Rais Samia: Nimebuni na kubeba Mradi wa matumizi ya Nishati Safi Afrika, aweka Lengo la asilimia 80% ya Watanzania watumie Nishati Safi Kufikia 2030

Rais Samia: Nimebuni na kubeba Mradi wa matumizi ya Nishati Safi Afrika, aweka Lengo la asilimia 80% ya Watanzania watumie Nishati Safi Kufikia 2030

Tatizo bei za nishati ziko juu mno, hivyo utekelezekaji wa mpango huo kwa mwananchi asiyejua kesho anakula nini ni mgumu.

Mfano ingekuwa umeme ukinunua wa shilingi 1000/= unapata units 20 na mtungi mdogo wa gas unajazwa kwa Tsh 5,000/=, hapo malengo yangetimia.
Mambo mengine serikali huwa inaongea as if haina watu wa kutizama mambo haya kwa kina..aliyebuni modal ya kufunga mita kwenye mitungi ya gas na kutumia kwa kununua kidogo kidogo ni mtanzania, alizungushwa zungushwa hapa nchi wanaofahamu thamani ya kuwa na watu wa aina hii wakachukua wazo lake likafanyiwa utafiti likakubalika na zipo nchi zinatumia gas ya kupikia kwa mfumo wa kununu kulingana na hela yako kama ilivyo kwa umeme..
Hii ajenda ya nishati safi ni wazo zuri, sielewi kitu gani kinakwamisha serikali au huyo anayetangaza kila siku kufanya pilot project kwenye baadhi ya wilaya na kata zenye changamoto kubwa ya mazingira ili kupima adoption rate na affordability..ni hela kidogo sana! ili hata huko anakoenda kuwahamasisha awaambie tayari kuna pilot project zinafanyika kwenye maeneo kadhaa waone hiyo seriousness kwa jambo hili kwanza kwake mwenyewe! unakwendaje kumwambia mtu akusupport huna hata cha kumuonyesha ulichofanya??? hivi lini tutajifunza kufanya wajibu wetu kabla ya kualika wengine tusaidiane nao??? kaenda cop 2023 na maneno tu, kaenda ufaransa na maneno tena..r ou serious???
Halafu nini kinakwamisha serikali isianze mradi kuweka bomba ya gas kuja dodoma?? hao TPDC hela za kutafiti mafuta ambayo wala hawana uhakika kama yapo wanazo, ila za kuanza mradi kuweka bomba ya gas kuja dodoma hawana, r these people serious??TPDC kuendelea kutafiti wa mafuta Bonde la Eyasi Wembere | Nipashe unatafiti mafuta ya nini wakati gas tayari unayo??? unataka kukimbiza ndege wawili kwa gharama ya kumwachia huyu mmoja uliyemkamata, ni akili au matope???
Hii ajenda ni ubabaishaji tu kuombea hela watu wale, hakuna lolote!
 
Mambo mengine serikali huwa inaongea as if haina watu wa kutizama mambo haya kwa kina..aliyebuni modal ya kufunga mita kwenye mitungi ya gas na kutumia kwa kununua kidogo kidogo ni mtanzania, alizungushwa zungushwa hapa nchi wanaofahamu thamani ya kuwa na watu wa aina hii wakachukua wazo lake likafanyiwa utafiti likakubalika na zipo nchi zinatumia gas ya kupikia kwa mfumo wa kununu kulingana na hela yako kama ilivyo kwa umeme..
Hii ajenda ya nishati safi ni wazo zuri, sielewi kitu gani kinakwamisha serikali au huyo anayetangaza kila siku kufanya pilot project kwenye baadhi ya wilaya na kata zenye changamoto kubwa ya mazingira ili kupima adoption rate na affordability..ni hela kidogo sana! ili hata huko anakoenda kuwahamasisha awaambie tayari kuna pilot project zinafanyika kwenye maeneo kadhaa waone hiyo seriousness kwa jambo hili kwanza kwake mwenyewe! unakwendaje kumwambia mtu akusupport huna hata cha kumuonyesha ulichofanya??? hivi lini tutajifunza kufanya wajibu wetu kabla ya kualika wengine tusaidiane nao??? kaenda cop 2023 na maneno tu, kaenda ufaransa na maneno tena..r ou serious???
Halafu nini kinakwamisha serikali isianze mradi kuweka bomba ya gas kuja dodoma?? hao TPDC hela za kutafiti mafuta ambayo wala hawana uhakika kama yapo wanazo, ila za kuanza mradi kuweka bomba ya gas kuja dodoma hawana, r these people serious?? unatafiti mafuta ya nini wakati gas tayari unayo??? unataka kukimbiza ndege wawili kwa gharama ya kumwachia huyu mmoja uliyemkamata, ni akili au matope???
Hii ajenda ni ubabaishaji tu kuombea hela watu wale, hakuna lolote!
Anafaa aungwe mkono
 
