Rais Samia: Nilimwondoa Kidata TRA sababu niliona mwishoni atadata

Hao punguani lengo lao ni kupotosha na Kwa kuwa wanamchukia Samia basi watatafuta Kila maneno.

Hao ndio wafanyabiashara wakigoma wanaunga mkono, Serikali ikiwabana wanalalamika eti Kodi kubwa,ikiwapa.shushu wanasema Samia hawezi yaani ilimradi waridhishe kijiba Cha roho zao.

View: https://twitter.com/MwananchiNews/status/1809244084726280593?t=OyxMP-Vd9bCm6qwdpOVT0A&s=19
 
 
Huyu mama anacheka Na nyani, tuttavuna mabua
 
Wanateuana hata kama wamedata na hata kama wanahusika na michongo watoto wa mjini hawaachani.

Amemrudisha tena huku akimtuhumu kwamba huenda anashiriki kwenye michongo ya watoto wa Mjini.

Ccm ina wenyewe.

Wanaoendelea kupiga makofi na vigelegele endeleeni.
 
Reactions: I M
Aisee... huoni shida hapo?!

Mimi nimeona shida sekunde ya kwanza tu nilipoanza kumsoma, anamtoa Kidata TRA anayekiri kafanya vizuri eti kwasababu "atadata"!

Kwa hiyo sababu nyepesi aliyoitoa, nimeamini maneno ya wale waliosema anamuondoa Kidata kwasababu Abdul anataka mtu mwepesi ili am-control vizuri zaidi.

Hapo badala ya kumpeleka huyo Yusuph kuongeza mapato ya taifa, amempeleka kuongeza pato la familia yake kupitia mwanae.

Samia anatulaghai!.
 
Nyerere na hii ccm, ulituweza babu πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
Nyerere alikuwa mwadilifu mno mzee yule. Mpaka leo anachekwa pamoja na watoto wake ambao aliwaacha "hawana kitu". Sijui yeye alishindwa nini kumteua Dullah mmoja akaitajirisha familia. Babu yule alikuwa na matatizo yake ila hili la ufisadi hapana!

CCM iliachana na Nyerere rasmi ilipoamua kuachana na Azimio la Arusha na kuja na lile la Zanzibar. Ni mtoto aliyeasi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…