Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uungwana upi wakati yupo hapo kwa sababu ya wizi na uchafuzi wa kura?Swali langu ni dogo sana na halihitaji maelezo marefu mama samia ameonyesha uungwana na uvumilivu kwenye mambo mengi mfano kwa Tundulisu na kiss fungulia magazeti lakini je atashinda kizingiti cha chama chake na dola kutoiba kura kwenye uchaguzi?
Karne hii ambapo mambo hubadilika haraka sana huwezi kujiamini hivi unadhani magufuli leo angekuwa kwamba atakuwa udongo ? Don't under estimate people bana.Lakini,alisema kipindi fulani kwamba CCM haihitaji kura zenu ili ishimde uchaguzi.Au hakueleweka uzuri?
Karne hii ambapo mambo hubadilika haraka sana huwezi kujiamini hivi unadhani magufuli leo angekuwa kwamba atakuwa udongo ? Don't under estimate people bana.Lakini,alisema kipindi fulani kwamba CCM haihitaji kura zenu ili ishimde uchaguzi.Au hakueleweka uzuri?
Labda hauwaelezei CCM.Hivi ukiwaeleza hivyo watakuelewa?Karne hii ambapo mambo hubadilika haraka sana huwezi kujiamini hivi unadhani magufuli leo angekuwa kwamba atakuwa udongo ? Don't under estimate people bana.
Hawezi kukishinda sababu bila hicho ye mwenyewe anaweza asiwepoSwali langu ni dogo sana na halihitaji maelezo marefu mama samia ameonyesha uungwana na uvumilivu kwenye mambo mengi mfano kwa Tundulisu na kufungulia magazeti lakini je atashinda kizingiti cha chama chake na dola kutoiba kura kwenye uchaguzi?
Hivi kwa akiri Samia apambane na Lissu atatoboa??? Au Samia apambane na Mbowe atatoboa, kwa hoja zipi? Ushawishi upi? Ukweli 2025 ataiba sana, hakubaliki Kama wenzake waliomtanguliaSwali langu ni dogo sana na halihitaji maelezo marefu mama samia ameonyesha uungwana na uvumilivu kwenye mambo mengi mfano kwa Tundulisu na kufungulia magazeti lakini je atashinda kizingiti cha chama chake na dola kutoiba kura kwenye uchaguzi?
Ana mkono mrefu sana wa kuweza kuiba kura kila kituo nchi nzima, ogopa mfumo mkuuSwali langu ni dogo sana na halihitaji maelezo marefu mama samia ameonyesha uungwana na uvumilivu kwenye mambo mengi mfano kwa Tundulisu na kufungulia magazeti lakini je atashinda kizingiti cha chama chake na dola kutoiba kura kwenye uchaguzi?