Tanesco wamewahi sema wazi kwamba hata bei za umeme wanazouza ni bei ya ruzuku sio bei halisi ya soko.
Tanesco walikuwa wananunua umeme kwa madalali kina Dowans n.k. hata hio gesi sio yetu kwahio pia wananunua kwa udalali..., hivyo bei ipo juu sio sababu ya hakuna njia tofauti bali ni sababu ya watu kutokuwa wazalendo na inefficiency..., Tanzania tuna vyanzo lukuki na hapa chini nimeonyesha njia ni vipi kila mtanzania anaweza akawa mzalishaji wa umeme na Tanesco kuweza kusamabaza umeme hata Africa nzima kwa kutumia Bwawa la Nyerere kama Battery na Centre ya Energy Mix
Kwa hiyo umeme ni bei Juu Kwa sababu ya gharama za uzalishaji, Uendeshaji na usambazaji.
Uzalishaji ni upuuzi badala ya Tanesco kuwa mzalishaji ilikuwa mnunuzi na kuendelea kununua kutoka kwa watu kwahio ni kama muendelezo uleule tunaondelea kuufanya katika LPG na nishati safi...., Haya unasema uzalishaji wakati Bwawa likiisha capacity inakuwa mara mbili (hio excess yote kwanini tusisushe bei ili mwananchi anufaike ?
Mwisho bei ya umeme Tanzania ni cheap kushinda Nchi zote za EAC.
EAC nzima wote wana vyanzo vingi kama Tanzania ? Ni sawa Eskimos huko Antarctica wajisifie kwamba wana barafu kuliko pengine au Jangwani wajisifie kwa joto..., Kutokana na vyanzo vyetu Tanzania umeme ungeweza kuwa hata Tshs 20 kwa unit au wengine hata kutumia kwa sifuri (credit from uzalishaji)

 
Rais Samia amefurahishwa na kuendelea kuhimiza jamii ya Watanzania Kuunga mkono juhudi alizozianzisha za Matumizi ya Nishati Safi.

Akizungumza huko Namtumbo wakati wa uzinduzi wa Shule ya Sekondari ya Samia,amesema alibuni mradi huo baada ya kuona wanawake wanapata upofu na vifo kutokana na matumizi ya Kuni na mkaa.

Aidha anasema Mpango huo inalenga Kuokoa amazingira. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais Samia amesema malengo ya serikali ni kuona asilimia 80 ya wananchi wawe wakitumia nishati safi ya kupikia ifikapo mwaka 2030, miaka takribani sita ijayo.

Ili kufikia malengo hayo, Rais Samia amesema wameanza na taasisi za elimu pamoja na taasisi nyingine kubwa kubwa (kama magereza) kutumia nishati safi ya kupikia na baadaye itaenea kwingine.

Swali.
Hivi Kuna Rais mwingine yeyote waTanzania Baada ya Nyerere ambae amewahi buni programu ikawa ajenda ya Afrika.?


Hongera Rais Samia Kwa Maono Yako mema.👇👇
---
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe.Dkt. Doto Biteko amesema Serikali inafanya kila jitihada kuhakikisha kunakuwa na unafuu katika upatikanaji wa bidhaa za Nishati Safi ya kupikia ili kumwezesha kila mwananchi kutumia nishati iliyo safi na salama.

