kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,257
- 12,244
Hakuna haja ya kumuelewa MM,kwani na yeye ni mpga ramli tuHahahaaa...Mzee Mwanakijiji aliwaambia mapema sana lakini hamkumuelewa.
Sasa tutarajie matusi,kashfa na dharau,toka kwa upinzani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna haja ya kumuelewa MM,kwani na yeye ni mpga ramli tuHahahaaa...Mzee Mwanakijiji aliwaambia mapema sana lakini hamkumuelewa.
Sasa tutarajie matusi,kashfa na dharau,toka kwa upinzani
Ccm ilishajifia sema tu inalindwa na wenye maguvu[emoji1787][emoji1787]
Awe wa kwanza CCM imfie kwenye utawala wake? Thubutu
Cha msingi ni kuweka pressure!Matumaini yetu yameyeyuka!
Hakuna future yeyote ya maana chini ya huyu mama!
Anataka na yeye aitumie katiba iliyopo ya kifalme! Rangi halisi yaanza kuonekana hata mwezi bado!!Wana JF
Raisi Samia wakati akiwaapisha mawaziri amesema kuwa amepigiwa sana kelele kuhusu katiba mpya, ila kwa sasa anaomba tusahau kwanza . Swali ni je kuna uwezekano mama akarudisha mchakato wa katiba au ndio hapa kazi tu .?
Haki huinua taifa.
JK mwenye aliikimbia. Wanasiasa wengi hawajui kuweka maslahi ya nchi mbele na kama ukiwa Rais mwenye akili timamu muda wa kuanzisha mchakato wa katiba mpya bado hujafika tujifunzeni kwa majirani.Sio tu nia njema
Kuanzisha Mchakato wa Katiba mpya hasa kwa nchi kama Tanzania kila mtu anajua kila kitu inahitaji uwe na 'Strong Political Muscles' kama Jk, otherwise unaweza ukachanganyikiwa
Mm sidhanii hivyo ChiefMatumaini yetu yameyeyuka!
Hakuna future yeyote ya maana chini ya huyu mama!
Wasahau kidogo maana yake nini, katiba KWA manufaa ya nchi KWA Sasa ni lazima Wala haliwezi kua ombi Kama kweli kiongozi yeyote anadhamila ya dhati ya kulitumikia taifa,Wanajukwaa ni zaidi ya mara mbili mama huwa anakosea, anapohutubia na kusema Bunge la Katiba badala ya kusema Bunge la bajeti, sasa je mzimu wa Katiba Mpya bado unamsumbua hasa baada ya leo kusema kuwa anapata ' push' nyingi kuhusu Katiba Mpya lakini kwa hilo wasahau kidogo.
Nini maoni yako?
Hadi sasa ni hisani tu mkuuDa yaani hii nchi bila maamuzi magumu hatutatoka hapa tulipo, maana haki zetu zimekuwa kama hisani
kwa hiyo hiyo ramli hukuielewa?Hakuna haja ya kumuelewa MM,kwani na yeye ni mpga ramli tu
Lini ilikuwepo mkuu?Kwaheri democratic
KidogoKawaambia msahau kidogo
Kwa asili yake inawezekana akafumba machoJana Mh Rais Samia alipokuwa akitoa nasaha zake na kutangaza mabadiliko madogo ya Baraza la mawaziri baada ya kiapo cha Dr. Mpango alitamka neno katiba mpya. Na leo baada ya kuwaapisha katibu mkuu kiongozi na mawaziri ametamka bunge la katiba mara mbili ingawaje inaonekana ni kwa bahati mbaya. Bila shaka yo yote ni wazi kuna kitu anawaza kuhusu katiba mpya kwa sababu maneno hayo hawezi kuyatamka bila kuwa na tafakari yo yote kichwani.
Tuzidi kuomba huenda itakuja siku isiyo na jina ataamua kuendeleza mchakato wa katiba mpya. Subira yavuta heri!
Cha msingi ni kuweka pressure!
Vyama vya siasa viache kushiriki chaguzi za maigizo.
Civil societies lazima zikanyage mafuta.
Na wananchi tuamke. Tuache kushiriki chaguzi mpaka kitapoeleweka.
Wana JF
Raisi Samia wakati akiwaapisha mawaziri amesema kuwa amepigiwa sana kelele kuhusu katiba mpya, ila kwa sasa anaomba tusahau kwanza . Swali ni je kuna uwezekano mama akarudisha mchakato wa katiba au ndio hapa kazi tu .?
Haki huinua taifa.
Akikaza shingo kama alivyofanya mtangulizi wake, asitarajie kuacha historia ya maana. Akiurejesha na kuumalizia kwa matarajio ya Watanzania walio wengi, hakika atakumbukwa milele na vizazi vyote.