Rais Samia ni Rais bora kuwahi kutokea kwenye Taifa hili

Rais Samia ni Rais bora kuwahi kutokea kwenye Taifa hili

Sawa mkuu,

Nukuu ya baba wa taifa.
""UTII UKIZIDI SANAA HUZAA UOGA, UOGA UKIZIDI SANA HUZAA UNAFIKI NA KUJIPENDEKEZA NA MWISHO WAKE NI MAUTI""
Ukipewa kibunda wewe utasifia mpaka soli ya kiatu alichovaa, watu wanaangalia vibunda zaidi ukiona mtu kashikilia bango jua mkononi kalamba nyekundu kadhaa mods msinipige ban
 
Ukipewa kibunda wewe utasifia mpaka soli ya kiatu alichovaa
Mimi ni dactari kijana naishi vyema umaskini,ujinga, maradhi nimevikimbiza 100000000000km


Nukuu ya baba wa taifa.
""UTII UKIZIDI SANAA HUZAA UOGA, UOGA UKIZIDI SANA HUZAA UNAFIKI NA KUJIPENDEKEZA NA MWISHO WAKE NI MAUTI""
 
Mzee Umesahau kuweka mawasiliano yako hapo mwisho 🤒😎
 
Mimi ni dactari kijana naishi vyema umaskini,ujinga, maradhi nimevikimbiza 100000000000km


Nukuu ya baba wa taifa.
""UTII UKIZIDI SANAA HUZAA UOGA, UOGA UKIZIDI SANA HUZAA UNAFIKI NA KUJIPENDEKEZA NA MWISHO WAKE NI MAUTI""
Ukilambishwa kibunda unaukimbia udaktari huo wewe wekwa wizara fulani pale acha kuchezea Michael loss crop
 
Whether you are agree not you are agree Rais samia ni Rais bora sana kuwahi kutokea kwenye taifa hili ama hakika haya aliyoyafanya na anayo endelea kuyafanya ama rais yoyote yule aliwahi kuyafanya labda Rais Magufuli na yeye alijitahidi ila ndiyo hivyo angetawala miaka zaidi hii nchi ingekuwa kama new york aisee

Ndani ya muda mfupi tu ameweza kuleta maendeleo makubwa sana ambayo hata marais wengine hawajawahi kuyafanya aisee,ameleta amani na utulivu na kiukweli pesa inonekana mtani, ameleta umoja miongoni mwa vyama upinzani, ameongeza idadi ya ajira kwa vijana na nchi kiukweli imetulia. Tafadhali aongezewe muda wa kuongoza taifa hili ili tuendeleee kupata maendeleo kwenye nchi hii.

#Nadhani watu wa fasihi mmenielewa#
Kama ww unaona huyu ni rais Bora basi ni mjinga kuliko hata ujinga wenyewe. Unaanzaje kusema huyu ni rais Bora kama si punguani
 
Whether you are agree not you are agree Rais samia ni Rais bora sana kuwahi kutokea kwenye taifa hili ama hakika haya aliyoyafanya na anayo endelea kuyafanya ama rais yoyote yule aliwahi kuyafanya labda Rais Magufuli na yeye alijitahidi ila ndiyo hivyo angetawala miaka zaidi hii nchi ingekuwa kama new york aisee

Ndani ya muda mfupi tu ameweza kuleta maendeleo makubwa sana ambayo hata marais wengine hawajawahi kuyafanya aisee,ameleta amani na utulivu na kiukweli pesa inonekana mtani, ameleta umoja miongoni mwa vyama upinzani, ameongeza idadi ya ajira kwa vijana na nchi kiukweli imetulia. Tafadhali aongezewe muda wa kuongoza taifa hili ili tuendeleee kupata maendeleo kwenye nchi hii.

#Nadhani watu wa fasihi mmenielewa#
Pumbavu.
 
Whether you are agree not you are agree Rais samia ni Rais bora sana kuwahi kutokea kwenye taifa hili ama hakika haya aliyoyafanya na anayo endelea kuyafanya ama rais yoyote yule aliwahi kuyafanya labda Rais Magufuli na yeye alijitahidi ila ndiyo hivyo angetawala miaka zaidi hii nchi ingekuwa kama new york aisee

Ndani ya muda mfupi tu ameweza kuleta maendeleo makubwa sana ambayo hata marais wengine hawajawahi kuyafanya aisee,ameleta amani na utulivu na kiukweli pesa inonekana mtani, ameleta umoja miongoni mwa vyama upinzani, ameongeza idadi ya ajira kwa vijana na nchi kiukweli imetulia. Tafadhali aongezewe muda wa kuongoza taifa hili ili tuendeleee kupata maendeleo kwenye nchi hii.

#Nadhani watu wa fasihi mmenielewa#
Hiyo English yako imekaa kichawa zaidi! Acha mara moja kuwajaza hasira wenye lugha yao! Unamdhalilisha mwalimu wako wa somo la kiingereza!
 
Whether you are agree not you are agree Rais samia ni Rais bora sana kuwahi kutokea kwenye taifa hili ama hakika haya aliyoyafanya na anayo endelea kuyafanya ama rais yoyote yule aliwahi kuyafanya labda Rais Magufuli na yeye alijitahidi ila ndiyo hivyo angetawala miaka zaidi hii nchi ingekuwa kama new york aisee

Ndani ya muda mfupi tu ameweza kuleta maendeleo makubwa sana ambayo hata marais wengine hawajawahi kuyafanya aisee,ameleta amani na utulivu na kiukweli pesa inonekana mtani, ameleta umoja miongoni mwa vyama upinzani, ameongeza idadi ya ajira kwa vijana na nchi kiukweli imetulia. Tafadhali aongezewe muda wa kuongoza taifa hili ili tuendeleee kupata maendeleo kwenye nchi hii.

#Nadhani watu wa fasihi mmenielewa#
Hapo kwenye bold kwani ungeandika Kiswahili chetu ungedhurika nini ?
 
Back
Top Bottom