Rais Samia, nikutakie kila la heri wakati huu mgumu kisiasa

Rais Samia, nikutakie kila la heri wakati huu mgumu kisiasa

Natanguliza kumpa heri na pole Mama yetu Samia, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Haya mazonge zonge ya DP World yaliyotokea katika hii miezi karibia minne hivi yanatosha kumchosha mwanasiasa yeyote.
Yaliyotokea si bahati mbaya, ni mipango iliyosukwa na hatimaye kupata ridhaa ya Taasisi ya Urais.
Makosa tumeyaona, na ni maoni yangu kamba mama Samia ni msikivu na atayashughulikia kadri ya ushauri ulitolewa na wananci mbali mbali.

Tatizo linakuja pale waliomwingiza mama Samia katika shimo hili la kisiasa kuendelea kukaa kwenye viti vyao.

Kwanza , wale waliobuni tatizo hili lazima waondolewe na washughulikiwe kwa mujibu wa sheria.
Nitashangaa kama Profesa Mbarawa ataendelea kukalia kiti chake pamoja na Katibu Mkuu wake.
Wana sema Tanzania sasa imeingia into disrepute kimataifa, kutokana na suala hili la DP World.
Nchi imeingia aibu, na kuna uwezekano wa kushitakiwa na kupoteza fedha zetu za wakulima na wafanyakazi wa nchi hii.

Pili, mama usijesikiliza ushauri wa kuzima moto kwa kuukalia moto na kubambika kesi zisizo na mbele wala nyuma ili kunyamazisha upinzani kwa suala la DP World.
Kesi ya Uhaini imekaa kijinga, na kila mtu anajua hilo.
Waliobuni kesi hii ya uhaini, kina IGP Wambura , wanakuingiza shimoni zaidi, gutuka ujitoe huko!
Kama kuna watu wana uwezo wa kufanya uhaini, ni wale wale ulio nao High Table yako.
Na hapo hapo niseme siungi mkono kutukana viongozi wetu, kwa kadri ya utamaduni wa nchi yetu.

Tatu, mama ukitatua hili la DP World na ukatoka salama, bado watanzania wanaimani na wewe 2025, na tusiichezee fursa hii.

Nne, Serikali yako na Bunge nadiriki kusema katika sakata hili la DP World hawajakusaidia kiuhalisia, na sababu za kufanya hivyo hazieleweki. Wengi wanajisahau kuwa mtu wa mwisho kukubali au kukataa kitu chenye kuleta hisia kama sakata la DP World ni wananchi wenyewe.
Na wananchi kiujumla wamesema bila kupepesa macho, mkataba wa DP World kama ulivyo ni HAPANA.

Mwisho nimtakie Mama Samia siku njema ili maamuzi yake yawe na tija kwake kisiasa na kwa watanzania kwa ujumla.
Week end njema.
October mwishoni 2023 jiandae kuwapokea DP World wakiwa wapangaji wapya pale bandarini, hizi siasa za kujifanya kumhurumia Rais ni za kupoteza muda tu.
 
Vipengele vya Mkataba vyenye changamoto vifanyiwe ukarabati

Tunataka Wawekezaji waendelee kumiminika ili tupate ajira
Aliyeuandaa mkataba ni msomi aliyesomea masuala ya mikataba na ameiandika mingi tu. Tatizo ni uelewa wetu wa kijamii bado upo chini sana, bado nchi imejaa wajinga wanaovaa masuti na kuendesha magari ya bei mbaya.
 
Natanguliza kumpa heri na pole Mama yetu Samia, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Haya mazonge zonge ya DP World yaliyotokea katika hii miezi karibia minne hivi yanatosha kumchosha mwanasiasa yeyote.
Yaliyotokea si bahati mbaya, ni mipango iliyosukwa na hatimaye kupata ridhaa ya Taasisi ya Urais.
Makosa tumeyaona, na ni maoni yangu kamba mama Samia ni msikivu na atayashughulikia kadri ya ushauri ulitolewa na wananci mbali mbali.

Tatizo linakuja pale waliomwingiza mama Samia katika shimo hili la kisiasa kuendelea kukaa kwenye viti vyao.

Kwanza , wale waliobuni tatizo hili lazima waondolewe na washughulikiwe kwa mujibu wa sheria.
Nitashangaa kama Profesa Mbarawa ataendelea kukalia kiti chake pamoja na Katibu Mkuu wake.
Wana sema Tanzania sasa imeingia into disrepute kimataifa, kutokana na suala hili la DP World.
Nchi imeingia aibu, na kuna uwezekano wa kushitakiwa na kupoteza fedha zetu za wakulima na wafanyakazi wa nchi hii.

