Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Hakusema kwamba si sheria kuu wala hakusema lazima iandikwe kwenye kitabu, ila Tanzania imeandikwa kwenye kitabu.Basi muelimishe huyo mama mbwa kuwa katiba ni sheria kuu na wala siyo lazima iandikwe kwenye kitabu! Kuandika sheria kwenye kitabu au gazeti ni hiari ya watumiaji wa hiyo sheria!
Tanzania katiba ni kijitabu tu. That is a fact.
Ndiyo maana Magufuli kaivunjavunja na hamjamfanya kitu.