Risasi za nini tena?Haya ni mawazo ya kihutu!Jenga hoja kama binadamu na siyo kukimbila risasi,wewe unaweza kusimama mbele ya risasi za kudai haki?Sasa hapo ndo unakuwa unamkomoa nani? Wananvhi muamke, humu jF kuna mtu yeyote anaeweza kusimama bunduki ikikohoa hata risasi tatu mbele yake?