Rais Samia: Nimepigiwa sana kelele kuhusu Katiba, ila kwa sasa tusahau kwanza

Rais Samia: Nimepigiwa sana kelele kuhusu Katiba, ila kwa sasa tusahau kwanza

Wana JF

Raisi Samia wakati akiwaapisha mawaziri amesema kuwa amepigiwa sana kelele kuhusu katiba mpya, ila kwa sasa anaomba tusahau kwanza . Swali ni je kuna uwezekano mama akarudisha mchakato wa katiba au ndio hapa kazi tu .?

Haki huinua taifa.

Yeye muache tu asifuate maoni ya wananchi kisha apandwe na jeuri awe kama MEKO ndio atakuja kujua maneno ya wananchi huumba.
 
Hahahaaa...Mzee Mwanakijiji aliwaambia mapema sana lakini hamkumuelewa.
Sasa tutarajie matusi,kashfa na dharau,toka kwa upinzani
Sasa kwani kawakomoa wapinzani au taifa ?!. Ukiwazodoa wapinzani hujui unalolifanya , kwani hujui wewe uzao wako utakuwa wa mrengo upi !!

Odhis *
 
Ukimisikiliza alivyofikia kutamka hivyo sidhani kama amemaanisha kuwa haina umuhimu kwa sasa, anamaanisha watu wanamsumbua sana kuhusu katiba na kusema wasahau kidogo wanamchanganya
 
U
Ukimisikiliza alivyofikia kutamka hivyo sidhani kama amemaanisha kuwa haina umuhimu kwa sasa, anamaanisha watu wanamsumbua sana kuhusu katiba na kusema wasahau kidogo wanamchanganya
Uko sahihi mkuu
 
Video hii hapa.

Dakika ya 9:20-9:27



..I think ppl are reading too much into Mama Samia Hassan's statement.

..binafsi siwezi kusema huo ndio msimamo wake rasmi kuhusu KATIBA.

..Tunachoweza kusema ni kuwa ujumbe umemfikia.

..Kama ataufanyia kazi ujumbe wa katiba mpya au la nadhani tumpe muda zaidi.

..Lakini tusiache kukumbushia.
 
Dawa nikumpashi msuli katika chaguzi mbili za Kigoma kujaza Zito na yule wa Cdm tuone
 
Kwa kuwa yeye ndiye alikuwa makamu mwenyekiti wa bunge la katiba walidhani ndio mwanya wa kuingiza ajenda, kawapa za uso 😅😅😅😅
 
Back
Top Bottom