Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
risiti ya 100?Nchi nyingi tu watu wanalipa kodi na kupewa rusiti tena kodi kubwa ila wana enjoy kulipa kodi kwa sababu wanaona matokeo makubwa ya kodi zao .
Kwa marekani hakuna bidhaa ya hiyo pesa ila kila sh utakayotumia utapata risiti inayoonyesha mchanganuo wa pesa yako, kila bidhaa ni halali kabisa upate risiti.risiti ya 100?
USA si raia wote wafurahia kodi zao zitumikavyo kufadhili vita mbalimbaliNchi nyingi tu watu wanalipa kodi na kupewa risiti tena kodi kubwa ila wana enjoy kulipa kodi kwa sababu wanaona matokeo makubwa ya kodi zao .
Huu ni uzi kabisa mkuuUSA si raia wote wafurahia kodi zao zitumikavyo kufadhili vita mbalimbali
Tena wanafurahia kulipa Kodi kwasababu mtu mmojammoja kama hana kazi anapewa hela ya kula na analipiwa kodi ya nyumba nchi ya Canada wanafanya hivyoNchi nyingi tu watu wanalipa kodi na kupewa risiti tena kodi kubwa ila wana enjoy kulipa kodi kwa sababu wanaona matokeo makubwa ya kodi zao .
Kwetu ukitoa ni kama unapalilia vitambi vya wakubwa inauma kiasi fulani lakini.Tena wanafurahia kulipa Kodi kwasababu mtu mmojammoja kama hana kazi anapewa hela ya kula na analipiwa kodi ya nyumba nchi ya Canada wanafanya hivyo
Ushatembea nchi ngapi? Mbona mambo ya kawaida hayo.wasaidizi wake au wale chawa gegedu wake tafadhali njooni hapa mumsaidie mtutajie hiyo nchi ili nasi pia tuijue ok?
Mhhhh, unatupigaTena wanafurahia kulipa Kodi kwasababu mtu mmojammoja kama hana kazi anapewa hela ya kula na analipiwa kodi ya nyumba nchi ya Canada wanafanya hivyo
Nendeni ubalozi wa Canada, mimi nina rafiki yuko Canada naongea naye kilasikuMhhhh, unatupiga
si rahisi wote kufurahia Jambo fulani, ni kawaida hali hiyo 🐒USA si raia wote wafurahia kodi zao zitumikavyo kufadhili vita mbalimbali
kwahiyo inauma kiasi Fulani watu wakilipwa mishahara kwa kodi kidogo inayotozwa🐒Kwetu ukitoa ni kama unapalilia vitambi vya wakubwa inauma kiasi fulani lakini.
Ni nchi nyingi mno duniani ikiwapo na Tanzania baadhi ya wauzaji ukinunua chochote hata sindano moja unapata risiti. Hili sio jambo kubwa na tusipoteze muda wetu hapa.wasaidizi wake au wale chawa gegedu wake tafadhali njooni hapa mumsaidie mtutajie hiyo nchi ili nasi pia tuijue ok?
Nendeni ubalozi wa Canada, mimi nina rafiki yuko Canada naongea naye n
Basi mengi sijaona badoNendeni ubalozi wa Canada, mimi nina rafiki yuko Canada naongea naye kirasiku
Tuna ubalozi wa Canada hapa nenda pale kaulize watakujuza, to prove me wrongBasi mengi sijaona bado
Kama mbunge wa jimbo nililotokea ana kula pesa ya wizi kabisa ,ni vile tu watu wa jimbo langu huwa hawaitegemei serikali kihivyo mambo mengi tu , tunachangia yanakaa sawa 🐒kwahiyo inauma kiasi Fulani watu wakilipwa mishahara kwa kodi kidogo inayotozwa🐒
sijatemebea na sijasoma pia kama wewe tajiri, msomi na mtembeajiUshatembea nchi ngapi? Mbona mambo ya kawaida hayo.