Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
Wanaamini kuwa wao ndiyo wenye mamlaka hapa duniani
Kamanda habari yako?
CCM mbele kwa Mbele
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaamini kuwa wao ndiyo wenye mamlaka hapa duniani
Ccm haiwezi kujinywesha sumuHalafu cha ajabu huyu mama alikuwa makamu mwenyekiti kwenye bunge la katiba, maana yake ni kwamba ama kipindi kile alikuwa haamini anachokifanya kuwa ni kwa maslahi ya nchi au sasa keshalewa madaraka kwa hiyo anafikiri kinachoweza kuendelea kumsaidia kumpa stimu zaidi ya ulevi huo ni kuendelea na katiba hii mbovu!
Huyu mama kafeli mapema sana kukataa katiba mpya, kiufupi hakuna hope yyote ya maana chini ya ungozi wake kama ataendelea kukaa kitu ambacho ni obvious!
Utabakia hivyo hivyo na jiulize kwanini Mungu wenu Bashiru ametolewa pale ikulu hapo ndiyo utapata jibu la maswali yako.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16].
Nilijiuliza urafiki wa Samia na chadema umeanza lini.
BADO SIJAPATA JIBU
Lini ccm ilirudi nyuma kwa nyuma?Kamanda habari yako?
CCM mbele kwa Mbele
Kuacha kushiriki chaguzi ambazo washindi wameadaliwa.Cha msingi ni kuweka pressure!
Vyama vya siasa viache kushiriki chaguzi za maigizo.
Civil societies lazima zikanyage mafuta.
Na wananchi tuamke. Tuache kushiriki chaguzi mpaka kitapoeleweka.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16].
Nilijiuliza urafiki wa Samia na chadema umeanza lini.
BADO SIJAPATA JIBU
Umeonaeeeeeeee?Aaah kama kawaida yao.Ni Hadi akiwa nje ya mfumo ndo atajua umuhimu wa katiba.Yeye, polepole, bashiru,kabudi kabla awajakaribishwa mezani sio ndo walioimba wimbo wa katiba mpya.
Nimeamni ni Hadi utoke uwanjani ndo utayaona makosa yako.
CCM ni ukoo wa kambale kila mtu ana masharubu, DJ mpya ila muziki uleule wa chama cha maibilisi wa kijani kibichi .Wana JF
Raisi Samia wakati akiwaapisha mawaziri amesema kuwa amepigiwa sana kelele kuhusu katiba mpya, ila kwa sasa anaomba tusahau kwanza . Swali ni je kuna uwezekano mama akarudisha mchakato wa katiba au ndio hapa kazi tu .?
Haki huinua taifa.
Tunajua wanaopigia kelele Katiba mpya ni akina nani:makarai ya zege ya mafisadi.Wanadhani kupitia hiyo mabwana zao watapata nafasi ya kupenyeza agenda zao za kipuuzi zinazo husu ushoga,feminism,abortion,malezi ya watoto,mifumo kwenye familia nk.nk..However,sioni realistically what we cannot do with the 1977 constitution as far as bringing development to our people and protecting our hard earned peace is concerned.Wana JF
Raisi Samia wakati akiwaapisha mawaziri amesema kuwa amepigiwa sana kelele kuhusu katiba mpya, ila kwa sasa anaomba tusahau kwanza . Swali ni je kuna uwezekano mama akarudisha mchakato wa katiba au ndio hapa kazi tu .?
Haki huinua taifa.
Lini ccm ilirudi nyuma kwa nyuma?
Alicho nifurahisha ni kukata ile mifereji iliyo kuwa inatumiwa na mtangulizi wake na hivyo kuwafanya baadhi ya watu wajiandae kuhama mji.Tulia kamanda! Kunywa maji ya uvugu vugu halafu msikilize tena Madam President!
CCM mbele kwa mbele
Kizuri unakula na ndugu yakoMama ameanza kuweka ndugu zake.Kaburu botha akukosemea kabisa kuhusu akili ya mtu mweusi juu ya undugu, ukabila na udini.
Kama una saikolojia kichwaniContrary na wengi wanavyofikiri katiba inakuja soon, kilichotokea ni slip of the tongue nini kipo kichwani kwake.
Jana Mh Rais Samia alipokuwa akitoa nasaha zake na kutangaza mabadiliko madogo ya Baraza la mawaziri baada ya kiapo cha Dr. Mpango alitamka neno katiba mpya. Na leo baada ya kuwaapisha katibu mkuu kiongozi na mawaziri ametamka bunge la katiba mara mbili ingawaje inaonekana ni kwa bahati mbaya. Bila shaka yo yote ni wazi kuna kitu anawaza kuhusu katiba mpya kwa sababu maneno hayo hawezi kuyatamka bila kuwa na tafakari yo yote kichwani.
Tuzidi kuomba huenda itakuja siku isiyo na jina ataamua kuendeleza mchakato wa katiba mpya. Subira yavuta heri!