Noti bandia
JF-Expert Member
- May 3, 2020
- 2,684
- 4,315
Bora lkn tunaona mabombaTatizo sio kulaza mabomba tatizo ni value for money Iko?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora lkn tunaona mabombaTatizo sio kulaza mabomba tatizo ni value for money Iko?
Manyara Kuna Warembo sio wa Nchi hii.Na hivyo wamepata maji ya uhakika huko ni Kwa kuhamia.
"Nimeona kina mama warembo kweli, wanang'ara kweli, warembo na wanang'ara hii ni dalili kwamba maji yapo, walikuwa wanapauka kwasababu maji hakuna na yale machache yaliyokuwa yanatafutwa yakifika baba anayasubiri, lakini leo wanang'aa kweli."
- Dkt. Samia Suluhu akiwa ziarani mkoani Singida katika eneo la Sagala jimbo la Singida Kaskazini.
Kumbe maji yanaleta urembo eeh?
EATV
Hebu tafsiri kwa kichaga uone ulichokiandika ni nini! (Uko!)Uko ulipo Plastic hakuna mgao wa maji?
Kwake yye na akina Abdul hakuna mgao gao upo kweguIna maana mgao wa maji hafahamu kwamba upo?
Ni uhuni tu, sawa na umeme kila kijiji lkn sio kila kitongojiIla kiukweli naona kasi ya kutandaza mabomba ya maji Iko juu sana. Sijui Hilo wadau mnaliona kama mimi
Aisee
"Nimeona kina mama warembo kweli, wanang'ara kweli, warembo na wanang'ara hii ni dalili kwamba maji yapo, walikuwa wanapauka kwasababu maji hakuna na yale machache yaliyokuwa yanatafutwa yakifika baba anayasubiri, lakini leo wanang'aa kweli."
- Dkt. Samia Suluhu akiwa ziarani mkoani Singida katika eneo la Sagala jimbo la Singida Kaskazini.
Kumbe maji yanaleta urembo eeh?
EATV
Ni hatua lknNi uhuni tu, sawa na umeme kila kijiji lkn sio kila kitongoji
Ujana wa uzeeni ,hurumieniHuyu mama naye
Hapa Morogoro hatuna maji
wanawake wa singida hata wasipooga mwaka mzima hawawezi kupauka, wataendelea kuwa warembo tuu, labda ingekuwa wasukuma ndio wanagepauka pauuuuuu
"Nimeona kina mama warembo kweli, wanang'ara kweli, warembo na wanang'ara hii ni dalili kwamba maji yapo, walikuwa wanapauka kwasababu maji hakuna na yale machache yaliyokuwa yanatafutwa yakifika baba anayasubiri, lakini leo wanang'aa kweli."
- Dkt. Samia Suluhu akiwa ziarani mkoani Singida katika eneo la Sagala jimbo la Singida Kaskazini.
Kumbe maji yanaleta urembo eeh?
EATV