Rais Samia: Nimeona warembo, kweli maji yapo!

Plastic

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2019
Posts
223
Reaction score
335

"Nimeona kina mama warembo kweli, wanang'ara kweli, warembo na wanang'ara hii ni dalili kwamba maji yapo, walikuwa wanapauka kwasababu maji hakuna na yale machache yaliyokuwa yanatafutwa yakifika baba anayasubiri, lakini leo wanang'aa kweli."

- Dkt. Samia Suluhu akiwa ziarani mkoani Singida katika eneo la Sagala jimbo la Singida Kaskazini.

Kumbe maji yanaleta urembo eeh?

EATV
 
Ok sawa
 
Kumbe maji yanaleta urembo eeh?
Ndiyo, maji yanachangia kuleta urembo na utanashati kwa Wanaume na Wanawake.

Umeshawahi kukutana na mtu hajaoga siku 3 anavyonuka kikwapa na kufubaa ngozi.
 
Ila kiukweli naona kasi ya kutandaza mabomba ya maji Iko juu sana. Sijui Hilo wadau mnaliona kama mimi
 
Kwani lazima kuoga? Muhimu kula!
Mkuu naona unataka kuungana na yule Daktari wa Mhimbili aliyesemaga eti kwa Wiki mtu anatakiwa kuoga mara 3 tu πŸ™Œ

Sisi wanaume usipooga siku moja tu kesho yake Boksa inakuwa haitamaniki, na Korodani ndiyo zitakuwa zinanuka balaa πŸ™Œ
 
Mkuu naona unataka kuungana na yule Daktari wa Mhimbili aliyesemaga eti kwa Wiki mtu anatakiwa kuoga mara 3 tu πŸ™Œ

Sisi wanaume usipooga siku moja tu kesho yake Boksa inakuwa haitamaniki, na Korodani ndiyo zitakuwa zinanuka balaa πŸ™Œ
Hahahahaaaaaa
 
Dar wakati kuna shida ya maji
Au ssh hana habari

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…