Rais Samia: Nimeona warembo, kweli maji yapo!

Manyara Kuna Warembo sio wa Nchi hii.Na hivyo wamepata maji ya uhakika huko ni Kwa kuhamia.
 
Aisee
 
wanawake wa singida hata wasipooga mwaka mzima hawawezi kupauka, wataendelea kuwa warembo tuu, labda ingekuwa wasukuma ndio wanagepauka pauuuuuu
 
Mimi kwetu bwana ni mwisho wa nchi, yaani dakika mbili tu nipo Mozambique, ila umeme umefika, mtandao wa maji upo, maji ndoo kubwa tshs 25. Mabomba mpaka yanapasuka.
 
Amejuaje ni warembo wakati ni mwanamke mwenzao, je, ameshirikiana na sisi mabaharia kufanya tathmini hiyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…