Rais Samia ni nchi gan hiyo duniani uliambiwa kuwa ukinunua hata tu 'Bigi Jii' unapewa Risiti?

Rais Samia ni nchi gan hiyo duniani uliambiwa kuwa ukinunua hata tu 'Bigi Jii' unapewa Risiti?

Kama mbunge wa jimbo nililotokea ana kula pesa ya wizi kabisa ,ni vile tu watu wa jimbo langu huwa hawaitegemei serikali kihivyo mambo mengi tu , tunachangia yanakaa sawa 🐒
kwahiyo mmeamua kutokujitendea haki wenyewe right?

na Mbunge anahusikaje kula pesa za wananchi, mbona kwanza yeye hahusiki na pesa kwaajili ya wananchi, huyo wa kwenu kapata wap pesa 🐒
 
kwahiyo mmeamua kutokujitendea haki wenyewe right?

na Mbunge anahusikaje kula pesa za wananchi, mbona kwanza yeye hahusiki na pesa kwaajili ya wananchi, huyo wa kwenu kapata wap pesa 🐒
Mishahara na posho anazopata ndio pesa za wananchi ,hana mchango wowote bungeni wala jimboni mwake yupo yupo tu.
 
Mishahara na posho anazopata ndio pesa za wananchi ,hana mchango wowote bungeni wala jimboni mwake yupo yupo tu.
mna haki ya kumuwajibisha kule field wakati muafaka wa uchaguzi, mitandaoni sio pakutegemea hata kidogo. atashinda tena hiyo kiti mkizubaa na kujiaminisha mitandaoni kwamba hawezi toboa 🐒
 
wenye upeo mpana hapa jamvini tunapomdharau muwe mnatuelewa. kama nchi tumepata hasara kubwa sana ok?
mdharau mwiba mguu huota tende 🐒

Moyo unaumia kwa ukweli bayana, majibu na fikra mbadala zimefikia ukomo wa kuwaza aise. Lazima upate fukuto la moyo 🐒
 
mna haki ya kumuwajibisha kule field wakati muafaka wa uchaguzi, mitandaoni sio pakutegemea hata kidogo. atashinda tena hiyo kiti mkizubaa na kujiaminisha mitandaoni kwamba hawezi toboa 🐒
Kwani kabla ya hapo nan alimpigia kura mkuu si walipita tu bila kupigwa ?
 
Mimi huwa sichangiagi haya mambo ya siasa siasa hata kidogo.

Ila suala la luku limenipa mstuko mkubwa sana aiseee yaani 5k unit 7 serious
 
na bado.....!!
Yaaani kwa hapa sasa kuna kitu wanakitafuta unajua nilikua nachukulia poa sana ila sasa hapana wakuu daah kweli an hii imeniuma mno....

Sasa hata mwezi ujakata nishanunua umeme wa 10k na sielewi haya matumizi imekuaje kuaje
 
Back
Top Bottom