NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Wewe.Siyo kabira bali nafsi
CCM haina huruma na wapinzani acha kujipendekeza.
Hata hizo kura chache alizopata Lisu 2020 wamekaa kikao kuulizana kazipataje hizo kura.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe.Siyo kabira bali nafsi
Wewe unadhani waliokomolewa ni hao tu.PIPOOOOOZ,,kwiyoooooooo.
Naiona nia ya katiba mpya moyoni mwake.,,Bunge la katiba kalitamka mara mbili"Wana JF
Raisi Samia wakati akiwaapisha mawaziri amesema kuwa amepigiwa sana kelele kuhusu katiba mpya, ila kwa sasa anaomba tusahau kwanza . Swali ni je kuna uwezekano mama akarudisha mchakato wa katiba au ndio hapa kazi tu .?
Haki huinua taifa.
Wapinzani na watanzania wanaotaka mabadiliko ni kama wengi tumepoteza mwelekeo.Matumaini yetu yameyeyuka!
Hakuna future yeyote ya maana chini ya huyu mama!
Ukiulizwa unataka nini ktk katiba mpya hujui..Akikaza shingo kama alivyofanya mtangulizi wake, asitarajie kuacha historia ya maana. Akiurejesha na kuumalizia kwa matarajio ya Watanzania walio wengi, hakika atakumbukwa milele na vizazi vyote.
Hiyo siku haitakuja kwa hisani ya mama Samia lazima apate msukumo kutoka nje ya ccmJana Mh Rais Samia alipokuwa akitoa nasaha zake na kutangaza mabadiliko madogo ya Baraza la mawaziri baada ya kiapo cha Dr. Mpango alitamka neno katiba mpya. Na leo baada ya kuwaapisha katibu mkuu kiongozi na mawaziri ametamka bunge la katiba mara mbili ingawaje inaonekana ni kwa bahati mbaya. Bila shaka yo yote ni wazi kuna kitu anawaza kuhusu katiba mpya kwa sababu maneno hayo hawezi kuyatamka bila kuwa na tafakari yo yote kichwani.
Tuzidi kuomba huenda itakuja siku isiyo na jina ataamua kuendeleza mchakato wa katiba mpya. Subira yavuta heri!
Jk tutamkumbuka sana aliona umuhimu wa katiba mpya lkn wale wahafidhina wa CCM wakaikwamisha ila tunaamini ipo siku mchakato utakamilikaWana JF
Raisi Samia wakati akiwaapisha mawaziri amesema kuwa amepigiwa sana kelele kuhusu katiba mpya, ila kwa sasa anaomba tusahau kwanza . Swali ni je kuna uwezekano mama akarudisha mchakato wa katiba au ndio hapa kazi tu .?
Haki huinua taifa.
Yeye tulimuomba baada ya kuapishwa avunje baraza la mawaziri, na hata kama atawarudisha wale wale katika nafasi zao ili mradi wale kiapo mbele ya rais aliyepo madarakani kwa sasa kama katiba inavyo elekeza, lakini alikataa. Badala yake aliamua kuliwekea viraka baraza la mawaziri lililo kuwepo. Wenye kufikiri walisha jua siku nyingi kwamba katiba mpya ndio anguko rasmi la ccm.Wana JF
Raisi Samia wakati akiwaapisha mawaziri amesema kuwa amepigiwa sana kelele kuhusu katiba mpya, ila kwa sasa anaomba tusahau kwanza . Swali ni je kuna uwezekano mama akarudisha mchakato wa katiba au ndio hapa kazi tu .?
Haki huinua taifa.
Ujumbe umemfikiaje sasa? Kwani ni jambo jipya hili? Alikuwa halijui?..I think ppl are reading too much into Mama Samia Hassan's statement.
..binafsi siwezi kusema huo ndio msimamo wake rasmi kuhusu KATIBA.
..Tunachoweza kusema ni kuwa ujumbe umemfikia.
..Kama ataufanyia kazi ujumbe wa katiba mpya au la nadhani tumpe muda zaidi.
..Lakini tusiache kukumbushia.
Hiv ni Kwanini Muamal Gaddaf alikuwa analindwa na wanawake?samahani lakini ni nje ya mada.ninatamani niijue sababuMm sidhanii hivyo Chief
Naona kana kwamba anatupigia kengele juu ya hili analolisema kwa bahati mbaya....
Fahamu
Huyu ni Mama
Kibaya zaidi ccm ya sasa haina wanasiasa wenye akili nyingi walioko kwenye siasa.Sio tu nia njema
Kuanzisha Mchakato wa Katiba mpya hasa kwa nchi kama Tanzania kila mtu anajua kila kitu inahitaji uwe na 'Strong Political Muscles' kama Jk, otherwise unaweza ukachanganyikiwa
Kwa kuwa katba mpya ni kwa ajili ya upinzani! Tua hilo dafu kupumzisha shingo japo kwa muda!Hahahaaa...Mzee Mwanakijiji aliwaambia mapema sana lakini hamkumuelewa.
Sasa tutarajie matusi,kashfa na dharau,toka kwa upinzani
Mama anatupigia kengele tuamke sisi badala ya kuamka tunaamua kujifunika na shuka la piliMm sidhanii hivyo Chief
Naona kana kwamba anatupigia kengele juu ya hili analolisema kwa bahati mbaya....
Fahamu
Huyu ni Mama
Yani wewe bwana, huwa ni mtu wa reasons tatizo ni ......bila.Cha msingi ni kuweka pressure!
Vyama vya siasa viache kushiriki chaguzi za maigizo.
Civil societies lazima zikanyage mafuta.
Na wananchi tuamke. Tuache kushiriki chaguzi mpaka kitapoeleweka.
Kweli kabisaAliyekuwa na nia njema na nchi hii kuhusu katiba mpya alikuwa JK basi, huyo mwingine ni legacy ya Magu tu CCM ni ileile
Naam!!!,haswaaaAkikaza shingo kama alivyofanya mtangulizi wake, asitarajie kuacha historia ya maana. Akiurejesha na kuumalizia kwa matarajio ya Watanzania walio wengi, hakika atakumbukwa milele na vizazi vyote.
Kwa hiyo tuinyweshe!Ccm haiwezi kujinywesha sumu
Maana kukubali kufanya mabadiliko ya katiba ni sawa na kusema sasa ccm ndiyo mwisho wa kutawala