Dkt. Biteko amesema hayo tarehe 13 Septemba 2024 Jijini Dodoma wakati wa hafla ya Kusaini mikataba ya ushirikiano ya utekelezaji wa Nishati Safi ya Kupikia yenye thamani ya shilingi bilioni 50.98 kati ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Jeshi la Magereza, Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) na Wasambazaji wa Gesi ya kupikia, hafla ambayo ilienda sambamba na uzinduzi wa jengo la REA.

“Namshukuru Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa maono yake yanayowezesha Sekta ya Nishati kuendeshwa kwa mafanikio ambayo yamepelekea leo hii tushuhudie hatua ikizidi kupigwa katika kutekeleza Mkakati wa Taifa wa Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia unaolenga kuokoa maisha ya watanzania na pia kuiwezesha Wizara ya Nishati kutatua changamoto zinazojitokeza lengo likiwa ni kutoa huduma iliyo bora kwa wananchi," amesema Dkt. Biteko

Akizungumzia usambazaji wa nishati vijijini ikiwemo umeme, Dkt. Biteko ameipongeza Bodi na Menejimenti ya REA kwa kusimamia ipasavyo miradi na kwa kuwahimiza wakandarasi kukamilisha kazi kwa wakati.

"Nawapongeza sana Bodi ya REA; mnafanya kazi nzuri, nimekuwa nikiwaona mara kwa mara mkiwa vijijini mnahimiza Wakandarasi," alipongeza.

Akizungumzia jengo la REA alilolizindua, Dkt.Biteko amesema litawawezesha watumishi kutoa huduma kwa wananchi na kuwapongeza REA kwa kujenga jengo hilo la kisasa lenye ghorofa tano kwa gharama ya shilingi bilioni 9.8 kwa miezi 18 badala ya shilingi bilioni 13 zilizopangwa awali.

View: https://www.instagram.com/p/DAbgS54NtFi/?igsh=MTJxcTJic2lhOGRzbQ==

👙👙👙👙👙👙
 
Tunaruhusiwa kuchangia au ni chawa peke yao?
 
Mambo mengine serikali huwa inaongea as if haina watu wa kutizama mambo haya kwa kina..aliyebuni modal ya kufunga mita kwenye mitungi ya gas na kutumia kwa kununua kidogo kidogo ni mtanzania, alizungushwa zungushwa hapa nchi wanaofahamu thamani ya kuwa na watu wa aina hii wakachukua wazo lake likafanyiwa utafiti likakubalika na zipo nchi zinatumia gas ya kupikia kwa mfumo wa kununu kulingana na hela yako kama ilivyo kwa umeme..
Hii ajenda ya nishati safi ni wazo zuri, sielewi kitu gani kinakwamisha serikali au huyo anayetangaza kila siku kufanya pilot project kwenye baadhi ya wilaya na kata zenye changamoto kubwa ya mazingira ili kupima adoption rate na affordability..ni hela kidogo sana! ili hata huko anakoenda kuwahamasisha awaambie tayari kuna pilot project zinafanyika kwenye maeneo kadhaa waone hiyo seriousness kwa jambo hili kwanza kwake mwenyewe! unakwendaje kumwambia mtu akusupport huna hata cha kumuonyesha ulichofanya??? hivi lini tutajifunza kufanya wajibu wetu kabla ya kualika wengine tusaidiane nao??? kaenda cop 2023 na maneno tu, kaenda ufaransa na maneno tena..r ou serious???
Halafu nini kinakwamisha serikali isianze mradi kuweka bomba ya gas kuja dodoma?? hao TPDC hela za kutafiti mafuta ambayo wala hawana uhakika kama yapo wanazo, ila za kuanza mradi kuweka bomba ya gas kuja dodoma hawana, r these people serious?? unatafiti mafuta ya nini wakati gas tayari unayo??? unataka kukimbiza ndege wawili kwa gharama ya kumwachia huyu mmoja uliyemkamata, ni akili au matope???
Hii ajenda ni ubabaishaji tu kuombea hela watu wale, hakuna lolote!
Umetumia nguvu na lawama za bure tu kwa raisi, anachofanya raisi ni awareness tu
Hata ukiweka hizo pilot projects bado haisaidii kama uchumi wa watu upo hovyo. Nusu ya population haina uhakika wa milo mitatu, hiyo pesa ya kununua gesi ataitoa wapi hata ufanye pilots projects mia kila siku bado haisaidii
 
I don't see future in this agenda coz is driven by political influence .

