Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Yes nimeunga mkono hoja kwasababu Samia ana chance ya kuwa rais bora wa pili wa Tanzania baada ya Nyerere.If that so, why umeunga mkono hoja ya mtoa hoja?
P
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes nimeunga mkono hoja kwasababu Samia ana chance ya kuwa rais bora wa pili wa Tanzania baada ya Nyerere.If that so, why umeunga mkono hoja ya mtoa hoja?
Namkubali sana SSH,na ningekuwa nayasema haya siku nyingi sana Hadi nikaitwa chawa 😂😂Whether you are agree not you are agree Rais Samia ni Rais bora sana kuwahi kutokea kwenye taifa hili ama hakika haya aliyoyafanya na anayo endelea kuyafanya ama rais yoyote yule aliwahi kuyafanya labda Rais Magufuli na yeye alijitahidi ila ndiyo hivyo angetawala miaka zaidi hii nchi ingekuwa kama new york aisee
Ndani ya muda mfupi tu ameweza kuleta maendeleo makubwa sana ambayo hata marais wengine hawajawahi kuyafanya aisee,ameleta amani na utulivu na kiukweli pesa inonekana mtani, ameleta umoja miongoni mwa vyama upinzani, ameongeza idadi ya ajira kwa vijana na nchi kiukweli imetulia. Tafadhali aongezewe muda wa kuongoza taifa hili ili tuendeleee kupata maendeleo kwenye nchi hii.
#Nadhani watu wa fasihi mmenielewa#
Maendeleo maana yake nini?Whether you are agree not you are agree Rais Samia ni Rais bora sana kuwahi kutokea kwenye taifa hili ama hakika haya aliyoyafanya na anayo endelea kuyafanya ama rais yoyote yule aliwahi kuyafanya labda Rais Magufuli na yeye alijitahidi ila ndiyo hivyo angetawala miaka zaidi hii nchi ingekuwa kama new york aisee
Ndani ya muda mfupi tu ameweza kuleta maendeleo makubwa sana ambayo hata marais wengine hawajawahi kuyafanya aisee,ameleta amani na utulivu na kiukweli pesa inonekana mtani, ameleta umoja miongoni mwa vyama upinzani, ameongeza idadi ya ajira kwa vijana na nchi kiukweli imetulia. Tafadhali aongezewe muda wa kuongoza taifa hili ili tuendeleee kupata maendeleo kwenye nchi hii.
#Nadhani watu wa fasihi mmenielewa#
Mtu wa tamisemi tangu lini akawa na kiingereza kizuriHiyo English yako imekaa kichawa zaidi! Acha mara moja kuwajaza hasira wenye lugha yao! Unamdhalilisha mwalimu wako wa somo la kiingereza!
Nimeishia kusoma hapoWhether you are agree not you are agree
Nenda shule kwanza kingereza gani hikoWhether you are agree not you are agree Rais Samia ni Rais bora sana kuwahi kutokea kwenye taifa hili ama hakika haya aliyoyafanya na anayo endelea kuyafanya ama rais yoyote yule aliwahi kuyafanya labda Rais Magufuli na yeye alijitahidi ila ndiyo hivyo angetawala miaka zaidi hii nchi ingekuwa kama new york aisee
Ndani ya muda mfupi tu ameweza kuleta maendeleo makubwa sana ambayo hata marais wengine hawajawahi kuyafanya aisee,ameleta amani na utulivu na kiukweli pesa inonekana mtani, ameleta umoja miongoni mwa vyama upinzani, ameongeza idadi ya ajira kwa vijana na nchi kiukweli imetulia. Tafadhali aongezewe muda wa kuongoza taifa hili ili tuendeleee kupata maendeleo kwenye nchi hii.
#Nadhani watu wa fasihi mmenielewa#
mxiyuuuu[emoji34][emoji34]Whether you are agree not you are agree Rais Samia ni Rais bora sana kuwahi kutokea kwenye taifa hili ama hakika haya aliyoyafanya na anayo endelea kuyafanya ama rais yoyote yule aliwahi kuyafanya labda Rais Magufuli na yeye alijitahidi ila ndiyo hivyo angetawala miaka zaidi hii nchi ingekuwa kama new york aisee
Ndani ya muda mfupi tu ameweza kuleta maendeleo makubwa sana ambayo hata marais wengine hawajawahi kuyafanya aisee,ameleta amani na utulivu na kiukweli pesa inonekana mtani, ameleta umoja miongoni mwa vyama upinzani, ameongeza idadi ya ajira kwa vijana na nchi kiukweli imetulia. Tafadhali aongezewe muda wa kuongoza taifa hili ili tuendeleee kupata maendeleo kwenye nchi hii.
#Nadhani watu wa fasihi mmenielewa#
Kuliko mshua wako bro?Rais Samia ni rais mzuri kuliko rais wote waliomtangulia.
Ndio,huoni Samia anataka lipstick?Kuliko mshua wako bro?
Kichekesho cha karnedani ya muda mfupi tu ameweza kuleta maendeleo makubwa sana ambayo hata marais wengine hawajawahi kuyafanya aisee,ameleta amani na utulivu na kiukweli pesa inonekana mtani, ameleta umoja miongoni mwa vyama upinzani, ameongeza idadi ya ajira kwa vijana na nchi kiukweli imetulia.
Duh, umeshinda bro.Ndio,huoni Samia anataka lipstick?
Uzuri ni kwambaWhether you are agree not you are agree Rais Samia ni Rais bora sana kuwahi kutokea kwenye taifa hili ama hakika haya aliyoyafanya na anayo endelea kuyafanya ama rais yoyote yule aliwahi kuyafanya labda Rais Magufuli na yeye alijitahidi ila ndiyo hivyo angetawala miaka zaidi hii nchi ingekuwa kama new york aisee
Ndani ya muda mfupi tu ameweza kuleta maendeleo makubwa sana ambayo hata marais wengine hawajawahi kuyafanya aisee,ameleta amani na utulivu na kiukweli pesa inonekana mtani, ameleta umoja miongoni mwa vyama upinzani, ameongeza idadi ya ajira kwa vijana na nchi kiukweli imetulia. Tafadhali aongezewe muda wa kuongoza taifa hili ili tuendeleee kupata maendeleo kwenye nchi hii.
#Nadhani watu wa fasihi mmenielewa#