Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Gentamycine! Elimu ni muhimu, mito Ruvu na Wami inapeleka maji kwenye bwawa gani la umeme!Halafu GENTAMYCINE nawaombeni tafuteni Uongo Mpya kwani huu wa kusema kila Siku kuwa Mvua hazipo hivyo Mito haijazi Maji katika Mabwawa ya Umeme ndiyo maana sasa Tanzania ( hasa Dar es Salaam ) kuna hii Kata Washa na Washa Kata umeshapitwa na wakati sawa?
Endeleeni tu kutuona kila Siku kuwa Watanzania ni Mapopoma ( Wapumbavu ) sawa?
Unaonekana haujawahi kupanda ndege sasa unatafuta namna ya kupanda ndege.