Move nzima Iko hivi kugawa mitungi ya gesi Kwa wakinamama Ili kuwavuta hasa kipindi Cha kampeni hasa hasa mitungi ya taifa gesi . Baadala yake nguvu ya nishati safi ingejikita kusambaza gesi asilia majumbani na kujenga vituo vingi mikoani lakini serikali ingeweka ruzuku kwenye kawihai (biogas) kama agenda ya kitaifa Ili kuakikisha kila nyumba Iko na mtambo huu hapa agenda ingeenea na kueleweka sababu biogas ni salama na tunapata mbolea ya kuweka kwenye home garden na kuleta ustawi na ulaji wa mboga safi.
 
Kwahio unaona ni akili kutumia pesa zetu (kodi) ili kuwalipa pesa wachuuzi (pesa ambayo mwisho wa siku inakwenda nje ya nchi) kuliko kutumia pesa hio kuimarisha na kuhakikisha miundombinu ya nchini inakuwa up to standard na kuweza kupunguza operating costs ambayo inaweza kabisa kuhakikisha hata unit moja inakuwa Tshs 20/=
Huu ni mpango wa wanasiasa wakishirikiana na Rosti-ya Azizi kupiga pesa kwenye usambazaji wa gesi
 
Rais Samia amefurahishwa na kuendelea kuhimiza jamii ya Watanzania Kuunga mkono juhudi alizozianzisha za Matumizi ya Nishati Safi.

Akizungumza huko Namtumbo wakati wa uzinduzi wa Shule ya Sekondari ya Samia,amesema alibuni mradi huo baada ya kuona wanawake wanapata upofu na vifo kutokana na matumizi ya Kuni na mkaa.

Aidha anasema Mpango huo inalenga Kuokoa amazingira. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais Samia amesema malengo ya serikali ni kuona asilimia 80 ya wananchi wawe wakitumia nishati safi ya kupikia ifikapo mwaka 2030, miaka takribani sita ijayo.

Ili kufikia malengo hayo, Rais Samia amesema wameanza na taasisi za elimu pamoja na taasisi nyingine kubwa kubwa (kama magereza) kutumia nishati safi ya kupikia na baadaye itaenea kwingine.

Swali.
Hivi Kuna Rais mwingine yeyote waTanzania Baada ya Nyerere ambae amewahi buni programu ikawa ajenda ya Afrika.?


Hongera Rais Samia Kwa Maono Yako mema.👇👇
---
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe.Dkt. Doto Biteko amesema Serikali inafanya kila jitihada kuhakikisha kunakuwa na unafuu katika upatikanaji wa bidhaa za Nishati Safi ya kupikia ili kumwezesha kila mwananchi kutumia nishati iliyo safi na salama.

Dkt. Biteko amesema hayo tarehe 13 Septemba 2024 Jijini Dodoma wakati wa hafla ya Kusaini mikataba ya ushirikiano ya utekelezaji wa Nishati Safi ya Kupikia yenye thamani ya shilingi bilioni 50.98 kati ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Jeshi la Magereza, Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) na Wasambazaji wa Gesi ya kupikia, hafla ambayo ilienda sambamba na uzinduzi wa jengo la REA.

“Namshukuru Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa maono yake yanayowezesha Sekta ya Nishati kuendeshwa kwa mafanikio ambayo yamepelekea leo hii tushuhudie hatua ikizidi kupigwa katika kutekeleza Mkakati wa Taifa wa Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia unaolenga kuokoa maisha ya watanzania na pia kuiwezesha Wizara ya Nishati kutatua changamoto zinazojitokeza lengo likiwa ni kutoa huduma iliyo bora kwa wananchi," amesema Dkt. Biteko

Akizungumzia usambazaji wa nishati vijijini ikiwemo umeme, Dkt. Biteko ameipongeza Bodi na Menejimenti ya REA kwa kusimamia ipasavyo miradi na kwa kuwahimiza wakandarasi kukamilisha kazi kwa wakati.

