa watanzania.

Huyu siyo rais. Yupo tu kwa mujibu wa katiba.

Rais tutachagua 2025 siyo huyu
 
Kusifu huko ndio mnamshushia hadhi.

Legacy haitafuti kwa nguvu hivyo.

Tulishafeli kwenye katiba kuruhusu makamu kuwa rais pindi litokeapo jambo la rais kushindwa majukumu kwa sababu zozote.

Inatakiwa uchaguzi ufanyike kumpata rais wa watanzania.

Huyu siyo rais. Yupo tu kwa mujibu wa katiba.

Rais tutachagua 2025 siyo huyu
Acha mawazo finyu
Kusifu huko ndio mnamshushia hadhi.

Legacy haitafuti kwa nguvu hivyo.

Tulishafeli kwenye katiba kuruhusu makamu kuwa rais pindi litokeapo jambo la rais kushindwa majukumu kwa sababu zozote.

Inatakiwa uchaguzi ufanyike kumpata rais wa watanzania.

Huyu siyo rais. Yupo tu kwa mujibu wa katiba.

Rais tutachagua 2025 siyo huyu
Acha kujidhalilisha hapa, Nataka unijibu kuwa Ni uchaguzi gani ulifanyika alipofariki John F Kennedy? Ni uchaguzi gani ulifanyika alipofariki Michael Satta? Ni uchaguzi gani ulifanyika alipofariki Rais wa Malawi?

Rais Samia Ni Rais kamili na Halali wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania , Mwenye mamlaka yote na kamili ya Urais na Amri zote,
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anachofeli mleta mada ni kutoweka namba za simu na mahali alipobili apate teuzi chap chap
 
Samia anatumia hela vibaya kuwalipa hawa watoto wawe wanamsifia hapa jukwaani kila saa
Silipwi kuandika hapa Bali naandika kwa utashi wangu kutokana na kuona kazi kubwa inayofanywa na mh Rais na juhudi zake za kuhakikisha kuwa kila mtanzania anainuka kiuchumi
 
Chawa mnatusumbua sana, mwacheni atimize wajibu wake.
Kutwa kujikomba kwani kazi nzuri inahitaji promo?
Kiongozi akifanya vizuri lazima apongezwe ili aendelee kusonga mbele, Haifai na haipendezi kumkatisha Tamaa kiongozi anayefanya vizuri, Ndio sababu wenye kuelewa Hilo walianzisha Tuzo kwa ajili ya kuwapa moyo wa kufanya zaidi viongozi wanaoonekana kujitolea na kujitoa kwa ajili ya kuwatumikia watu
 
Back
Top Bottom