Rais Samia: Nimepigiwa sana kelele kuhusu Katiba, ila kwa sasa tusahau kwanza

Rais Samia: Nimepigiwa sana kelele kuhusu Katiba, ila kwa sasa tusahau kwanza

Jana Mh Rais Samia alipokuwa akitoa nasaha zake na kutangaza mabadiliko madogo ya Baraza la mawaziri baada ya kiapo cha Dr. Mpango alitamka neno katiba mpya. Na leo baada ya kuwaapisha katibu mkuu kiongozi na mawaziri ametamka bunge la katiba mara mbili ingawaje inaonekana ni kwa bahati mbaya.

Bila shaka yo yote ni wazi kuna kitu anawaza kuhusu katiba mpya kwa sababu maneno hayo hawezi kuyatamka bila kuwa na tafakari yo yote kichwani.

Tuzidi kuomba huenda itakuja siku isiyo na jina ataamua kuendeleza mchakato wa katiba mpya. Subira yavuta heri!
 
Sio tu nia njema

Kuanzisha Mchakato wa Katiba mpya hasa kwa nchi kama Tanzania kila mtu anajua kila kitu inahitaji uwe na 'Strong Political Muscles' kama Jk, otherwise unaweza ukachanganyikiwa
aliyekuwa na nia njema na chi hii kuusu katiba mpya alikuwa JK bac,huyo mwingine ni legcy ya magu tu ccm ni ileile
 
Back
Top Bottom