"Nawapongeza sana Bodi ya REA; mnafanya kazi nzuri, nimekuwa nikiwaona mara kwa mara mkiwa vijijini mnahimiza Wakandarasi," alipongeza.

Akizungumzia jengo la REA alilolizindua, Dkt.Biteko amesema litawawezesha watumishi kutoa huduma kwa wananchi na kuwapongeza REA kwa kujenga jengo hilo la kisasa lenye ghorofa tano kwa gharama ya shilingi bilioni 9.8 kwa miezi 18 badala ya shilingi bilioni 13 zilizopangwa awali.

View: https://www.instagram.com/p/DAbgS54NtFi/?igsh=MTJxcTJic2lhOGRzbQ==

2030? Mbona kama anatung'ang'ania watanganyika....atauza hadi magereza Kwa waarabu
 
Umetumia nguvu na lawama za bure tu kwa raisi, anachofanya raisi ni awareness tu
Hata ukiweka hizo pilot projects bado haisaidii kama uchumi wa watu upo hovyo. Nusu ya population haina uhakika wa milo mitatu, hiyo pesa ya kununua gesi ataitoa wapi hata ufanye pilots projects mia kila siku bado haisaidii
Awareness ya nini km unajua watu hawana uwezo?
Halafu Awareness unafanyia Ufaransa wao wamekuambia wanataka awareness kwa tatizo lako?
Huo uwezo unaosema hawana nani anawalisha mwaka mzima? au unatamka tu kwa vile ni rahisi kutamka..una uhakika tatizo ni uwezo au uvivu na uzembe wa watu na viongozi kufikiri, kupanga na kutenda juu ya maisha yao wao wenyewe..aliyesimamia nchi ikaingia uchumi wa kati, chakula kikawepo kikatosha na kusaidia Malawi na Zimbabwe alileta watu wake kulimia watu mashamba yao?
Akili ya mtu anayewaza namna hii ni ya mtu masikini, omba omba, hana analojua juu ya leo na kesho anawaza km kifaranga cha kuku!
Mfano, una hakika miti ya mkaa wanaotumia dodoma leo baada ya miaka 10 ijayo bado itakuwepo? au kwako dunia inakwisha unapokufa wewe..
 
Uunge mkono maneno..? anashindwa nini kustage pilot project? Mbona hela kulipia magoli zipo..?
Una uhakika pilot project haijaanza? Unadhani mradi wa Rea aliotenga takribani Bilioni 50 ni nini kama sio pilot project?

Wacha kuropoka wakati huna taarifa sahihi
 
Awareness ya nini km unajua watu hawana uwezo?
Halafu Awareness unafanyia Ufaransa wao wamekuambia wanataka awareness kwa tatizo lako?
Huo uwezo unaosema hawana nani anawalisha mwaka mzima? au unatamka tu kwa vile ni rahisi kutamka..una uhakika tatizo ni uwezo au uvivu na uzembe wa watu na viongozi kufikiri, kupanga na kutenda juu ya maisha yao wao wenyewe..aliyesimamia nchi ikaingia uchumi wa kati, chakula kikawepo kikatosha na kusaidia Malawi na Zimbabwe alileta watu wake kulimia watu mashamba yao?
Akili ya mtu anayewaza namna hii ni ya mtu masikini, omba omba, hana analojua juu ya leo na kesho anawaza km kifaranga cha kuku!
Mfano, una hakika miti ya mkaa wanaotumia dodoma leo baada ya miaka 10 ijayo bado itakuwepo? au kwako dunia inakwisha unapokufa wewe..
Mambo yote yanakwenda Kwa pamoja ,kufanya awareness na kuweka mikakati ya affordability.

Pengine ni dhana ya gesi bei Juu lakini sio hivyo.
 
Una uhakika pilot project haijaanza? Unadhani mradi wa Rea aliotenga takribani Bilioni 50 ni nini kama sio pilot project?