Pili, mama usijesikiliza ushauri wa kuzima moto kwa kuukalia moto na kubambika kesi zisizo na mbele wala nyuma ili kunyamazisha upinzani kwa suala la DP World.
Kesi ya Uhaini imekaa kijinga, na kila mtu anajua hilo.
Waliobuni kesi hii ya uhaini, kina IGP Wambura , wanakuingiza shimoni zaidi, gutuka ujitoe huko!
Kama kuna watu wana uwezo wa kufanya uhaini, ni wale wale ulio nao High Table yako.
Na hapo hapo niseme siungi mkono kutukana viongozi wetu, kwa kadri ya utamaduni wa nchi yetu.

Tatu, mama ukitatua hili la DP World na ukatoka salama, bado watanzania wanaimani na wewe 2025, na tusiichezee fursa hii.

Nne, Serikali yako na Bunge nadiriki kusema katika sakata hili la DP World hawajakusaidia kiuhalisia, na sababu za kufanya hivyo hazieleweki. Wengi wanajisahau kuwa mtu wa mwisho kukubali au kukataa kitu chenye kuleta hisia kama sakata la DP World ni wananchi wenyewe.
Na wananchi kiujumla wamesema bila kupepesa macho, mkataba wa DP World kama ulivyo ni HAPANA.

Mwisho nimtakie Mama Samia siku njema ili maamuzi yake yawe na tija kwake kisiasa na kwa watanzania kwa ujumla.
Week end njema.
yeye Samia anajitakia , madai ya wakosoaj yalikuwa mepesi sana , MUDA WA MKATABA
 
Wakati mgumu kisiasa kivipi? Yaani Mahakama imetoa uamuzi Mkataba uendelee na Ibara ya 107A ya Katiba inasema Mahakama ndo mhimili wenye sauti ya mwisho katika kutoa haki alafu unasema Rais yupo kwenye wakati mgumu?

Hivi nyie watu hata shule mlifika kweli?
mahakama ipi ? aliyosema Manji kuwa ni simu moja tu inatoa hukumu
 
Hata ukirekebishwa bado hatuwezi kuuamini. Tayari umeshachafuka sana. Marekebisho wangefanya bungeni ingolstadt maana. Kwa sasa maaskofu wameshasema ufutwe. Hatutaki kuyumbishwa na propaganda za kudanyanya unarekebishwa kumbe wanaweza kuleta mbovu zaidi ya wa awali.
Hakuna mahali pa kurekebisha, turekebishe kwanza uelewa wetu vichwani mwetu. Tatizo la Tanzania imejaa wajuaji wanaodhani wanajua kila kitu kumbe ni zero vichwani.
 
Natanguliza kumpa heri na pole Mama yetu Samia, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Haya mazonge zonge ya DP World yaliyotokea katika hii miezi karibia minne hivi yanatosha kumchosha mwanasiasa yeyote.
Yaliyotokea si bahati mbaya, ni mipango iliyosukwa na hatimaye kupata ridhaa ya Taasisi ya Urais.
Makosa tumeyaona, na ni maoni yangu kamba mama Samia ni msikivu na atayashughulikia kadri ya ushauri ulitolewa na wananci mbali mbali.

Tatizo linakuja pale waliomwingiza mama Samia katika shimo hili la kisiasa kuendelea kukaa kwenye viti vyao.

Kwanza , wale waliobuni tatizo hili lazima waondolewe na washughulikiwe kwa mujibu wa sheria.
Nitashangaa kama Profesa Mbarawa ataendelea kukalia kiti chake pamoja na Katibu Mkuu wake.
Wana sema Tanzania sasa imeingia into disrepute kimataifa, kutokana na suala hili la DP World.
Nchi imeingia aibu, na kuna uwezekano wa kushitakiwa na kupoteza fedha zetu za wakulima na wafanyakazi wa nchi hii.

Pili, mama usijesikiliza ushauri wa kuzima moto kwa kuukalia moto na kubambika kesi zisizo na mbele wala nyuma ili kunyamazisha upinzani kwa suala la DP World.
Kesi ya Uhaini imekaa kijinga, na kila mtu anajua hilo.
Waliobuni kesi hii ya uhaini, kina IGP Wambura , wanakuingiza shimoni zaidi, gutuka ujitoe huko!
Kama kuna watu wana uwezo wa kufanya uhaini, ni wale wale ulio nao High Table yako.
Na hapo hapo niseme siungi mkono kutukana viongozi wetu, kwa kadri ya utamaduni wa nchi yetu.

