Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
- #101
Nawapeni ukweli na kweli itakuweka huru.Sasa kama hulipwi unanufaika na nini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nawapeni ukweli na kweli itakuweka huru.Sasa kama hulipwi unanufaika na nini
Unaumia ukiwapa wapi huko kusiko na sumu ili unywe na kufa kwa sababu huna faida yoyote ile hapa Duniani na katika ardhi yetu.Mpuuzi wewe tu weka namba yako! Kusifia tu watu wa ajabu ajabu! ona jinsi hayo magwanda yanavyotukanwa!!
Kituo changu cha kazi ni shambani tu.Wewe ni mmoja wao kama una kazi ungepata wapi muda wa kuandika yale magazeti yako na kukesha kuya defend humu? Unaona watu wajinga hawajui unachofanya? Wewe ni chawa mbobevu na kituo chako cha kazi ni hapa JF.
Umesamehewa dhambi zako na makosa yako yote bure kabisa bila gharama ya aina yoyote ileWewe ni lost , wasted ejaculation. Unisamehe mpaka hapo utakapojirekebisha. Write sense, talk sense, think sense!
Sawa tunawapenda wanaotuvutia lkn si kwa "ujinga" kama unaouandika
Nisamehe for the harsh language! Sina namna ya kukuelezea.
Hakuna mtoto humu wa kuamini huu ujinga wako wewe ni chawa na kituo chako cha kazi inayokuweka mjini ni hapa JF.Kituo changu cha kazi ni shambani tu.
Jembe ndio linaloniweka mjini kwa misaada Ya Rais Samia kwa kutupatia wakulima mbolea za Ruzuku,bei nzuri ya mahindi ambapo ni mia sana kwa kilo na mengine mengi sana.Mama ni chaguo la Mungu MwenyeweHakuna mtoto humu wa kuamini huu ujinga wako wewe ni chawa na kituo chako cha kazi inayokuweka mjini ni hapa JF.
Chawa tu wewe kila mwenye akili anajua hiloJembe ndio linaloniweka mjini kwa misaada Ya Rais Samia kwa kutupatia wakulima mbolea za Ruzuku,bei nzuri ya mahindi ambapo ni mia sana kwa kilo na mengine mengi sana.Mama ni chaguo la Mungu Mwenyewe
Kwani na wewe una akili Timamu? Watu wako wa karibu wanakuona na wewe ni mzima kama binadamu wengine?Chawa tu wewe kila mwenye akili anajua hilo
Chawa huna akili unangojea kunyonya damu tu.Kwani na wewe una akili Timamu? Watu wako wa karibu wanakuona na wewe ni mzima kama binadamu wengine?
Wewe ndiye huna akili.Chawa huna akili unangojea kunyonya damu tu.
Chawa tangu lini ukawa na akili unajua kunyonya damu tu na kuishi kwenye uchafu.Wewe ndiye huna akili.
Ukweli gani kwani sisi hatuna macho mpaka wewe usemi au wewe ndio unaona sana kuliko sisi?Nawapeni ukweli na kweli itakuweka huru.
Wewe ni kipofu wa akili na machoUkweli gani kwani sisi hatuna macho mpaka wewe usemi au wewe ndio unaona sana kuliko sisi?
Huyo luka ni zombieUkweli gani kwani sisi hatuna macho mpaka wewe usemi au wewe ndio unaona sana kuliko sisi?
Wewe ni kibwengo kabisaWewe ni kipofu wa akili na macho
Na huyu chawa mkosa aibu kuna siku atajutia kushiriki kwake kwenye ushetani, kwa kusifia wakati alistahili kukosoa au kukemea.Awamu hii ya Tano kipnd Cha pili imetia fora ktk utekaji,
Hadi mama zetu wanatekwa na kuumizwa,
KUTAPAMBAZUKA tu na,
HATOGOMBEA!!
Hili punguani Mshamba kuna wakati linatia hasira, naelewa hasira zako.Kama ambavyo vilivyo fanya kwenye mikasa ya Tundu Lissu, Kangoye,Ben Saanane, Ally Mbwana nk
Acha upumbavu bora ungekuwa mjinga f*""
Yaani huyu ni hasara kwa wazazi wake na jamaa zake wote. Hakuna mtu mwenye akili timamu anayweza kuwa chawa wa kujitoa ufahamu na utu kama anavyofanya huyu Lucas. Ukiwa na toto la namna ya huyu, ndiyo wale wanaoitwa, "mtoto asiye riziki" unaishi naye kwa vile tu mwanadamu. Anaandika upuuzi, hata huyo anayesifiwa akisoma, atakuwa anasonya na kutukana maana anaona ni kejeli.Wewe ni lost , wasted ejaculation. Unisamehe mpaka hapo utakapojirekebisha. Write sense, talk sense, think sense!
Sawa tunawapenda wanaotuvutia lkn si kwa "ujinga" kama unaouandika
Nisamehe for the harsh language! Sina namna ya kukuelezea.
It is a pity! Nadhani huyu upstairs hayuko sawa! Kweli watanzania , the majority, tu MAITI as put by Kenyatta! Huyu ni maiti inayotembea, walking corpse! a dead body, only waiting to rot and stink!Yaani huyu ni hasara kwa wazazi wake na jamaa zake wote. Hakuna mtu mwenye akili timamu anayweza kuwa chawa wa kujitoa ufahamu na utu kama anavyofanya huyu Lucas. Ukiwa na toto la namna ya huyu, ndiyo wale wanaoitwa, "mtoto asiye riziki" unaishi naye kwa vile tu mwanadamu. Anaandika upuuzi, hata huyo anayesifiwa akisoma, atakuwa anasonya na kutukana maana anaona ni kejeli.
Huyu hivyo vihela anavyopewa, ni vya mateso sana!! Kama masharti ya kulipwa ni lazima ajidhalilishe kiasi hiki, kwa kweli ni wa kumhurumia.