Wacha kuropoka wakati huna taarifa sahihi
Kutenga fedha ndio pilot project? leta hiyo speech alitoa cop2023 kusema kuna pilot project tayari.
 
Rais Samia amefurahishwa na kuendelea kuhimiza jamii ya Watanzania Kuunga mkono juhudi alizozianzisha za Matumizi ya Nishati Safi.

Akizungumza huko Namtumbo wakati wa uzinduzi wa Shule ya Sekondari ya Samia,amesema alibuni mradi huo baada ya kuona wanawake wanapata upofu na vifo kutokana na matumizi ya Kuni na mkaa.

Aidha anasema Mpango huo inalenga Kuokoa amazingira. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais Samia amesema malengo ya serikali ni kuona asilimia 80 ya wananchi wawe wakitumia nishati safi ya kupikia ifikapo mwaka 2030, miaka takribani sita ijayo.

Ili kufikia malengo hayo, Rais Samia amesema wameanza na taasisi za elimu pamoja na taasisi nyingine kubwa kubwa (kama magereza) kutumia nishati safi ya kupikia na baadaye itaenea kwingine.

Swali.
Hivi Kuna Rais mwingine yeyote waTanzania Baada ya Nyerere ambae amewahi buni programu ikawa ajenda ya Afrika.?


Hongera Rais Samia Kwa Maono Yako mema.Mnaweza kusoma hapa pia Rais Samia afanikisha kupatikana Kwa TSHS.Trilioni 6 za Nishati ya Kupikia. Rais wa Benki ya AfDB Asema ni Kiongozi wa Mfano

Soma zaidi hapa Rais Samia kuwa Mwenyekiti Mwenza wa Mkutano wa Kimataifa Kujadili Nishati Safi utakaofanyika Ufaransa

---
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe.Dkt. Doto Biteko amesema Serikali inafanya kila jitihada kuhakikisha kunakuwa na unafuu katika upatikanaji wa bidhaa za Nishati Safi ya kupikia ili kumwezesha kila mwananchi kutumia nishati iliyo safi na salama.

Dkt. Biteko amesema hayo tarehe 13 Septemba 2024 Jijini Dodoma wakati wa hafla ya Kusaini mikataba ya ushirikiano ya utekelezaji wa Nishati Safi ya Kupikia yenye thamani ya shilingi bilioni 50.98 kati ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Jeshi la Magereza, Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) na Wasambazaji wa Gesi ya kupikia, hafla ambayo ilienda sambamba na uzinduzi wa jengo la REA.

“Namshukuru Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa maono yake yanayowezesha Sekta ya Nishati kuendeshwa kwa mafanikio ambayo yamepelekea leo hii tushuhudie hatua ikizidi kupigwa katika kutekeleza Mkakati wa Taifa wa Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia unaolenga kuokoa maisha ya watanzania na pia kuiwezesha Wizara ya Nishati kutatua changamoto zinazojitokeza lengo likiwa ni kutoa huduma iliyo bora kwa wananchi," amesema Dkt. Biteko

Akizungumzia usambazaji wa nishati vijijini ikiwemo umeme, Dkt. Biteko ameipongeza Bodi na Menejimenti ya REA kwa kusimamia ipasavyo miradi na kwa kuwahimiza wakandarasi kukamilisha kazi kwa wakati.

"Nawapongeza sana Bodi ya REA; mnafanya kazi nzuri, nimekuwa nikiwaona mara kwa mara mkiwa vijijini mnahimiza Wakandarasi," alipongeza.

Akizungumzia jengo la REA alilolizindua, Dkt.Biteko amesema litawawezesha watumishi kutoa huduma kwa wananchi na kuwapongeza REA kwa kujenga jengo hilo la kisasa lenye ghorofa tano kwa gharama ya shilingi bilioni 9.8 kwa miezi 18 badala ya shilingi bilioni 13 zilizopangwa awali.

View: https://www.instagram.com/p/DAbgS54NtFi/?igsh=MTJxcTJic2lhOGRzbQ==

Gesi ya kupikia imeshuka bei?
 
Back
Top Bottom