Tatu, mama ukitatua hili la DP World na ukatoka salama, bado watanzania wanaimani na wewe 2025, na tusiichezee fursa hii.

Nne, Serikali yako na Bunge nadiriki kusema katika sakata hili la DP World hawajakusaidia kiuhalisia, na sababu za kufanya hivyo hazieleweki. Wengi wanajisahau kuwa mtu wa mwisho kukubali au kukataa kitu chenye kuleta hisia kama sakata la DP World ni wananchi wenyewe.
Na wananchi kiujumla wamesema bila kupepesa macho, mkataba wa DP World kama ulivyo ni HAPANA.

Mwisho nimtakie Mama Samia siku njema ili maamuzi yake yawe na tija kwake kisiasa na kwa watanzania kwa ujumla.
Week end njema.
Chawa wa viongozi matapeli ulioshauri kuwajibishwa wanakuja kukutukana muda si mrefu.

Andiko lako ni la hekima kubwa
 
Nne, Serikali yako na Bunge nadiriki kusema katika sakata hili la DP World hawajakusaidia kiuhalisia, na sababu za kufanya hivyo hazieleweki. Wengi wanajisahau kuwa mtu wa mwisho kukubali au kukataa kitu chenye kuleta hisia kama sakata la DP World ni wananchi wenyewe.
Na wananchi kiujumla wamesema bila kupepesa macho, mkataba wa DP World kama ulivyo ni HAPANA.
Timua Tulia Ackson hana msaada kwako
 
Wakati mgumu kisiasa kivipi? Yaani Mahakama imetoa uamuzi Mkataba uendelee na Ibara ya 107A ya Katiba inasema Mahakama ndo mhimili wenye sauti ya mwisho katika kutoa haki alafu unasema Rais yupo kwenye wakati mgumu?

Hivi nyie watu hata shule mlifika kweli?
Wakati mwingine kaa kimya we binti. Kwenye kila thread umo tu
 
Vipengele vya Mkataba vyenye changamoto vifanyiwe ukarabati

Tunataka Wawekezaji waendelee kumiminika ili tupate ajira
kwa akii za ccmu , hilo neno kuboresha ni kukaa uwekezaj , na ndo wamekuwa wanawaambia watanzania
 
Kumbe we jamaa kichwani una akili nzuri tu, sa sijui muda mwingine inakuwaje.

Anyway......

Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa

1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)

2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?

3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?

4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!

6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
unajaribu kumwelewesh form 4 failure?
 
Wakati mgumu kisiasa kivipi? Yaani Mahakama imetoa uamuzi Mkataba uendelee na Ibara ya 107A ya Katiba inasema Mahakama ndo mhimili wenye sauti ya mwisho katika kutoa haki alafu unasema Rais yupo kwenye wakati mgumu?

Hivi nyie watu hata shule mlifika kweli?
Mahakama hiyo hiyo ilisema haiwezi kutoa maamuzi kuepuka mgongano na bunge
 
Hivi ulipata bahati ya kusoma Kweli hukumu yakesi hiyo ya 5 ya mwaka 2023 au ulisimuliwa...Kwanza mahakama imesema kwamba haina uwezo wa kutoa uamuzi huo ulipitishwa na bunge... so kwa mujibu wako tukubaliane kuwa mahakama imevunja Katiba kwa kujipunguzia madarak kwa mujibu wa sheria kulingana na ibara ya katiba ulioitoa
unapoteza muda kumwelesha form four failure , huyo jamaa nmekuwa namfuatilia muda tu ni mtupu kichwan , yeye analeta mamb ya simba na yanga kweny maswala nyeti ya kitaifa
 
Mkataba Huu Wa IGA Ni mzuri na una maslahi kwa Taifa ila Unahitaji marekebisho machache tu ila ni mkataba mzuri sna na wenye lengo la kuongeza ufanisi na uchumi kwenye nchi yetu uoande wa Bandari..
PONGEZI KWAKE MH RAIS
na kwann wasifanye maboresho?
 
Halafu watakwambia mihimili iheshimiwe
mihimili ipi hiyo ya kuheshimiwa? Serikali ambayo inaruhus wabunge wake wanapelekwa nje kushawishiwa kana kwamba hatuna barozi , au wazir uchukuz , au BUNGE lisilowasilisha maoni ya wananchi au Mahakama ambay inayochaguliwa na serikali (Rais) viongoz wote wa juu
 
Back
Top Bottom