Rais Samia ni mtu mzuri

Rais Samia ni mtu mzuri

Big Eagle

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2020
Posts
592
Reaction score
625
Ni ukweli usio pingika kuwa Samia ni mtu mzuri ukiyatazama haya:-

Ni mwenye heshima na anajiheshimu mwenyewe mfano utumia kauli za staha,

Uongozi ni mzuri zaidi ya mmoja analizingatia ilo mfano amewaagiza viongozi kuwajibika.

Anaheshimu sheria na anazifuata mfano ameagiza mara kadhaa polisi kutowabambikizia watu kesi.

Anajali maslahi ya watumishi mfano madaraja yamepandishwa sasa kila mtumishi kimya.

Nadhani hata kesi ya Mbowe hapendi iwepo ila kwakua imeishatokea ameacha sheria ifuate mkondo wake.

Ni mtu mkweli mfano aliiambia tume ya uchaguzi namna ilivyo shughulikia upinzani uchaguzi ulopita na ijirekebishe.

Nina imani na Rais Samia kazi iendelee
 
Bado yapo mengi ya kufanya hasa kwenye uzingativu wa sheria na katiba yetu. Eneo la uhuru wa kisiasa, uhuru wa habari na maoni, utendaji wa polisi, tume huru ya uchaguzi , zaidi zaidi Katiba mpya.
 
1. Tunataka aheshimu kiapo alichokula

2. Aheshimu katiba aliyoapa kuilinda

3. Aache kutoa kauli na maneno matupu, bali abadili sheria, zile mbaya ziwe nzuri zaidi.

4. Apandishe gemu yake ya kisiasa, badala ya kutegemea polisi ajibu hoja za wapinzani wake kwa hoja siyo kuwabambikizia kesi za ugaidi, uhujumu uchumi siyo vitu gani.
 
Ni ukweli usio pingika kuwa Samia ni mtu mzuri ukiyatazama haya :-

Ni mwenye heshima na anajiheshimu mwenyewe mfano utumia kauli za staha,

Uongozi ni mzuri zaidi ya mmoja analizingatia ilo mfano amewaagiza viongozi kuwajibika.

Anaheshimu sheria na anazifuata mfano ameagiza mara kadhaa polisi kutowabambikizia watu kesi.

Anajali maslahi ya watumishi mfano madaraja yamepandishwa sasa kila mtumishi kimya.

Nadhani hata kesi ya Mbowe hapendi iwepo ila kwakua imeishatokea ameacha sheria ifuate mkondo wake.

Ni mtu mkweli mfano aliiambia tume ya uchaguzi namna ilivyo shughulikia upinzani uchaguzi ulopita na ijirekebishe.

Nina Imani na Samia kazi iendelee
Namkubali sana kwenye connection na mvuto wa biashara yuko poa 👇

Screenshot_20210926-072432.png




Screenshot_20210926-071606.png


Screenshot_20210926-071704.png


Screenshot_20210926-071952.png


Screenshot_20210926-071802.png


Screenshot_20210926-072029.png
 
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Amehutubia UN Hongera Kwake
 
Ni ukweli usio pingika kuwa Samia ni mtu mzuri ukiyatazama haya :-

Ni mwenye heshima na anajiheshimu mwenyewe mfano utumia kauli za staha,

Uongozi ni mzuri zaidi ya mmoja analizingatia ilo mfano amewaagiza viongozi kuwajibika.

Anaheshimu sheria na anazifuata mfano ameagiza mara kadhaa polisi kutowabambikizia watu kesi.

Anajali maslahi ya watumishi mfano madaraja yamepandishwa sasa kila mtumishi kimya.

Nadhani hata kesi ya Mbowe hapendi iwepo ila kwakua imeishatokea ameacha sheria ifuate mkondo wake.

Ni mtu mkweli mfano aliiambia tume ya uchaguzi namna ilivyo shughulikia upinzani uchaguzi ulopita na ijirekebishe.

Nina Imani na Samia kazi iendelee
Naunga mkono hoja
P
 
Ni ukweli usio pingika kuwa Samia ni mtu mzuri ukiyatazama haya :-

Ni mwenye heshima na anajiheshimu mwenyewe mfano utumia kauli za staha,

Uongozi ni mzuri zaidi ya mmoja analizingatia ilo mfano amewaagiza viongozi kuwajibika.

Anaheshimu sheria na anazifuata mfano ameagiza mara kadhaa polisi kutowabambikizia watu kesi.

Anajali maslahi ya watumishi mfano madaraja yamepandishwa sasa kila mtumishi kimya.

Nadhani hata kesi ya Mbowe hapendi iwepo ila kwakua imeishatokea ameacha sheria ifuate mkondo wake.

Ni mtu mkweli mfano aliiambia tume ya uchaguzi namna ilivyo shughulikia upinzani uchaguzi ulopita na ijirekebishe.

Nina Imani na Samia kazi iendelee
Alisema Mbowe alikimbia nchi, Mbowe washitakiwa wenzake walikwisha hukumiwa! Hii ni kesi ya ugaidi iliyoendeshwa kimyakimya bila upepo kuvuma.
 
Ahsante kwa taarifa, tatizo watendaje hawana adabu wala heshima...
 
