Rais Samia ni nchi gan hiyo duniani uliambiwa kuwa ukinunua hata tu 'Bigi Jii' unapewa Risiti?

Rais Samia ni nchi gan hiyo duniani uliambiwa kuwa ukinunua hata tu 'Bigi Jii' unapewa Risiti?

wasaidizi wake au wale chawa gegedu wake tafadhali njooni hapa mumsaidie mtutajie hiyo nchi ili nasi pia tuijue ok?
Hapana, mwenye tatizo hapa ni Raisi Samia, anaweza kuwa aliambiwa hili hakuelewa.

Hizo nchi anazosema zinatoa risiti kwa Big G, sio kwamba wanauza Big G moja moja. Unanunua Big G box zima. Ni hizi nchi masikini kama Tanzania tu ndio unaweza kununua pipi au big G moja moja. Ukienda nchi zilizoendela hakuna sehemu wanauza pipi moja moja, au eti Big G moja. Unanunua mfuko wa pipi au unanunua kwa kupimiwa kwa kilo.

Halafu Big G ni brand name, sio generic name. Hivi vitu vinaitwa chewing gum. Usije ukaenda sehemu kama Marekani ukauliza naomba Big G, hiyo brand inaweza isiwepo.

Pia Raisi Samia asiwe anaamini kila anachoambiwa, na anapaswa kuwa na ufahamu hata kwa vitu vidogo vidogo kama hivi, hasa ikiwa atavitumia kama mfano kwenye hotuba zake.
 
Hapana, mwenye tatizo hapa ni Raisi Samia, anaweza kuwa aliambiwa hili hakuelewa.

Hizo nchi anazosema zinatoa risiti kwa Big G, sio kwamba wanauza Big G moja moja. Unanunua Big G box zima. Ni hizi nchi masikini kama Tanzania tu ndio unaweza kununua pipi au big G moja moja. Ukienda nchi zilizoendela hakuna sehemu wanauza pipi moja moja, au eti Big G moja. Unanunua mfuko wa pipi au kwa kilo.

Halafu Big G ni brand name, sio generic name. Hivi vitu vinaitwa chewing gum. Usije ukaenda sehemu kama Marekani ukauliza naomba Big G, hiyo brand inaweza isiwepo.

Pia Raisi Samia asiwe anaamini kila anachoambiwa.
wenye akili pana walivyoona tu nimeandika hapo 'bigi jii' kwa ku dramatize walinielewa ila kwa masikini wa akili hawajanielewa
 
Mimi huwa sichangiagi haya mambo ya siasa siasa hata kidogo.

Ila suala la luku limenipa mstuko mkubwa sana aiseee yaani 5k unit 7 serious
Mimi mwenyewe nilijua siasa hainihusu hadi pale nilipo kuwa na malalamiko kuhusu kodi, niliambiwa sheria ina sema ukiangalia sheria inatugwa na nani? Ni wana siasa
 
wenye akili pana walivyoona tu nimeandika hapo 'bigi jii' kwa ku dramatize walinielewa ila kwa masikini wa akili hawajanielewa
Inawezekana wewe ndio masikini wa akili. Kwa hiyo Samia hakusema Big G ila wewe ndio umemlisha maneno? Unapaswa ushitakiwe kwa kumkashifu raisi.
 
Mimi mwenyewe nilijua siasa hainihusu hadi pale nilipo kuwa na malalamiko kuhusu kodi, niliambiwa sheria ina sema ukiangalia sheria inatugwa na nani? Ni wana siasa
Daaah mkuu hili suala lime ni touch sana aiseee an mambo yalivyo magumu hivi na bado kuna makato ya ajabu ajabu daah..

Hivi wanataka tuibe sasa au
 
Inawezekana wewe ndio masikini wa akili. Kwa hiyo Samia hakusema Big G ila wewe ndio umemlisha maneno? Unapaswa ushitakiwe kwa kumkashifu raisi.
huna akili nenda tbc1 waambie wakupe footage ya rais alivyokuwa anawahutubia leo wanawake wa kiislamu zanzibar ili ujiridhe

halafu unajua maana ya id yangu cognizant? kama huijui au hujui kiingereza mtafute wordsmith hapo ulipo akuelimishe
 
Daaah mkuu hili suala lime ni touch sana aiseee an mambo yalivyo magumu hivi na bado kuna makato ya ajabu ajabu daah..

Hivi wanataka tuibe sasa au
Ni kwasababu mara ya kwanza tulishindwa kupaza sauti zetu walikuwa wanakata 1000, 1500, mpaka saiv 2000 mimi naona Acha iwe hivo sababu wengi wetu tunaona mambo ya siasa hayatuhusu tunaona kama kuna mtu fulani mahali anatakiwa kutusemea
Wakati kuikomboa nchi zidi ya ukandamizi kunaweza kukaanza na wewe au na mimi
 
Ni kwasababu mara ya kwanza tulishindwa kupaza sauti zetu walikuwa wanakata 1000, 1500, mpaka saiv 2000 mimi naona Acha iwe hivo sababu wengi wetu tunaona mambo ya siasa hayatuhusu tunaona kama kuna mtu fulani mahali anatakiwa kutusemea
Wakati kuikomboa nchi zidi ya ukandamizi kunaweza kukaanza na wewe au na mimi
Unajua mkuu... Au ngoja kwanza tuone maana hapa hawajui wanatengeneza bomu ambalo litawaumiza wenyewe
 
Hakuna MTU yoyote katika Huu Ulimwengu anayependa kulipa kodi
 
Hakuna MTU yoyote katika Huu Ulimwengu anayependa kulipa kodi
 
huna akili nenda tbc1 waambie wakupe footage ya rais alivyokuwa anawahutubia leo wanawake wa kiislamu zanzibar ili ujiridhe

halafu unajua maana ya id yangu cognizant? kama huijui au hujui kiingereza mtafute wordsmith hapo ulipo akuelimishe
Mmmh, unaongea kiingereza kigumu! cognizant, wordsmith!
 
Back
Top Bottom