Rais Samia, nikutakie kila la heri wakati huu mgumu kisiasa

Umeniuzi sana Ebo! Nyuzi mbaya haina hata pointi kabisa. Mama anakubalika na mkataba lazima utekelezwe!
 
Kama senge vile, lione kwanza
 
Hivi ulipata bahati ya kusoma Kweli hukumu yakesi hiyo ya 5 ya mwaka 2023 au ulisimuliwa...Kwanza mahakama imesema kwamba haina uwezo wa kutoa uamuzi huo ulipitishwa na bunge... so kwa mujibu wako tukubaliane kuwa mahakama imevunja Katiba kwa kujipunguzia madarak kwa mujibu wa sheria kulingana na ibara ya katiba ulioitoa
 
Yeye ndo alisafiri Kwenda uarabuni na aliwaagiza wasasaidizi wake akina Mbarawa wahakikishe mkataba huu unakuwa siri.

 
Nimelikubali sana andiko lako, ni kweli mama ana nia njema na watu ila amezungukwa na manyang'au.Kuna umuhimu wa kuwachukulia hatua kwa mujibu wa taratibu.
Wameishakosea, badala ya kuchutama wanakimbia
 
Vipengele vya Mkataba vyenye changamoto vifanyiwe ukarabati

Tunataka Wawekezaji waendelee kumiminika ili tupate ajira
Hata ukirekebishwa bado hatuwezi kuuamini. Tayari umeshachafuka sana. Marekebisho wangefanya bungeni ingolstadt maana. Kwa sasa maaskofu wameshasema ufutwe. Hatutaki kuyumbishwa na propaganda za kudanyanya unarekebishwa kumbe wanaweza kuleta mbovu zaidi ya wa awali.
 
Mkataba Huu Wa IGA Ni mzuri na una maslahi kwa Taifa ila Unahitaji marekebisho machache tu ila ni mkataba mzuri sna na wenye lengo la kuongeza ufanisi na uchumi kwenye nchi yetu uoande wa Bandari..
PONGEZI KWAKE MH RAIS
Maaskofu wote wa Kanisa Katoliki wanasema ufutwe. Mimi ni nani mpaka nipingane na wawakilishi wa sauti ya Mungu?
 
Wengi watauamini trust me cool heads will prevail
 
Mwenzako mshipa wa aibu ulishakatika mkuu na masikio yake yamefunikwa kila wakati.
 
Halafu watakwambia mihimili iheshimiwe
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Mkataba Huu Wa IGA Ni mzuri na una maslahi kwa Taifa ila Unahitaji marekebisho machache tu ila ni mkataba mzuri sna na wenye lengo la kuongeza ufanisi na uchumi kwenye nchi yetu uoande wa Bandari..
PONGEZI KWAKE MH RAIS
Lord denning.
Na usomi wako wote unashindwa kuongea hivi ?
Nini shida jamaa yangu.
Lord, wewe ni mtu wa kusema ndio ndio kweli?
Msomi unakuwa CHAWA
 
dah viongozi wetu Tz na Ccm, sisi wananchi tumewakosea nini jamani mpaka mnaingia mikataba mibovu kiasi hicho na kwanini mnaituingiza kwenye utumwa ktk nchi ya kwetu[emoji24]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…