Mdogo Mdogo mara paap ka international airport kijijini kama ka yule bwanaKizuri unakula na ndugu yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mdogo Mdogo mara paap ka international airport kijijini kama ka yule bwanaKizuri unakula na ndugu yako
Mama yupo chini ya remote control ya Othman Masoud; wait and see.Kama una saikolojia kichwani
Kwani wanaotaka katiba mpya ni Wapinzani pekee?Hahahaaa...Mzee Mwanakijiji aliwaambia mapema sana lakini hamkumuelewa.
Sasa tutarajie matusi,kashfa na dharau,toka kwa upinzani
Kwa asili yake inawezekana akafumba macho
Kama hivyo basi tuombe munguMama yupo chini ya remote control ya Othman Masoud; wait and see.
Anapigiwa kelele na nani?
Kama nyinyi mlivyokuwa mnaamini kuwa mwenyekiti wenu ni malaikaNi vizuri kuishi kwa matumaini
hakuna mwana ccm anaetaka katiba mpyaKwani wanaotaka katiba mpya ni Wapinzani pekee?
Jibu hapo kisha tuendelee
Huyu mama akikaribia kuondoka ataurudisha huu mchakato wa Katiba🤣🤣
Awe wa kwanza CCM imfie kwenye utawala wake? Thubutu
Hatuna njia mkuu maana tayari tumemkabidhi nchiMdogo Mdogo mara paap ka international airport kijijini kama ka yule bwana
Huyu mama akikaribia kuondoka ataurudisha huu mchakato wa Katiba
Hana cha kukujibu maana huyu ndiyo bendera fuata upepo ikipandishwa petrol au diesel anafurahia kisa imepandishwa na serikali ya ccm.Kwani wanaotaka katiba mpya ni Wapinzani pekee?
Jibu hapo kisha tuendelee
Naona team ramba miguu mmeisha lainika maana hamna namna .Jana alipokuwa anatoa salamu zake na kutujulisha juu ya wateule wake wapya rais wa JMT ulimi ulimteleza na kutamka bunge la katiba. Najua bado anakumbuka umuhimu wake. Maana hata yeye kuwa makamu wa rais ilikuwa ni pendekezo la mmoja wa wabunge wa bunge la katiba.
Sasa ni wazi kuwa rais wa sasa anajua umuhimu wa kubadili katiba yetu ili tuwe taifa ambalo demokrasia ipo juu na hakuna kikundi cha watu ambacho kitakuwa juu ya sheria.
Mfano, ili kuondoa uonevu mkubwa uliopo sasa, ni vyema tukawa na katiba ambayo itaruhusu wagombea binafsi. Maana kuna raia wanaouwezo wa kuongoza lakini hawataki kuwa na mafungamano na vyama vya kisiasa.
Pia ili kulinda haki za raia wa Tanzania ni vyema kuwa na katiba ambayo itaruhusu raia wa kawaida kufungua kesi mahakama kuu moja kwa moja bila kupitia kwa Dpp. Hii italeta usawa na haki katika kuhakikisha kesi hazipindishwi.
Sasa basi kwa sababu mnaapishana na kuahidi kukusanya kodi na kuendelea kujenga nchi,kumbukeni pia katiba mpya ni muhimu.
Tuweke akiba ya manenoAaah wapi.Ccm katiba mpya ni SAwa na ngamia kupenya kwenye tundu
Kama Zanzibar aitapata kibali cha kuwa safe haven ya banking kama ilivyo visiwa vya Jersey na Carribean; mods wa ban IP yangu they can do that.Kama hivyo basi tuombe mungu
Huyu mama akikaribia kuondoka ataurudisha huu mchakato wa Katiba
wewe mbona umebaki na kopo tupu akili ameondokanayo mwendazake;jingazHuna akili wewe