Bukali
JF-Expert Member
- May 7, 2018
- 1,264
- 835
JK mwenyewe hajuwa na nia ya dhati.Aliyekuwa na nia njema na nchi hii kuhusu katiba mpya alikuwa JK basi, huyo mwingine ni legacy ya Magu tu CCM ni ileile
Mbona mchakato aliuachia njiani makusudi tu.
Hii ilikuwa kuwarizisha tu. Maana alipoona inakuja kukaba,akashiti.