Ni ukweli usio pingika kuwa Samia ni mtu mzuri ukiyatazama haya :-

Ni mwenye heshima na anajiheshimu mwenyewe mfano utumia kauli za staha,

Uongozi ni mzuri zaidi ya mmoja analizingatia ilo mfano amewaagiza viongozi kuwajibika.

Anaheshimu sheria na anazifuata mfano ameagiza mara kadhaa polisi kutowabambikizia watu kesi.

Anajali maslahi ya watumishi mfano madaraja yamepandishwa sasa kila mtumishi kimya.

Nadhani hata kesi ya Mbowe hapendi iwepo ila kwakua imeishatokea ameacha sheria ifuate mkondo wake.

Ni mtu mkweli mfano aliiambia tume ya uchaguzi namna ilivyo shughulikia upinzani uchaguzi ulopita na ijirekebishe.

Nina Imani na Samia kazi iendelee
Nakubaliana nawe kuwa SSH ni mtu mzuri sana hasa ukimlinganisha na mrithi wake.
Nashauri arekebishe yafuatayo;

1. Arekebishe vyombo vya ulinzi hasa jeshi la Polisi. Afanye overhauling kama alivyofanya Raisi mpya wa Zambia. Au alivyofanya kwa Tanesco.

2. Aruhusu mijadala ya kitaifa kuhusu mambo ya msingi ya taifa kama vile Katiba Mpya, tume ya uchaguzi, haki za binadamu nk.
3. Arekebishe sheria kandamizi zinazolalamikiwa na wananchi kuwa zinaminya uhuru wao.

4. Asimike utawala wa sheria. Serikali itende haki kwa raia wake.j
Raia siiogope serikali kuwa inaweza kumsingizia kesi mbaya na kumtia gerezani ili kumkomoa na kumwonyesha cha mtemakuni.
Serikali iwe kimbilio la haki kwa raia wote.
Haki za sawa kisiasa ziwepo kwa wote.
Kusiwe na double standard.

5. Kuwe na uwazi serikalini ili kujenga uzalendo.

6. Kuruhusu watu waseme, wanaosifia na wanaokosoa wote tunawahitaji sawa. Waachwe waseme kwa uhuru uleule.
Leo niishue hapa

SSH naamini haya anayaweza kwani ni mcha Mungu wa kweli.
 
Hebu acha kuandika upumbavu.


Ni ukweli usio pingika kuwa Samia ni mtu mzuri ukiyatazama haya:-

Ni mwenye heshima na anajiheshimu mwenyewe mfano utumia kauli za staha,

Uongozi ni mzuri zaidi ya mmoja analizingatia ilo mfano amewaagiza viongozi kuwajibika.

Anaheshimu sheria na anazifuata mfano ameagiza mara kadhaa polisi kutowabambikizia watu kesi.

Anajali maslahi ya watumishi mfano madaraja yamepandishwa sasa kila mtumishi kimya.

Nadhani hata kesi ya Mbowe hapendi iwepo ila kwakua imeishatokea ameacha sheria ifuate mkondo wake.

Ni mtu mkweli mfano aliiambia tume ya uchaguzi namna ilivyo shughulikia upinzani uchaguzi ulopita na ijirekebishe.

Nina imani na Rais Samia kazi iendelee
 
Ni ukweli usio pingika kuwa Samia ni mtu mzuri ukiyatazama haya:-

Ni mwenye heshima na anajiheshimu mwenyewe mfano utumia kauli za staha,

Uongozi ni mzuri zaidi ya mmoja analizingatia ilo mfano amewaagiza viongozi kuwajibika.

Anaheshimu sheria na anazifuata mfano ameagiza mara kadhaa polisi kutowabambikizia watu kesi.

Anajali maslahi ya watumishi mfano madaraja yamepandishwa sasa kila mtumishi kimya.

Nadhani hata kesi ya Mbowe hapendi iwepo ila kwakua imeishatokea ameacha sheria ifuate mkondo wake.

Ni mtu mkweli mfano aliiambia tume ya uchaguzi namna ilivyo shughulikia upinzani uchaguzi ulopita na ijirekebishe.

Nina imani na Rais Samia kazi iendelee
Samia Ni best president, pia umesahau Askari wetu wamepanda vyeo,JW wanamkubari Sana mama kuliko wakati wowote, na watumishi wa umma pia kaboresha maslai yao,
 
Ni ukweli usio pingika kuwa Samia ni mtu mzuri ukiyatazama haya:-

Ni mwenye heshima na anajiheshimu mwenyewe mfano utumia kauli za staha,

Uongozi ni mzuri zaidi ya mmoja analizingatia ilo mfano amewaagiza viongozi kuwajibika.

Anaheshimu sheria na anazifuata mfano ameagiza mara kadhaa polisi kutowabambikizia watu kesi.

Anajali maslahi ya watumishi mfano madaraja yamepandishwa sasa kila mtumishi kimya.

Nadhani hata kesi ya Mbowe hapendi iwepo ila kwakua imeishatokea ameacha sheria ifuate mkondo wake.

Ni mtu mkweli mfano aliiambia tume ya uchaguzi namna ilivyo shughulikia upinzani uchaguzi ulopita na ijirekebishe.

Nina imani na Rais Samia kazi iendelee
Amewafunga wapinzani kwa kesi bambikizi

Amekataa mchakato wa katiba mpya

Anawaumiza maskini kwa tozo

Samia ni mzuri…?$;:}€¥\=‘nb!!!
 
Back
Top Bottom