Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbowe hana madhara!Kishaanza kuona kiti kichungu. mwanzo alijua ni rahisi rahisi tu. Na bado
Akitaka atawale kwa amani, amuachie mbowe
sio ya mbowe ,Bali ya mwingine.unaanzaje kumpa uwazr wa wizara nyeti ya umeme mtu asiyeaminika na watz wote!!??,Laana ya Mbowe plus uhaba wa maji na umeme vinamtesa.
Hapa aling'aka kweli kwelilakini ilipodaiwa kwamba hana mpango wa kugombea 2025 amekuwa mkali kama pilipili
Siyo kweli. Makamba anakubalika Sana. Pengine wapinzani wake ndiyo mnaona wivu na kuamua kueneza propaganda mfumwingine.unaanzaje kumpa uwazr wa wizara nyeti ya umeme mtu asiyeaminika na watz wote!!??,
Hawa wote Cha mtoto,kiboko ni Mbowe alibugia Faru John mpaka akavunja mguu,halafu akasema wasiojulikana wamefanya yao.Sijui kwanini wanasiasa wa Bongo hususani mwendazake na huyu mrithi wake wamekuwa wanafiki, Mwendazake alidai alijaribu tu akajikuta amesukumiziwa huko lakini badala ya kuachia ngazi ndio kwanza akawa anasuka mikakati ya kung'ang'ania madaraka leo tena na huyu mrithi wake anadai kurithi urais kwa mujibu wa katiba kwake ni janga lakini ilipodaiwa kwamba hana mpango wa kugombea 2025 amekuwa mkali kama pilipili badala ya kuona hiyo ndio fursa ya kuliepuka hilo janga!
okey sawa. Hongera.Mbowe hana madhara!