Rais Samia: Nilimwondoa Kidata TRA sababu niliona mwishoni atadata

Rais Samia: Nilimwondoa Kidata TRA sababu niliona mwishoni atadata

Kwani kuna shida gani katika maneno hayo? Na je reality ni ipi? Kwani hizo tekniki alizozisema hazipo?

Au kwani wewe hufahamu mtu yeyote anayefanya kazi TRA au ndugu au jirani? Kuna unayemuona ni maskini?

Wanaposema wanataka mtu mwenye experience ya miaka kadhaa kwenye kazi na uzoefu fulani unadhani wanamaanisha uzoefu gani?

Nenda interview za madreva wa mabasi ya mikoani, unadnani kama hujawahi kuangusha gari au kugongana ndiyo utapata kazi kirahisi ? Hakuna mwenye biashara ya basi atakayetaka ukajifunzie kwake kuangusha basi.

Yusuf Juma Mwenda atapewa malengo ya kuvuka makusanyo ya kodi zaidi ya alivyofanya Kidata. Na kwa kuwa anajuwa wanavyoiba na kukwepa basi ndiye mtu sahihi. Kama hatatumia uzoefu wake, basi atampisha mtu mwingine
Umeeleza vyema sana
 
Kwani kuna shida gani katika maneno hayo? Na je reality ni ipi? Kwani hizo tekniki alizozisema hazipo?

Au kwani wewe hufahamu mtu yeyote anayefanya kazi TRA au ndugu au jirani? Kuna unayemuona ni maskini?

Wanaposema wanataka mtu mwenye experience ya miaka kadhaa kwenye kazi na uzoefu fulani unadhani wanamaanisha uzoefu gani?

Nenda interview za madreva wa mabasi ya mikoani, unadnani kama hujawahi kuangusha gari au kugongana ndiyo utapata kazi kirahisi ? Hakuna mwenye biashara ya basi atakayetaka ukajifunzie kwake kuangusha basi.

Yusuf Juma Mwenda atapewa malengo ya kuvuka makusanyo ya kodi zaidi ya alivyofanya Kidata. Na kwa kuwa anajuwa wanavyoiba na kukwepa basi ndiye mtu sahihi. Kama hatatumia uzoefu wake, basi atampisha mtu mwingine
Uhuni unaofanyika TRA unajulikana, kwa nini wahusika hawachukuliwi hatua?
 
Nyerere alikuwa mwadilifu mno mzee yule. Mpaka leo anachekwa pamoja na watoto wake ambao aliwaacha "hawana kitu". Sijui yeye alishindwa nini kumteua Dullah mmoja akaitajirisha familia. Babu yule alikuwa na matatizo yake ila hili la ufisadi hapana!

CCM iliachana na Nyerere rasmi ilipoamua kuachana na Azimio la Arusha na kuja na lile la Zanzibar. Ni mtoto aliyeasi!
Naelewa Kaka, hakuwa fisadi kabisa. Yeye na mambo yake ya Ujamaa. Shida alihisi kila mtu ni kama yeye. Akaamini akaweka mifumo yake, nadhani hapa unanielewa.
Ndipo tulipofikia hapa. Kuja kuondokana na hili jinamizi la ccm, tuache kazi tufanye kazi. Mizizi kuing'oa inatubidi tuichimbe sana.
 
Waungwana naomba mniambie kama nimeelewa vizuri. Yani mfano, Mimi nyumbani kwangu najua wezi wanaingilia wapi, badala nizibe pale wanapoingilia badala yake namwomba mwizi mmoja aje alinde pale wanapoingilia na awashauri wengine wasije Tena kuiba nyumbani kwangu?
 
Aisee... huoni shida hapo?!

Mimi nimeona shida sekunde ya kwanza tu nilipoanza kumsoma, anamtoa Kidata TRA anayekiri kafanya vizuri eti kwasababu "atadata"!

Kwa hiyo sababu nyepesi aliyoitoa, nimeamini maneno ya wale waliosema anamuondoa Kidata kwasababu Abdul anataka mtu mwepesi ili am-control vizuri zaidi.

Hapo badala ya kumpeleka huyo Yusuph kuongeza mapato ya taifa, amempeleka kuongeza pato la familia yake kupitia mwanae.

Samia anatulaghai!.
Kidata alikwishafikia umri wa kustaafu
 
Tungekuwa na Gen Z inayojitambua vema mama angefurushwa ikulu kesho asubuhi!
Haiwezekani uendeshe nchi kwa kubahatisha hivi huku mamlaka yote umepewa na katiba!
Akifurushwa anaingia nani!?
 
Kwani kuna shida gani katika maneno hayo? Na je reality ni ipi? Kwani hizo tekniki alizozisema hazipo?

Au kwani wewe hufahamu mtu yeyote anayefanya kazi TRA au ndugu au jirani? Kuna unayemuona ni maskini?

Wanaposema wanataka mtu mwenye experience ya miaka kadhaa kwenye kazi na uzoefu fulani unadhani wanamaanisha uzoefu gani?

Nenda interview za madreva wa mabasi ya mikoani, unadnani kama hujawahi kuangusha gari au kugongana ndiyo utapata kazi kirahisi ? Hakuna mwenye biashara ya basi atakayetaka ukajifunzie kwake kuangusha basi.

Yusuf Juma Mwenda atapewa malengo ya kuvuka makusanyo ya kodi zaidi ya alivyofanya Kidata. Na kwa kuwa anajuwa wanavyoiba na kukwepa basi ndiye mtu sahihi. Kama hatatumia uzoefu wake, basi atampisha mtu mwingine
Wewe umemuelewa mama Kama mie pia. Shida ya watu hawajui kuwa our brains are easily gravitate towards negative rather than positive. We can easily see and understand negative easily than positive.
That's the nature of our core being.
It's implanted in DNA. Unaweza unaishi na kijana since primary mpaka akawa engineer akaoa kabisa ukamjengea nyumba Ila akitoka kwako atakuwa anaona mabaya tu na sio mazuri
 
Kiongozi wa nchi anafahamu TRA kuna mianya ya wizi.na bado anawadekeza.ila sisi mtaani tunapata tabu na hizi kodi
 
Wewe umemuelewa mama Kama mie pia. Shida ya watu hawajui kuwa our brains are easily gravitate towards negative rather than positive. We can easily see and understand negative easily than positive.
That's the nature of our core being.
It's implanted in DNA. Unaweza unaishi na kijana since primary mpaka akawa engineer akaoa kabisa ukamjengea nyumba Ila akitoka kwako atakuwa anaona mabaya tu na sio mazuri
Exactly.
Teuzi kama hizi msala sana
yaani unapewa marking scheme halafu ujitungie mtihani
 
We acha uongo wewe, Rais hawezi kuongea hayo.., weka video ndio nitaamini
 
Anaziba tundu la panya kwa mkate, angeishia kuwa Mrs somebody anatumbukiza taifa shimoni, hana huruma na kizazi chetu alitakiwa apigwe mawe yeye na watu wake mpaka kufa hii ni kufuru
 
Back
Top Bottom